Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,351
- 9,855
Kwahiyo nitaona SURA ya mtu aliyeniroga ama?Habari wanajamii
Napenda kuchukua fursa hii kuwapa darasa huru jinsi ya kujiangalia mwemyewe kama umerogwa
1. Chukua mkaa usage sage uwe kama unga changanya na ubani wowote uusage vizuri kisha ufunge kwenye karatasi na uuweke kwenye mto wako unaolalia
2. Usiku wa kuamkia alkhamis weka dawa yako na uulalie utakutana na ndoto zako zote zinazohusiano na uchawi kama aliekuroga umerogwaje wapi vitajionesha
Asanteni sana
mkuu utanipa mrejesho maana sitaki kuwa kichaa bila kupendaNitajaribu hii
Hakuna shida Drmkuu utanipa mrejesho maana sitaki kuwa kichaa bila kupenda
Uchawi umezungumziwa kwa kina ktk bibilia. Imefundisha mpaka namna ya kufukuza majini bila kutumia jina la Mungu wala Yesu. Haya yapo ktk kitabu cha Tobiti.
Live kabisa mzee,ila kujua nani ni nani ni ngumu,kwanza huwez kuwatazama mara mbili kwa jins wanavyotisha,halaf wanakua wamejipaka marangi meusi usoni......niliishia kupiga makelele nyumba nzima waliamka,Asee tusali sana wachawi are real!![emoji23][emoji23][emoji23] so uliwaona lakini?
Niijuavyo JF ukianza kutoa namba utaitwa tapeli muda sio mrefu, kama umejitoa kumsaidia mtu, msaidie ukiwa anyonymousUje tu inbox ntakupa maagizo ya kujitibu mwenyewe kuna dawa ntakuagiza ukanunue mwenyewe utafanya lengo ni kusaidia tu
Anhaaa asanteUtaoa athari zinazokuathiri kwa kipindi hiki
Ubani ndo udi au?Utaoa athari zinazokuathiri kwa kipindi hiki
Eeenh hapo unatumikaje maelezo plzMkaa una nguvu Sana zaidi ya unavyofikiria. Unarudisha hata mke aloe kuacha pia unatoa nuksi
Kama una hofu usifanyeHaya mambo ya kujaribu jaribu ase sio mazuri kunamovie nimetokaa kuiyona hapa aloo hapana jamaa walijaribu kucheza wa truth or dare wamepuputika htr
Nitajaribu hiiLive kabisa mzee,ila kujua nani ni nani ni ngumu,kwanza huwez kuwatazama mara mbili kwa jins wanavyotisha,halaf wanakua wamejipaka marangi meusi usoni......niliishia kupiga makelele nyumba nzima waliamka,Asee tusali sana wachawi are real!!
Niijuavyo JF ukianza kutoa namba utaitwa tapeli muda sio mrefu, kama umejitoa kumsaidia mtu, msaidie ukiwa anyonymous
Utanishukuru baadae
Acha ushirikina we sheikh ubwabwa ungekua karibu ningekutandika makofi