Jiulize ni kwanini Jordan na wengine wamekataa kupokea wakimbizi wa Palestine

Jiulize ni kwanini Jordan na wengine wamekataa kupokea wakimbizi wa Palestine

hawajazungukwa kila mahali, wameachiwa njia kutoka kaskazini waje kusini, na wengi wamepita njia hiyo. karibia watu 1.1 million wameondoka Gaza ya kaskazini ambako israel ilitoa wito watoke, na wapo kusini ambako misaada inawafikia kupitia mpaka na Misri. kusini kuna geti la mpaka na misri na huko ndiko misaada inaingilia na ndio miaka yote misaada huingilia. wangekuwa wamezungukwa kama unavyosema, hao walioenda kusini wangekuwa wamepita wapi? ukweli ni kwamba, wapalestina ni wabishi sana, wanaiona hatari ila wanasubiri wafe ili dunia iwaonee huruma dhidi ya israel,

wakiona roketi zinarushwa na hamas kwenda israel wanafurahia, israel akisema hapo paliporusha roketi ondokeni nataka kupiga wao wanabaki ili wakifa dunia iwaonee huruma. tangu october 7 hadi usiku wa leo ambao israel imeingia Gaza, roket zimekuwa zikurushwa kwenye makazi ya watu israel, hazirushwi kupiga wanajeshi wa israel, zinarushwa kwenye makazi ya watu, lakini hakuna nchi za kiarabu hata moja zinazosema hamas wasitishe roketi ili mazungumzo yafanyike, wao wanaitaka israel isitishe mashambulizi, utasitishaje mashambulizi wakati adui anaendelea kurusha roketi kwenye makazi ya raia wako?

wanasema wapalestina wanauawa ni kweli wanakufa na ni kitu kibaya lakini kwanini wanatetewa tu wapalestina na kuwaacha raia wa israel (ambao sio wanajeshi) waendelee kupigwa na roketi?umeshaona hata nchi moja ya kiarabu imelaumu hamas kuendelea kurusha roketi? ungelikuwa na akili ungefikiria kichwani mwako kwamba wote wawili wanafanya mabaya na wanatakiwa kusitisha mapigano. Hamas ambao ndio walikuwa wachokozi wanatakiwa kusitisha roketi na warudishe mateka ambao sio wanajeshi ni raia, ili nchi zinazoheshimika ziiendee israel zikimwambia ndugu angalia hamas wamesitisha mashambulizi na wamerudisha mateka, wewe tu ndio unapiga, hebu sitisha mashambulizi. israel ingekataa kila mtu angeishangaa, lakini mtu anasema isitishe wakati hamasi hawasitishi mashambulizi, kwanini wasitishe israel tu wasisitishe na hamas? mmejiona msivyo na akili za kufikiri?

hivi chukulia mfano, idi amin dadaa alivyoishambulia Tanzania, sisi tukampa kipigo, angekuwa hajakimbia uganda akaendelea kurusha makombora mwanza na kagera, na sisi tukawa tunamshushia kipigo, nchi za nje zikasema Tanzania sitisheni mashambulizi, bila kulaani kile amini anachofanya na wala kumwambia amni pia kwamba na yeye asitishe mashambulizi, ungewaelewa? si ungejiona kama dunia nzima imekutelekeza wapo upande wa adui sasa kilichobaki ni wewe kujipigania peke yako kwasababu hakuna atakayekuamulia hatma ya maisha yako? hicho ndicho kinachoendelea pale. hamas wasitishe roketi kwenye makazi ya watu na warudishe mateka ili israel iamue kusitisha mashambulizi kwasababu hata wao wanajua mauaji yameshafanyika sana, wangetamani kusitisha lakini utasitishaje wakati wananchi wako wako mateka gaza na roketi hata leo usiku bado zinarindima kupiga Ashkelon kwenye makazi ya raia?
Acha porojo kinachopigiwa kelele ni kuzuia huduma muhimu kufika gaza hayo mabomu apige tu
 
Kuna watu akili ndogo afa wanajitapa kuanzisha nyuzi zinazohitaji kufikiri sans, wspalestina wamezungukwa kila upande and no room to escape wakisaidiwa na muuaji mkuu, Taifa la mashetwan USA, na wamefungua safe route moja tu nsko still inaangaliwa sana mkijichanganya mnakula vimondo tu.
waliposhambulia israel hawakuyajua haya?
 
Acha porojo kinachopigiwa kelele ni kuzuia huduma muhimu kufika gaza hayo mabomu apige tu
hv una akili ya bata mbuz ww , unataka huduma kwa raia wako wkt wangu umewashika mateka , tumia akili mpuuz ww , jamaa kakuandikia kila kitu ila bado uzezeta wa hiyo dini unakuzuia kuelewa , ukishika mateka watu 100 mimi nawaweka mateka watu wako wote
 
Sio kweli, hiyo Jordan yenyewe 60% ya raia wake ni wapalestina!!
Walichosema ni kwamba wakiondoka hapo Israel inaweza occupy Gaza na kufanya sehemu ya Israel.
Ndio kipigo kinaendelea humo mlango kwa mlango na kusema wasiondoke ni kwamba wafe wote humo humo ili wafutike.
Lebanon aliweka mitambo ya nyuklia ilichapwa ikalipuka na wakapewa pole
 
Mtoa mada hivi unaijua kweli history ya Jordan au unaropoka tu, hio nchi karibu 70% ni wa Palestini unatakiwa uwe unafikiria kabla ya kuzuka tu na kuleta mada hujui history za nchi.































































We ungejiuliza kwanini waisrael Europe waliwafukuza, kwanini nchi za Europe zinawasaidia usidhani kwa kuwapenda wanawaogopa wasirudi huko sababu kila wakienda mahali lazima kuwe na balaa la vita, kama vile Palestine waliwapokea afu wakawageukia hawa wa Israel tukiwambia wana lana za Mungu nyie mnabisha eti vipenzi vya Mungu 😄































































Vipenzi vya Mungu hawaogopi kufa, wao niwaoga kufa unajua sababu gani? Mungu alisha sema kwenye Qur'an kama wakristo na waisrael wanadai wao ndio watu wa peponi wambieni waombe kifo?















Pia lazima ufahamu hata wanao jidai waislam kwa majina ni kama hao wayahudi, na wakristo wanaogopa kufa, ukitaka kufahamu waislam kweli tazama Gaza hao ndio waislam hawatishiki na kifo wanajua wazi waendapo ni bora kuliko kubaki kwenye hi dunia.


Natanyahu anawambia wandishi wa habari wa Israel, hi vita viongozi wa kiarabu ndio wanampa support ili awamalize Hamasi, wanaogopa viti vyao, mara ya kwanza nakubaliana na Natanyahau hata kama nimuongo hapo kaongea 100%.

Viongozi wa kiarabu hawataki wagombea haki kama Hamasi, hawataki Hamasi ashinde vita hi sababu na wao wataondelewa madarakani.
















Ungejiuliza ni nchi ngapi za Europe zimewafukuza waisrael fatilia history zao.
 
Misri haiwezi wapokea Wapalestina wa Gaza sababu Hamas ilianzishwa na Muslin Brotherhood ambao wana msimamo mkali. Angalau ingeweza kuwapokea kama wangetoka West Bank.
Muslim Brotherhood imepigwa marufuku Misri na Saudi Arabia, ni kama kundi la kigaidi na Rais pekee kutoka kundi hilo pale Misri akipinduliwa na El-Sisi wa sasa, akafia jera kwa kesi za kusingiziwa.

Serikali ya Misri lazima iwaogope wasije lipiza kisasi. Wapalestina ndio walimuua Anwar Sadat aliposaini mkataba wa amani na Israel. Walitaka aendelee kupigana vita aumize nchi yake kisa wao, hawakuona kwamba Misri uwezekano wa kuishinda Israel haupo wao wanalazimisha ijitoe mhanga.

Kule Jordan walitaka kumuua King Hussein mara mbili. Wakamuua Waziri Mkuu wake. Wakawa wanatembea na silaha barabarani na wanazozana na jeshi. Wakapiga marufuku polisi au jeshi kufanya patrol kwenye kambi zao, wakati ziko Jordan. Wakaanza mashambulizi ya kigaidi na kuteka Wayahudi wakiwa Jordan.
Nchi ikaanza kumshinda King Hussein alipoamua kuwashambulia ikatokea Syrian Army imekuja kuivamia Jordan kuwatetea. Jordan ikapiga Syrian Army sababu haikuwa na cover ya Air Force mkuu wake alikataa kwenye mzozo wa ama waende ama wasiende, mkuu wa Air Force pale Syria alikuwa Hafez al Assad akaipindua serikali kwenye harakati za mgogoro huo. Ona sasa Wapalestina wakasababisha mapinduzi Syria.

Iraq ilitaka kupeleka jeshi kusaidia Wapalestina wapigane na Jordan. Waziri wa Ulinzi akakataa (third in command kwa serikali ile). Saddam Hussein alikuwa na wivu na anataka apande vyeo baadae afanye mapinduzi. Akamuua yule Waziri kisa Wapalestina, akawa ndiye third in command baadae akaipindua serikali. Hajawahi leta kiherehere kwao tena akawa busy kupigana na Iran. Ona hapo Wapalestina walisababisha Waziri auwawe na serikali ipinduliwe pale Iraq.

Kule Jordan wakatimuliwa wakaenda Lebanon. Wakaanzisha vita, nchi ikawa maskini mpaka leo tabu tupu. Wakati Lebanon ilikuwa nchi ya Kiarabu yenye Ufaransa flani ndani yake. Wakristo na Waislamu wanaishi vizuri sana. Leo nchi imekufa kisa Wapalestina.

Hapohapo Palestina mwaka 2007 walikuwa na vita ya wenyewe kwa wenyewe kati ya Fatah na Hamas. Fatah na Mahmoud Abbas ikabaki West Bank, Hamas na Haniyeh ikabaki Gaza. Hamna Mwarabu mwendawazimu atawapokea, wacha waende kwenye kisingizio cha "wabaki uko ili Israel isichukue ardhi yao".
Elimu
 
Acha porojo kinachopigiwa kelele ni kuzuia huduma muhimu kufika gaza hayo mabomu apige tu
Gaza ya kaskazini kuna hamas, na israel hawataki hamas wapewe chakula, wala mafuta kwasababu mafuta yanatumiwa kwenye majenereta yao. israel walishawapa wapalestina muda wa kutosha sana wahame northern Gaza ambako ndiko kwenye jiji na mahandaki. 1.1 million peopel wamekimbilia kusini, na huko ndiko kwenye lango la kuingia misri na ndiko misaada inakopitia. misaada imelenga wale milioni moja na ushee waliokimbilia kusini mwa Gaza, hailengi wale wabishi waliobaki kaskazini wanaosaidiana na hamas. hao hakuna hata roli moja litapiga.
 
Back
Top Bottom