Jiulize ni kwanini Jordan na wengine wamekataa kupokea wakimbizi wa Palestine

Jiulize ni kwanini Jordan na wengine wamekataa kupokea wakimbizi wa Palestine

Inaelekea hujui Gaza imepakana na wapi

Elimu Elimu Elimu

Israel inataka Wagaza waondoke Gaza halafu yenyewe iichukue, Nchi za Kiarabu zimestuka, bora wabaki humohumo na stuggle iendelee
 
Sehemu ya kivuko toka gaza kwenda misri ilishambuliwa na israel misri kwa kinachoendelea wako tayari kuwapokea issue ni mpaka haupitiki kwa sasa

Sent from my Pixel 5 using JamiiForums mobile app
 
Waendelee West Bank

Kwenda West Bank wapite eneo la kutosha Israel. Kulikoni wasipumzike hapo, si hii special operation yake ni dhidi ya HAMAS ni ya muda mfupi kwamba akimaliza watarudi?

IMG_1567.jpg


IMG_20231015_072729.jpg


Mwisrael alikuwa si wa kuendekeza:
 
Kihistoria mbona hao wayahudi walikua wanakataliwa kila walipokua wanaenda? utalinganisha na Palestines?
Israel na palestina niwatu wahulka moja hawa sio watu wakuchangamana najamii zawatu wanapenda kujiona superior unamkaribisha badae anakutimua mwenyej
 
Ish sionwakimbizi ..watu mil 1.2 ni wachache Sana wakigawana, HIV unajua kuwa wakiwapokea Gaza itabak empty na Israel unaweza pachukua mazima
afrika ya kati sasa inajuta kupokea wakimbikiz wenye asili ya kiislam
 
Ukiwakaribisha hao jamaa baada ya vizazi 2 hadi 4 wanaanza kudai haki zao pamoja na kuchagua mwakilishi wao serikalini, kuwa na jimbo lao na kiongozi wao nk, au hata ardhi na ukibisha tu wanaanza chokochoko - hautakaa kwa kutulia.

Wanajuana hao.
 
ukweli wa nchi za jordan na misri kuwakataa wakimbizi wa israel ni kutokana na sababu kubwa zifuatazo


1-usalama wa egypt na jordan - egypt a jordan wanaogopa kuwa wakiwakaribisha wakimbizi wa palestine wanaotokea katika ukanda wa gaza,wakiamini wanaweza kuhatarisha usalama wa nchi zao kwani wakimbizi hao wanaweza kujiunga upya na kufanya mashambulizi katika adhi ya isarael na Israeli anaweza akalazimika kujilinda kwa kurudisha mashambulizi ambapo atalazimika kupiga ardhi za egypt na jordan kitu ambacho kinaweza kuingiza jordan na egypt kaika mgogoro na israel na kumbuka israel na egypt tayari walishaini mkataba wa amani wa miaka 40 kati yao (40 years old peace treaty)



2- kujirudia kwa historia ya NAKBA,NAKBA ni neno la kiarabu lenye maana ya janga kwa kimombo wanaita catastrophe mwaka 1948 wakati taifa la Israeli linaanzishwa Zaidi ya wapelestine 700,000 walihamishwa katika makazi yao ya awali na ya asili ya jesuralem,westbank na mengineyo. na baada ya vita kuisha wapalestine hawa walikataliwa kuruid na kuishi katika maeneo hayo waliyokuwa wameyakimbia,na hivyo kulazimika kubaki kuishi katika eneo la Gaza,na Gaza ni miongoni mwa eneo ambalo lipo overpopulated kwani Zaidi ya watu milioni 1.5 wanaishi katika eneo lisilizoidi kilometa za mraba 400 (367) na wengi wao wakiwa wakimbizi na wakiishi katika kambi za wakimbizi,hivyo kitendo cha israel kutaka wakazi wa gaza kuodoka inaaminika ni mpango wa Israel wa kutaka kufanya NAKba ya pili kitu ambacho baadhi ya nchi za kiarabu hawataki kitokee



3 wingi wa wakimbizi – nchi kam Egypt tayari ina mzigo mkubwa wa wakimbizi ambao inawahudumia kutoka mataifa mbalimbali ikiwemo wakimbizi 300,000 iliyowapokea kutokea sudan waliokimbia machafuko wa mwaka huu tu,hivyo kupokea wakimbizi wengine ni pigo kwa uchumi na,usalama wa Egypt na pia jordan tayari ina mzigo mkubwa wa wakimbizi iliyowapokea wakipalestine kabla hata ya machafuko ya wakati huu
 
Wafuasi wa munyaazi mungu ni virusi, hapa ninapoishi nimepanga na mmoja basi mm nikila kiti moto anakasirika, jinga kweli hili jamaa!! na mwanzo nilikuwa nakula mara 2 Kwa week sasa hivi nimeamua napiga pork mara 5 kwa wiki.
 
Wamekataa maana hicho ndio kitu waisrael wanakitaka ili wakimbie then wawaachie Gaza ..wapalestina wanatakiwa wabaki pale wapiganie nchi yao
 
Mbona swali la kijinga?
Wanachotaka hao Zionists ndiyo hiko hiko
Wapelestina waondoke kwenye nchi yao wenyewe, kisha Gaza iwe yao

Au Genocide
 
Wamekataa maana hicho ndio kitu waisrael wanakitaka ili wakimbie then wawaachie Gaza ..wapalestina wanatakiwa wabaki pale wapiganie nchi yao
Kuna sijui ndio ujinga au ushabiki, hiki kitu kipo wazi na dunia nzima inajua
Halafu mtu anauliza kwanini Egypt haiwapokei? Hakuna mtu kutoka Gaza
 
Wapalestina Ni magaidi waliotukuka acha wakafie tu kwao Palestine.
 
Sisi tuna ardhi kubwa, waje tuwape eneo la kuanzia mkuranga hadi karibu na Lindi, Mtwara hadi Rukwa waishi hapo. 😀 😀
 
Wafuasi wa munyaazi mungu ni virusi, hapa ninapoishi nimepanga na mmoja basi mm nikila kiti moto anakasirika, jinga kweli hili jamaa!! na mwanzo nilikuwa nakula mara 2 Kwa week sasa hivi nimeamua napiga pork mara 5 kwa wiki.
Barikiwa sana mpendwa
 
Wakiondoka wanarahisisha Israel kuendeleza kuchukua maeneo ya waarabu/waparestina
 
Back
Top Bottom