Jiunge Na Familia Ya Zaidi Ya Watu 750 Inayojadili Mambo Ya Ardhi Na Majengo BURE.

Jiunge Na Familia Ya Zaidi Ya Watu 750 Inayojadili Mambo Ya Ardhi Na Majengo BURE.

Aliko Musa

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2018
Posts
209
Reaction score
315
Tumekuwa na masomo mazuri kuhusu uwekezaji kwenye ardhi na majengo.

Tumekuwa na mijadala ya motomoto kuhusu uwekezaji kwenye ardhi na majengo.

Tupo watu wa makundi tofauti tofauti kutoka mikoa tofauti tofauti.

✓ Wapo mawakili wazoefu humu kundini,

✓ Wapo wachoraji wa ramani nzuri za nyumba,

✓ Wapo mafundi ujenzi ambao wanaweza kukusaidia dodoso za ujenzi wenye manufaa.

✓ Wapo madalali ambao wana mtandao mkubwa wa viwanja, mashamba na majengo yanayouzwa na kupangishwa.

✓ Na kadhalika.

Je kwanini mpaka hapa bado unasita kujiunga na kundi la TZ REAL ESTATE TEAM?.

Viongozi (Admins) wa kundi hili wapo makini na kazi zao. Huwezi kupata usumbufu wa kujirudia rudia.

Viongozi (Admins) huwaondoa wanachama wasumbufu mara moja.

Kujiunga na mafunzo nitumie ujumbe usemao "KIPATO ENDELEVU "....

Wasapu; +255 752 413 711

Karibu sana,

Aliko Musa.

Mbobezi majengo.
 
Back
Top Bottom