Pre GE2025 Jiunge na Harakati za Mabadiliko: CHADEMA Inakuhitaji Leo!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
How? Mbona tuna experts wa finance kwenye kurugenzi ya fedha na investments ni vile tu Mbowe alikua ndio final say.
Kama nani mkuu?

Experts wa Finance wanakuwa wazuri kukiwa na Top leadership ambayo ipo well organized with thorough business mindset... Siwaoni hapo kwenye CDM mpya.

Jumapil njema kaka
 
Kama nani mkuu?

Experts wa Finance wanakuwa wazuri kukiwa na Top leadership ambayo ipo well organized with thorough business mindset... Siwaoni hapo kwenye CDM mpya.

Jumapil njema kaka
Rodrick Lutembeka, mtaalamu wa industrial economics na consultant wa PwC kwa miaka mingi sasa.
 
Rodrick Lutembeka, mtaalamu wa industrial economics na consultant wa PwC kwa miaka mingi sasa.
But he doesn't hold the organization vision...

Hii kampeni ya Changia CDM sijui nini, ni one of the failure ya leadership.

Huwez kuhamasisha watu wawe wanachaplma pekee... you will never make it...

Chama kama CDM ina wepenzi wengi na washabiki, na sio kwamba hawaoni umuhimu wa kuwa mwanachama, issue hapo ni risky involved ..

Hata wanaoipigia debe mitandaoni wanajinasibu kwamba mimi sina chama chochote cha siasa.. blabla..

Tap on that!
 
Safi naamini katika mabadiliko.
 
Nilisubiri uchaguzi nijue uelekeo wa Chama, now naweza kuchukua hiyo kadi.
 
Hivi tawala huwa hawasomi jumbe Kama hizi ili warekwbishe panapopwaya? 😀 Au ni wapuuziaji wanaoamini katika uzamani uliowapa madaraka!

Maumivu ya kichwa huanza polepole
 
Ninawashauri, tupo tayari kununua kadi na kuchangia chadema! Tunaomba mapato na matumizi ya fedha za chama kuanzia 2015-2025.
Tufunike kombe, Sultan Mbowe alichezea sana mapato ya taasisi
 
Chama ni taasisi, hakiwezi kuwa na chanzo kimoja so hiki ni moja tu kati ya vyanzo vingi vya mapato ya taasisi, changia...ukiona huwezi kausha wengine tuchangie.
 
Chama ni taasisi, hakiwezi kuwa na chanzo kimoja so hiki ni moja tu kati ya vyanzo vingi vya mapato ya taasisi, changia...ukiona huwezi kausha wengine tuchangie.
Taja vyanzo vitano..

Manongea kama vile CDM imeanza leo..

Mimi nimeanza changia harakati za CDM kabla haijaja kijijini kwenu
 
Kama nani mkuu?

Experts wa Finance wanakuwa wazuri kukiwa na Top leadership ambayo ipo well organized with thorough business mindset... Siwaoni hapo kwenye CDM mpya.

Jumapil njema kaka
Vunjeni kundi la Mbowe tujenge chama, naona bado hamjakubaliana na demokrasia..ijishindikana kuna vyama zaidi ya 18 waweza kuchagua.
Ukabila ni mwiba mbaya
 
Hivi tawala huwa hawasomi jumbe Kama hizi ili warekwbishe panapopwaya? 😀 Au ni wapuuziaji wanaoamini katika uzamani uliowapa madaraka!

Maumivu ya kichwa huanza polepole
hakuna kipindi kibaya kuwahi kutokea Tanzania kama 2015-2025.

Na bado huko mbele hatujui itakuwaje.

Ila
 
Taja vyanzo vitano..

Manongea kama vile CDM imeanza leo..

Mimi nimeanza changia harakati za CDM kabla haijaja kijijini kwenu
Chadema ilikuwa chini ya ukoloni.

Sasahv ndio kama imepata ukombozi.

Within 5 next years CHADEMA itakuwa strong bila kutegemea hizi hela za uanachama kama main source of income
 
Mtueleze kwanza hela za join the chain ziko wapi? Chadema kila siku mnasema CCM imewafanya watanzania kuwa maskini, sasa leo wamegeuka matajiri mnawaomba michango? Acheni utapeli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…