Pre GE2025 Jiunge na Harakati za Mabadiliko: CHADEMA Inakuhitaji Leo!

Pre GE2025 Jiunge na Harakati za Mabadiliko: CHADEMA Inakuhitaji Leo!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
How? Mbona tuna experts wa finance kwenye kurugenzi ya fedha na investments ni vile tu Mbowe alikua ndio final say.
Kama nani mkuu?

Experts wa Finance wanakuwa wazuri kukiwa na Top leadership ambayo ipo well organized with thorough business mindset... Siwaoni hapo kwenye CDM mpya.

Jumapil njema kaka
 
Rodrick Lutembeka, mtaalamu wa industrial economics na consultant wa PwC kwa miaka mingi sasa.
But he doesn't hold the organization vision...

Hii kampeni ya Changia CDM sijui nini, ni one of the failure ya leadership.

Huwez kuhamasisha watu wawe wanachaplma pekee... you will never make it...

Chama kama CDM ina wepenzi wengi na washabiki, na sio kwamba hawaoni umuhimu wa kuwa mwanachama, issue hapo ni risky involved ..

Hata wanaoipigia debe mitandaoni wanajinasibu kwamba mimi sina chama chochote cha siasa.. blabla..

Tap on that!
 
🇹🇿 CHADEMA ni chachu ya mabadiliko tunayoyahitaji! Ni muda wa kujiunga na harakati kwa vitendo. Jiunge sasa kupitia kadi za wanachama zenye hadhi tofauti: Tanzanite, Diamond, Platinum, Gold, Silver, na Bronze.

Kwa nini ujiunge? 🗳️
✅ Kuwa sehemu ya uamuzi wa kitaifa
✅ Changia harakati za demokrasia
✅ Pata fursa za kushirikiana na wanaharakati wenzako

Kadi unayochagua inaonyesha mchango wako kwa harakati:
💎 Tanzanite: TZS 500,000
💎 Diamond: TZS 200,000
💎 Platinum: TZS 100,000
🥇 Gold: TZS 50,000
🥈 Silver: TZS 25,000
🥉 Bronze: TZS 10,000
Kila mchango unahesabika!

Hatua za kujiunga ni rahisi:
1️⃣ Pakua CHADEMA Digital App kwenye App Store au Google Play.
2️⃣ Chagua kadi unayoitaka.
3️⃣ Lipa kupitia njia za kidijitali.
Ni rahisi!

Msaada unahitajika? Wasiliana nasi kupitia namba 0654714343 kwa maelezo zaidi au msaada wa usajili. Tupo hapa kwa ajili yako!

Tunaweza kuleta mabadiliko! Jiunge leo, toa mchango wako, na uwe sehemu ya historia. Pamoja tunaweza kujenga taifa lenye haki na usawa.

🎯 Je, umejiunga? Tuambie kadi uliyochagua! Hebu tuhamasishe wengine kujiunga katika harakati hizi. Tunahitaji kila mmoja kwa safari hii. 🇹🇿✊

#JiungeNaCHADEMA #WanachamaWenyeNguvu #MabadilikoYaKweli #CHADEMA2025
Safi naamini katika mabadiliko.
 
[emoji1241] CHADEMA ni chachu ya mabadiliko tunayoyahitaji! Ni muda wa kujiunga na harakati kwa vitendo. Jiunge sasa kupitia kadi za wanachama zenye hadhi tofauti: Tanzanite, Diamond, Platinum, Gold, Silver, na Bronze.

Kwa nini ujiunge? [emoji2792]
[emoji736] Kuwa sehemu ya uamuzi wa kitaifa
[emoji736] Changia harakati za demokrasia
[emoji736] Pata fursa za kushirikiana na wanaharakati wenzako

Kadi unayochagua inaonyesha mchango wako kwa harakati:
[emoji184] Tanzanite: TZS 500,000
[emoji184] Diamond: TZS 200,000
[emoji184] Platinum: TZS 100,000
[emoji1628] Gold: TZS 50,000
[emoji1627] Silver: TZS 25,000
[emoji1626] Bronze: TZS 10,000
Kila mchango unahesabika!

Hatua za kujiunga ni rahisi:
[emoji2389] Pakua CHADEMA Digital App kwenye App Store au Google Play.
[emoji2390] Chagua kadi unayoitaka.
[emoji2391] Lipa kupitia njia za kidijitali.
Ni rahisi!

Msaada unahitajika? Wasiliana nasi kupitia namba 0654714343 kwa maelezo zaidi au msaada wa usajili. Tupo hapa kwa ajili yako!

Tunaweza kuleta mabadiliko! Jiunge leo, toa mchango wako, na uwe sehemu ya historia. Pamoja tunaweza kujenga taifa lenye haki na usawa.

[emoji457] Je, umejiunga? Tuambie kadi uliyochagua! Hebu tuhamasishe wengine kujiunga katika harakati hizi. Tunahitaji kila mmoja kwa safari hii. [emoji1241][emoji110]

#JiungeNaCHADEMA #WanachamaWenyeNguvu #MabadilikoYaKweli #CHADEMA2025
Nilisubiri uchaguzi nijue uelekeo wa Chama, now naweza kuchukua hiyo kadi.
 
Hili ni sahihi mkuu.
Mimi ni mmoja wapo.
I support CHADEMA anonymously nikiamini ndiye msaada pekee uliyebaki wa kutuokoa na udhalimu huu tena baada ya kukufua matumaini kutoka kwa viongozi waliochukua hatamu majuzi kati.


Sio kwamba siwezi kui support CHADEMA waziwazi ila nadhani wakati sahihi wa mm kufanya hivyo haujafika.
Hivi tawala huwa hawasomi jumbe Kama hizi ili warekwbishe panapopwaya? 😀 Au ni wapuuziaji wanaoamini katika uzamani uliowapa madaraka!

Maumivu ya kichwa huanza polepole
 
But he doesn't hold the organization vision...

Hii kampeni ya Changia CDM sijui nini, ni one of the failure ya leadership.

Huwez kuhamasisha watu wawe wanachaplma pekee... you will never make it...

Chama kama CDM ina wepenzi wengi na washabiki, na sio kwamba hawaoni umuhimu wa kuwa mwanachama, issue hapo ni risky involved ..

Hata wanaoipigia debe mitandaoni wanajinasibu kwamba mimi sina chama chochote cha siasa.. blabla..

Tap on that!
Chama ni taasisi, hakiwezi kuwa na chanzo kimoja so hiki ni moja tu kati ya vyanzo vingi vya mapato ya taasisi, changia...ukiona huwezi kausha wengine tuchangie.
 
Chama ni taasisi, hakiwezi kuwa na chanzo kimoja so hiki ni moja tu kati ya vyanzo vingi vya mapato ya taasisi, changia...ukiona huwezi kausha wengine tuchangie.
Taja vyanzo vitano..

Manongea kama vile CDM imeanza leo..

Mimi nimeanza changia harakati za CDM kabla haijaja kijijini kwenu
 
Kama nani mkuu?

Experts wa Finance wanakuwa wazuri kukiwa na Top leadership ambayo ipo well organized with thorough business mindset... Siwaoni hapo kwenye CDM mpya.

Jumapil njema kaka
Vunjeni kundi la Mbowe tujenge chama, naona bado hamjakubaliana na demokrasia..ijishindikana kuna vyama zaidi ya 18 waweza kuchagua.
Ukabila ni mwiba mbaya
 
Hivi tawala huwa hawasomi jumbe Kama hizi ili warekwbishe panapopwaya? 😀 Au ni wapuuziaji wanaoamini katika uzamani uliowapa madaraka!

Maumivu ya kichwa huanza polepole
hakuna kipindi kibaya kuwahi kutokea Tanzania kama 2015-2025.

Na bado huko mbele hatujui itakuwaje.

Ila
 
Taja vyanzo vitano..

Manongea kama vile CDM imeanza leo..

Mimi nimeanza changia harakati za CDM kabla haijaja kijijini kwenu
Chadema ilikuwa chini ya ukoloni.

Sasahv ndio kama imepata ukombozi.

Within 5 next years CHADEMA itakuwa strong bila kutegemea hizi hela za uanachama kama main source of income
 
Mtueleze kwanza hela za join the chain ziko wapi? Chadema kila siku mnasema CCM imewafanya watanzania kuwa maskini, sasa leo wamegeuka matajiri mnawaomba michango? Acheni utapeli.
 
Back
Top Bottom