JK amteua Prof. Idriss Bilali Mshoro kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi ya TIRDO

JK amteua Prof. Idriss Bilali Mshoro kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi ya TIRDO

gud for him? ardhi wana walimu wa kutosha?[/QUOTE]

mkuu kabla yake alikuwa prof. IDRISSA KIKULA ambae sasa yupo UDOM, huyu nae ni mzanzibar na anashutumiwa kwa kuweka wanzanzibar wengi kwenye admistration, kuanzia alivyokuwa ardhi hadi asaiv UDOM. kaaaaaz kwel kwel.
 
Ni lazima wale walioahidiwa wafaidi matunda kabla ya 2015, hivyo tutayaona mengi tu.
 
Tusihukumu kwanza, ngoja tuone utendaji wake ndo tulalamike. Kama wakristo tulishika nyazifa nyingi kwa muda mrefu, acha na hawa wapewe nafasi za uongozo kama wana sifa. Mbona hatulalamikii kuwezeshwa kwa wanawake? Ni makundi yaliyokuwa yameachwa nyuma kwa muda mrefu yanayoanza kupewa nafasi. Kumbuka hata wasukuma walikandamizwa kielimu lakini sasa hivi wanapata nafasi. Kwa hili JK naona kafanya sawa.
 
Prof Mshoro anastahili hiyo nafasi yuko fiti sana huyu jamaa. Big up ticha wangu wa FOE!
 
Chadema bwana! Yaani nchi hii mnataka iongozwe na wakristo tuu? Mbona hapa ofisni kwangu wakristo ni 95%? Waislamu wakilalamika; mnasema hawakusoma! Wakisoma wakipewa madaraka --oooh udini!

Haya ngoja Rais awe Padri Slaa mfurahi!

Mkuu una hakika kuwa wakristo wote ni cdm na cdm wote ni wakristo? Na unataka kutuaminisha kuwa chama cha magamba wote ni waislamu na waislamu wote ni chama cha magamba? Hii si sahihi hata kidogo.
 
Salaam wanajamvi,
Habari za uhakika zinasema kuwa Rais Kikwete amemteua Prof. Idrissa Bilali Mshoro kuwa Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi ya Shirika la Utafiti na maendeleo ya viwanda (TIRDO). Uteuzi huo umeanza tangu tarehe 01.04.2011 na utadumu kwa muda wa miaka mitatu.

Kabla ya hapo Prof. Mshoro alikuwa Makamu mkuu wa chuo cha Ardhi, uteuzi ambao pia ulifanywa na JK mwaka 2007.

Nawakilisha.

Mkeshaji, sio kabla ya hapo alikuwa as if kuwa board chair ni full time job, Prof. Mshoro bado ni Makamo Mkuu wa Chuo cha Ardhi. Ila pia kabla ya uteuzi huu kwenda TIRDO, Prof. Mshoro alikuwa ndie Mwenyekiti wa bodi ya VETA mpaka mwezi huu wa April alipomaliza miaka yake 4.

Angalizo!, wana JF tuache kuishabikia hii sumu ya udini kwenye kila teuzi za JK, tufike mahali tuwakubali wateuliwa hawa kwa sifa walizo nazo na sio kwa dini zao. Na kama kuna ukweli dini fulani iliwahi kupendelewa kushika nyadhifa zote za juu kipindi fulani nyuma, then affimative action to redress situation hiyo ni halali kabisa mbele ya wapenda hahi wote!.

Mimi ni Mkristo, tena Mkatoliki, lakini najiamini ni mpenda haki, kama Waislamu wanataka mahakama ya kadhi, wapewe!, si yao na ni ya mambo yao?!, mbona huko nyuma ilikuwepo na hakukuwa na matatizo yoyote?.

Kama wanataka OIC kwa ajili ya maendeleo, tujiunge tuu, mbona Kenya na Uganda zimejiunga na hawana matatizo ya udini?.
Tuwe na upendo wa dhati mioyoni mwetu kwa watu wasio wa dini zetu, tuwatendee haki!.

Pasco.
 
Kama hiyo ndiyo sababu ya kutaka Slaa awe rais wako basi ndugu yangu umepotea!
ACTUALLY UNGEJUA KWAMBA SIKULENGA DINI WALA USINGESEMA

Watu wanataka kupotosha mada

Let me tell you son!! the process ya vetting ndiyo yenye issues na sio dini, read my comment utanielewa, i looked at the history na ukaribu na mtu na si jingine

Kumbuka kasesela siblings walikula ulaji just after elections na si waislam bali ukaribu na jiko

NAOMBA NIELEWEKE KWAMBA ISSUE YANGU NI VETTING, YANI HATUZUNGUKI, TUNAANGALIA UREFU WA PUA YETU TU NA NDIO MAAN TUNARECYLE WATU NA VIATU

LET ME SEE IF MY PREVIOUS POST IS CONTROVERSIAL
 
Prof. Mshoro, namfahamu tangu nikisoma Engineering-UDSM, ni mtaalam mzuri sana na ni kiongozi mzuri pia. Nimebahati kufanya nae kazi wakati nikiwa kiongozi wa wanafunzi pale Engineering ni mtu mwenye uwezo mkubwa ki-utendaji. Kwa upande wangu naona anastahili kupewa nafasi hiyo. Tuache kuangalia watu kwa misingi ya imani yao bali uwezo wake katika kutekeleza nafasi aliyo pewa. Hii tabia iliyo-anza kujijenga hapa JF ya kumtathimi mtu kwa kuangalia jina lake na kuhihusisha na imani yake siyo nzuri kabisa na inaweza kusababisha chuzi ndaji ya jamii. Tumjadili mtu kwa uwezo wake wa kuweza kutekeleza nafasi aliyo pewa. Mimi nina imani ya kikristo lakini kwa uteuzi huu raisi amemchagua mtu makini na mwenye uwezo mkubwa kiutendaji, mtu yeyote aliye soma pale Engineering upande wa Mechanical au Chemical atakuthibitishia hili.
 
gud for him? ardhi wana walimu wa kutosha?
to me hii ya kusema professor hainiingi akilini coz most of them ni wazee wa nadhari na failures, ndio maana profesa mzima anafuga ng'mbe kinondoni au ubungo

nadhani kuna gap ya kujua kwamba usomi na uprofesa ni tofauti na kwa wenzetu waweza ukawa profesa una degree mbili

i dont think tanzania inahitaji maprofessor kwenye sekta ya maendeleo maana wengine wakuna ni profesa wa algebra anapewa wizara ya sayansi, wakati wizara inahitaji strategist na sio bundi au bookworm
 
Mkeshaji, sio kabla ya hapo alikuwa as if kuwa board chair ni full time job, Prof. Mshoro bado ni Makamo Mkuu wa Chuo cha Ardhi. Ila pia kabla ya uteuzi huu kwenda TIRDO, Prof. Mshoro alikuwa ndie Mwenyekiti wa bodi ya VETA mpaka mwezi huu wa April alipomaliza miaka yake 4.

Angalizo!, wana JF tuache kuishabikia hii sumu ya udini kwenye kila teuzi za JK, tufike mahali tuwakubali wateuliwa hawa kwa sifa walizo nazo na sio kwa dini zao. Na kama kuna ukweli dini fulani iliwahi kupendelewa kushika nyadhifa zote za juu kipindi fulani nyuma, then affimative action to redress situation hiyo ni halali kabisa mbele ya wapenda hahi wote!.

Mimi ni Mkristo, tena Mkatoliki, lakini najiamini ni mpenda haki, kama Waislamu wanataka mahakama ya kadhi, wapewe!, si yao na ni ya mambo yao?!, mbona huko nyuma ilikuwepo na hakukuwa na matatizo yoyote?.

Kama wanataka OIC kwa ajili ya maendeleo, tujiunge tuu, mbona Kenya na Uganda zimejiunga na hawana matatizo ya udini?.
Tuwe na upendo wa dhati mioyoni mwetu kwa watu wasio wa dini zetu, tuwatendee haki!.

Pasco.

Pasco,
Nashukuru kwa kunikumbusha hasa hapo kwenye wekundu.
Unasema tuache kushabikia udini, unaweza ukanithibitishia ni wapi nimeitaja dini ya Mshoro au ni wapi nimesema kuwa JK kamteua Mshoro kwa sababu ya dini yake? Usilazimishe vile unavyowaza ukadhani ndiyo mawazo yaliyomo kichwani kwa mwenzio, na ndo maana hata humu jamvini kila mtu ameupokea ujumbe huu kwa namna anavyofikiria yeye.

Kuhusu suala la watu fulani kupendelewa wakati wa kipindi fulani, una ushahidi na hilo?

Kuhusu suala la wewe kuwa Mkatoliki, hatuna uthibitisho na hilo. Kuna watu wengi humu jamvini na kwingineko kwenye social websites wanatumia majina ya bandia; kwa hiyo si ajabu kumkuta muislamu anatumia jina la kikristo au na mkristo la kiislamu halikadhalika
 
Pasco,
Nashukuru kwa kunikumbusha hasa hapo kwenye wekundu.
Unasema tuache kushabikia udini, unaweza ukanithibitishia ni wapi nimeitaja dini ya Mshoro au ni wapi nimesema kuwa JK kamteua Mshoro kwa sababu ya dini yake? Usilazimishe vile unavyowaza ukadhani ndiyo mawazo yaliyomo kichwani kwa mwenzio, na ndo maana hata humu jamvini kila mtu ameupokea ujumbe huu kwa namna anavyofikiria yeye.

Kuhusu suala la watu fulani kupendelewa wakati wa kipindi fulani, una ushahidi na hilo?

Kuhusu suala la wewe kuwa Mkatoliki, hatuna uthibitisho na hilo. Kuna watu wengi humu jamvini na kwingineko kwenye social websites wanatumia majina ya bandia; kwa hiyo si ajabu kumkuta muislamu anatumia jina la kikristo au na mkristo la kiislamu halikadhalika
Mkeshaji, angalia usije ukawa umechoka mpaka ubongo, kufuatia ukeshaji, kabla ya comment yangu ya tuache udini, niliweka 'Angalizo!, wana JF', wewe angalizo hili hukuliona kutokana na uchovu wa kukesha, ana ulimaanisha angalizo hilo lilikuhusu wewe mkeshaji ndio mimi nikaiutwa 'wana JF' nikimaanisha mkeshaji?.

Hili la kutaka ushahidi wa watu wa dini fulani kupendelewa wakati wa kipindi fulani, usitaka kutonyesha makovu ya madonda ya nyuma kuleta maumivu upya!

Nimejitanabaisha, kwa sababu inaelekea kuna watu ninao diriki kuwaita 'wapuuzi puuzi' wanaotaka kuingiza udini kwenye kila teuzi itakayofanywa na rais, ati kisa dini ya rais, inafanana na ya mteuliwa!.

Hilo angalizo nililoliweka mimi, ulitakiwa ulitoe wewe mwanzisha thread, sio kuacha thread ikidivert kwenye udini, huku ukitetea kuwa "humu jamvini kila mtu ameupokea ujumbe huu kwa namna anavyofikiria yeye" !.


 
I don't believe ktk hizi dini zetu za kimapokeo, but if he's qualified, competent etc, there's no problem.........
 
Mkuu umeeleza vizuri sana lakini hapo nilipo weka rangi nyekundu imeharibu post yote. Kiongozi anaweze kuweka marafiki zake madarakani na wote wakawa wametoka katika dini moja hii haina maana wametumwa na dini fulani na huwezi kuhusisha dini hiyo na hawa watu kwani wamewekana kwa maslahi yao wenyewe na dini haina uhusika hapo. Hao viongozi unaowaeleza waliwekana madaraka wanaweza wakawa wamewekana kwa urafiki wao na kwa msalahi yao ni dini haina uhusika wowote wa kuwepo kwao. Tuache kubebesha lawama dini za watu wakati hawa watu wanasimamia masilahi yao na rafikiza zao. Viongozi wengi wanateua watu kwa misingi ya urafiki na sio imani zao, hata kama wanatoka dini moja kwanza lazima wawe marafiki vinginevyo huwezi kupata nafasi.

Mkeshaji, sio kabla ya hapo alikuwa as if kuwa board chair ni full time job, Prof. Mshoro bado ni Makamo Mkuu wa Chuo cha Ardhi. Ila pia kabla ya uteuzi huu kwenda TIRDO, Prof. Mshoro alikuwa ndie Mwenyekiti wa bodi ya VETA mpaka mwezi huu wa April alipomaliza miaka yake 4.

Angalizo!, wana JF tuache kuishabikia hii sumu ya udini kwenye kila teuzi za JK, tufike mahali tuwakubali wateuliwa hawa kwa sifa walizo nazo na sio kwa dini zao. Na kama kuna ukweli dini fulani iliwahi kupendelewa kushika nyadhifa zote za juu kipindi fulani nyuma, then affimative action to redress situation hiyo ni halali kabisa mbele ya wapenda hahi wote!.

Mimi ni Mkristo, tena Mkatoliki, lakini najiamini ni mpenda haki, kama Waislamu wanataka mahakama ya kadhi, wapewe!, si yao na ni ya mambo yao?!, mbona huko nyuma ilikuwepo na hakukuwa na matatizo yoyote?.

Kama wanataka OIC kwa ajili ya maendeleo, tujiunge tuu, mbona Kenya na Uganda zimejiunga na hawana matatizo ya udini?.
Tuwe na upendo wa dhati mioyoni mwetu kwa watu wasio wa dini zetu, tuwatendee haki!.

Pasco.
 
hongera Idrisa tunakuombea utekeleze kazi yako kwa wanainchi wa tanzania!

whatever,imradi wasituue kama Libya basi
 
Prof. Mshoro, namfahamu tangu nikisoma Engineering-UDSM, ni mtaalam mzuri sana na ni kiongozi mzuri pia. Nimebahati kufanya nae kazi wakati nikiwa kiongozi wa wanafunzi pale Engineering ni mtu mwenye uwezo mkubwa ki-utendaji. Kwa upande wangu naona anastahili kupewa nafasi hiyo. Tuache kuangalia watu kwa misingi ya imani yao bali uwezo wake katika kutekeleza nafasi aliyo pewa. Hii tabia iliyo-anza kujijenga hapa JF ya kumtathimi mtu kwa kuangalia jina lake na kuhihusisha na imani yake siyo nzuri kabisa na inaweza kusababisha chuzi ndaji ya jamii. Tumjadili mtu kwa uwezo wake wa kuweza kutekeleza nafasi aliyo pewa. Mimi nina imani ya kikristo lakini kwa uteuzi huu raisi amemchagua mtu makini na mwenye uwezo mkubwa kiutendaji, mtu yeyote aliye soma pale Engineering upande wa Mechanical au Chemical atakuthibitishia hili.
Thanks mkkuu

naamini unenayo
 
Mkeshaji, angalia usije ukawa umechoka mpaka ubongo, kufuatia ukeshaji, kabla ya comment yangu ya tuache udini, niliweka 'Angalizo!, wana JF', wewe angalizo hili hukuliona kutokana na uchovu wa kukesha, ana ulimaanisha angalizo hilo lilikuhusu wewe mkeshaji ndio mimi nikaiutwa 'wana JF' nikimaanisha mkeshaji?.

Hili la kutaka ushahidi wa watu wa dini fulani kupendelewa wakati wa kipindi fulani, usitaka kutonyesha makovu ya madonda ya nyuma kuleta maumivu upya!

Nimejitanabaisha, kwa sababu inaelekea kuna watu ninao diriki kuwaita 'wapuuzi puuzi' wanaotaka kuingiza udini kwenye kila teuzi itakayofanywa na rais, ati kisa dini ya rais, inafanana na ya mteuliwa!.

Hilo angalizo nililoliweka mimi, ulitakiwa ulitoe wewe mwanzisha thread, sio kuacha thread ikidivert kwenye udini, huku ukitetea kuwa "humu jamvini kila mtu ameupokea ujumbe huu kwa namna anavyofikiria yeye" !.


lakini wewe unaidivert kulekule kwa kuongelea mambo ya upendeleo wa nyuma sio??
 
Muasisi wa udini tunamfahamu.....duh,nimesahau yale majina ya walioteuliwa kamati kuu,hongera sana Prof....:rant::rant:
 
Ni ajenda yake ya siri yeye na wapambe wake kuwa uteuzi wao utafuata mkondo huo huo mpaka atakapotoka madarakani; huyu Mshoro mpaka hivi sasa ni Mkuu wa chuo kikuu cha Ardhi na pia ni mwenyekiti wa bodi ya VETA!! Hivi jamani hakuna watu wengine wakushika hivi vyeo? Tunajua kuwa tunampigia mbuzi gita na hasikii muziki wetu lakini pia ujumbe uwafikie kuwa sie sio wajinga kama mlivyo nyie na matendo yenu tunayafahamu lakini iko siku mtakuja lipizwa!!
 
Mkeshaji, angalia usije ukawa umechoka mpaka ubongo, kufuatia ukeshaji, kabla ya comment yangu ya tuache udini, niliweka 'Angalizo!, wana JF', wewe angalizo hili hukuliona kutokana na uchovu wa kukesha, ana ulimaanisha angalizo hilo lilikuhusu wewe mkeshaji ndio mimi nikaiutwa 'wana JF' nikimaanisha mkeshaji?.

Hili la kutaka ushahidi wa watu wa dini fulani kupendelewa wakati wa kipindi fulani, usitaka kutonyesha makovu ya madonda ya nyuma kuleta maumivu upya!

Nimejitanabaisha, kwa sababu inaelekea kuna watu ninao diriki kuwaita 'wapuuzi puuzi' wanaotaka kuingiza udini kwenye kila teuzi itakayofanywa na rais, ati kisa dini ya rais, inafanana na ya mteuliwa!.

Hilo angalizo nililoliweka mimi, ulitakiwa ulitoe wewe mwanzisha thread, sio kuacha thread ikidivert kwenye udini, huku ukitetea kuwa "humu jamvini kila mtu ameupokea ujumbe huu kwa namna anavyofikiria yeye" !.



Mh. Pasco,
Sitaki kuigeuza hii thread kuwa mabishano kati ya Mkesahji na Pasco kwa sababu itapoteza lengo kuu ambalo ni kuwahabarisha wanajamvi na wageni wengine kuhusu uteuzi huo, ambalo naona wewe na wengine mnataka kupotosha:

Hapo kwenye nyekundu: Sina mamlaka wala uwezo wa kuingia kichwani mwa mtu na kumweka mawazo ambayo mimi nataka ayawaze na ndo maana nasema kila mtu ana haki ya kufikiria vile nafsi yake inavyomwelekeza.
 
Back
Top Bottom