Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mimi naamini.big joke ni huyu mbunge wenu kimbelembele.anaevuta ike kitu
Astaghfirullah,إستغفار ‎
huyu mtu angekuwa anapita humu angewehuka .khaaaaaaa! watu wana hasira sana nae
Ingekua hairuhusiwi ningeacha.
Usiwe unaongea hivyo tena bila kuweka ushahidi uliopewa wa kukataza. Yawezekana uelewa ukawa tafauti.
Mimi Naishi Nje ya Nchi lakini taarifa nilizozisoma ni aliacha watoto 25 na alikuwa anaishi na Mke Mdogo Miaka 32
Mtoto anayerithi kazi zake anaitwa Hassan
i'm on the fence.