Wabongo wenye uwezo mfup wa kudadavua mambo utawafaham tu,wanashabikia vitu ambayo havjakuwa na tamati ake,kwanza hyo n rasim,pili inaingia bunge la katiba inachambuliwa tena na wajumbe b4 kuja kwa wenye nch ambao ndo ss wananch,tunapendekeza ipite au isipite,so mie ngependa ili tuweze ipata Tanzania yetu tulioitaka tuache kabsa sherekea porojo za wachumia tumbo yaan wanasiasa wote wa CCM,Chadema,Cuf,Tlp,Udp,Sau na wengneo wengi,tukianza CCm cjui kaanguka utayaona ya CDm unayohis ndo bora kwako jins yatakavokuwa