babalao 2
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 5,423
- 3,297
Hofu ya wanaccm ni kuwa viongozi wao wamekosa ushawishi mbele ya jamii hawawezi kulisimamia jambo likapita kama alivyokuwa Nyerere.
Itakuwaje ktk chaguzi zijazo ambapo daftari litaboreshwa na kuingiza vijana ambao watatakiwa kushawishiwa ili waikubali ccm?
Itakuwaje ktk chaguzi zijazo ambapo daftari litaboreshwa na kuingiza vijana ambao watatakiwa kushawishiwa ili waikubali ccm?