JKT mbona watu wa degree hamuawachukui mara nyingi wanatoboa mkataba

JKT mbona watu wa degree hamuawachukui mara nyingi wanatoboa mkataba

Mrs Dee

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2017
Posts
209
Reaction score
324
Kwa miaka zaidi ya minne mfululizo wale vijana walioko makambini hamuwachukui wenye degree kwa ajili ya ajira
Na kama mkiwachukua huwa mnadonoa tu
Ila wa form 4 na form 6 ndo mnawa pendelea
Hivi majui kwamba mnazidi kuongeza wimbi la jobless wengi wenye degree mtaani
tunaomba mliangalie hili swala la ajira kwa hawa vijana
Kuna watu wana ujuzi mkubwa sna
Watu wa science na wengineo lakini mnawaachiwa wanarudi mtaani
Ni ombi langu muangalie hili swala baadae litakuwa ni bomu
 
wa
Kwa miaka zaidi ya minne mfululizo wale vijana walioko makambini hamuwachukui wenye degree kwa ajili ya ajira
Na kama mkiwachukua huwa mnadonoa tu
Ila wa form 4 na form 6 ndo mnawa pendelea
Hivi majui kwamba mnazidi kuongeza wimbi la jobless wengi wenye degree mtaani
tunaomba mliangalie hili swala la ajira kwa hawa vijana
Kuna watu wana ujuzi mkubwa sna
Watu wa science na wengineo lakini mnawaachiwa wanarudi mtaani
Ni ombi langu muangalie hili swala baadae litakuwa ni bomu
wanaogopa wakiajiriwa watalazimika kuwapigia saluti!!!
 
Kwa miaka zaidi ya minne mfululizo wale vijana walioko makambini hamuwachukui wenye degree kwa ajili ya ajira
Na kama mkiwachukua huwa mnadonoa tu
Ila wa form 4 na form 6 ndo mnawa pendelea
Hivi majui kwamba mnazidi kuongeza wimbi la jobless wengi wenye degree mtaani
tunaomba mliangalie hili swala la ajira kwa hawa vijana
Kuna watu wana ujuzi mkubwa sna
Watu wa science na wengineo lakini mnawaachiwa wanarudi mtaani
Ni ombi langu muangalie hili swala baadae litakuwa ni bomu
Kwan kuna nn?
 
wanasema wasomi wa juu muda mwingi hutumia kwenda kujiendeleza kimasomo sasa shida ukiwaweka wengi huko maofisini na makambini watabaki kina nani..?
mpaka wenyewe wameamua kufanya hivyo nafikiri wameshaona kuwa ni tatizo.. ngumu kwa mwenye degree kumkalisha lindo atataka tu akasome apande cheo hiyo ndio tabu!
 
Ivi kwanini watu wanasoma mbaka degree uko watu ni wengi sana alafu awana ajira na zikitoka ni chache
Unakuta vijana hasa waliotoka kwa wazazi masikini wanarandaranda tu hawana pakwenda
Kwanini watu mnaendelea kusoma tu au amsomi nyakati
 
Ivi kwanini watu wanasoma mbaka degree uko watu ni wengi sana alafu awana ajira na zikitoka ni chache
Unakuta vijana hasa waliotoka kwa wazazi masikini wanarandaranda tu hawana pakwenda
Kwanini watu mnaendelea kusoma tu au amsomi nyakati
Aiseee yabid mtu aishie form four tu kwa kweli
Maana hizo ada ni mtaji
 
wanasema wasomi wa juu muda mwingi hutumia kwenda kujiendeleza kimasomo sasa shida ukiwaweka wengi huko maofisini na makambini watabaki kina nani..?
mpaka wenyewe wameamua kufanya hivyo nafikiri wameshaona kuwa ni tatizo.. ngumu kwa mwenye degree kumkalisha lindo atataka tu akasome apande cheo hiyo ndio tabu!
Kwa kiasi fulani uko sahihi. Lakini ukizingatia kwamba mtu mwenye degree huyo tayari ni professional. Ana ujuzi tayari ila tu kakosa nafasi mahali pa kuajiriwa kwa Utaalam wake. Kwa mantiki hiyo siku isiyo na jina ataondoka kwenda kwenye kazi aliyosomea. Wale wa kidato cha 4 na 6 ni watu walio huru - wanaweza kuelekea kokote e.g. kwenda chuo au kujikalia mtaani na hawatalalamika kuhusu ajira kwani hawana Ujuzi waliosomea. Kwa mantiki hiyo hao wanakuwa Loyal kwenye jeshi na hawasumbui kwenye Trainings. Ni sawa na kusema hao ni "unsigned cheque"
 
Kwa kiasi fulani uko sahihi. Lakini ukizingatia kwamba mtu mwenye degree huyo tayari ni professional. Ana ujuzi tayari ila tu kakosa nafasi mahali pa kuajiriwa kwa Utaalam wake. Kwa mantiki hiyo siku isiyo na jina ataondoka kwenda kwenye kazi aliyosomea. Wale wa kidato cha 4 na 6 ni watu walio huru - wanaweza kuelekea kokote e.g. kwenda chuo au kujikalia mtaani na hawatalalamika kuhusu ajira kwani hawana Ujuzi waliosomea. Kwa mantiki hiyo hao wanakuwa Loyal kwenye jeshi na hawasumbui kwenye Trainings. Ni sawa na kusema hao ni "unsigned cheque"
Sababu ni hiyo kweli??
 
Kwa kiasi fulani uko sahihi. Lakini ukizingatia kwamba mtu mwenye degree huyo tayari ni professional. Ana ujuzi tayari ila tu kakosa nafasi mahali pa kuajiriwa kwa Utaalam wake. Kwa mantiki hiyo siku isiyo na jina ataondoka kwenda kwenye kazi aliyosomea. Wale wa kidato cha 4 na 6 ni watu walio huru - wanaweza kuelekea kokote e.g. kwenda chuo au kujikalia mtaani na hawatalalamika kuhusu ajira kwani hawana Ujuzi waliosomea. Kwa mantiki hiyo hao wanakuwa Loyal kwenye jeshi na hawasumbui kwenye Trainings. Ni sawa na kusema hao ni "unsigned cheque"
Tukichukua wasomi wataleta ujuaji tunapotoa maagizo, mtu ataomba maji watampa lkn vichwa mchunga wanakunyima maji mchna kweupeee
 
Ivi kwanini watu wanasoma mbaka degree uko watu ni wengi sana alafu awana ajira na zikitoka ni chache
Unakuta vijana hasa waliotoka kwa wazazi masikini wanarandaranda tu hawana pakwenda
Kwanini watu mnaendelea kusoma tu au amsomi nyakati
Tatizo ni mfumo

Pia tatizo letu kubwa ni kutokukubaliana na ukweli.

Ni ukweli kwamba yatupasa tubadilike tuishi kulingana wakati tulionao sasa.

Mfumo wa elimu hii ni wakitumwa
Unatuandaa tujekuwa watumwa watiifu.
Mtumwa mtiifu ataendelea kupeleka watoto shule kama vile ambavyo slave masters wanataka
 
Tatizo ni mfumo

Pia tatizo letu kubwa ni kutokukubaliana na ukweli.

Ni ukweli kwamba yatupasa tubadilike tuishi kulingana wakati tulionao sasa.

Mfumo wa elimu hii ni wakitumwa
Unatuandaa tujekuwa watumwa watiifu.
Mtumwa mtiifu ataendelea kupeleka watoto shule kama vile ambavyo slave masters wanatak
Serikali ifanye mapinduzi ya mfumo wa elimu na sio kudanganya watu na viajira viwili
 
Tatizo ni mfumo

Pia tatizo letu kubwa ni kutokukubaliana na ukweli.

Ni ukweli kwamba yatupasa tubadilike tuishi kulingana wakati tulionao sasa.

Mfumo wa elimu hii ni wakitumwa
Unatuandaa tujekuwa watumwa watiifu.
Mtumwa mtiifu ataendelea kupeleka watoto shule kama vile ambavyo slave masters wanataka
Nanukuu:
"Pia tatizo letu kubwa ni kutokukubaliana na ukweli.
Ni ukweli kwamba yatupasa tubadilike tuishi kulingana wakati tulionao sasa".

Huu 👆 👆 ndo ukweli wenyewe.
Kazi ya kusoma ni hatua mojawapo tu ili uweze kupambana vizuri zaidi kuipata Ajira. Kuipata ajira serikalini, kwenye Taasisi au binafsi ni kazi ngumu (pengine hata kuzidi)kama ilivyokuwa kazi ngumu kusoma chuoni -Dip; Degree au .......Vijana watambue na wakubaliane na muda tulionao- Hakuna mtu atakayefanya kazi ya kukutafutia wewe Ajira. Kwa wakati tulio nao, kulia-lia na kulaumu haisaidii. Pambana mwenyewe -ukipata mtu wa kukusaidia (Connection) ushukuru sana.
Vijana wakumbuke kwamba huko chuoni walienda kujipatia au kusomea Ujuzi fulani. Ujuzi huo ni mali yako mwenyewe hakuna atakayekuondolea au kukunyang'anya ujuzi huo. Sasa ni wapi utautumia ujuzi ulioupata ni juhudi zako binafsi zinahitajiaka. Ukiamua kuuweka ujuzi wako uvunguni ni ruksa, ukiamua kuingia mtaani kwenye jamii na kuisaka fursa ni ruksa pia. Kazi ni kwako "kusuka au kunyoa".
Ni hayo tuu.
 
Serikali ifanye mapinduzi ya mfumo wa elimu na sio kudanganya watu na viajira viwili
[/QUOTE
Ni ngumu sana kwa sirikali kubadilisha mfumo wa elimu
Mfumo huu ndio unawafavor wao!

Me nadhani kuna nguvu zinaoperate sambamba na sirikali nazenyewe zina mchango mmkubwa sana katika haya madudu tunayoyaona.
Tena nguvu yake ni kubwa sana kuliko hata sirikali
 
Back
Top Bottom