we jamaa wacha ushamba...ni nani aliyekudanganya ukuta lazima uwe umejengwa kwa mawe na simiti??😀😀😀😀kuna ukuta hata wa glass, ukuta wa steel au mbao...punguza ushamba tafadhali 😀😀😀 ubaya wako ukiskia ukuta kinachokujia akilini ni ukuta uliojengwa kwa mawe na simiti..hahahaha...its not like that bro
ukiona wanaiita wall katika habari usidhani ni maridadi tu
Kenya has commenced the construction of the security wall along the Kenya-Somalia border. The wall is being constructed to check cross-border incursions by ...