JKT yatangaza majina ya vijana waliohitimu Kidato cha Sita 2022 wanaotakiwa kujiunga na JKT kwa Mujibu wa Sheria

Hakuna consequences yoyote akienda au asipokwenda ila kama anauwezo na Hana matatiz ya kiafya ni vizuri akienda
Kwahiyo Mkuu hakutakuw ana madhara yoyote si ndio? Najua faida zake huko mbeleni inaweza kuwa fursa endapo akipenda kujiunga na majeshi. Ila kama hana hiyo interest kwa sasa na afya yake hairuhusu nadhani anaweza tu asiende sindio? Maana nadhani haitomzuia kupata nafasi ya kusoma Chuo kikuu hapo baadae endapo atafaulu.
 
Mambo ya jeshi ayahusiani kabisa na kupata chuo,mkopo Wala kazi ila Sina uhakika Kwa kazi za jeshini lakini kiujumla aina consequences yoyote pia wapo vijana wengine waliomaliza kidato Cha sita lakini hawatopata nafasi yakuchaguliwa kwenda jeshi
 
Mambo ya jeshi ayahusiani kabisa na kupata chuo,mkopo Wala kazi ila Sina uhakika Kwa kazi za jeshini lakini kiujumla aina consequences yoyote pia wapo vijana wengine waliomaliza kidato Cha sita lakini hawatopata nafasi yakuchaguliwa kwenda jeshi
Sawa Mkuu nimekupata. Kumbe ni bahati pia. Sijui wanatumia vigezo gani kwenye kuwachagua. Au wana apply strategy ya simple random selection?
 
Mwaka huu kambi gani watafanya usaili wa madogo kwenda TPDF mwenye kufahamu, maelezo tafadhali.
 
Kikubwa naona ni kile chet

Chet cha jkt kitakusaidia mengi sanaa sanaaaa
 
Hivi mtu akijipeleka huwa wanapokelewa? maana kuna dogo hapa hajachaguliwa anataka ajipeleke
Ajipeleke tu coz wanafunzi wengi wanaochaguliwa hawaendi kwahiyo hawezi kukosa nafasi, aende zile kambi za pembezoni anapokelewa kiroho safi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…