Naomba mwenye kujua atujulishe kuna madhara gani kwa kijana aliyeitwa asipoenda ? What would be the consequences of not attending ?
Nimeuliza hivyo kwa sababu kuna wazazi wanahaha hawana uwezo wa kuwapatia voijana wao hayo mahitaji na hizo nauli. Kwa haraka haraka hayo mahitaji pamoja na nauli ya kwenda na kurudi si chini ya 200K.
Huu wito wao wanaona umekuwa wa ghafla hawakuandaliwa mapema. Ilitakiwa kijana aandaliwe tangu akiwa masomoni kuwa atatakiwa kwenda JKT soon baada ya kumaliza mitihani ya F6.