JNIA vs JKIA tuliwaambia

JNIA vs JKIA tuliwaambia

Hahahaha, maumivu makubwa sana, mumeshindwa katika vigezo vya 1)Biggest, 2)Modern, 3)Beautiful, 4)Technologically advanced Airport, mambo ambayo mlikua mkiringa sana kabla ya kujenga hii terminal 3, sasa mnabadilisha vigezo.

Sikiliza wewe kichaa, ukubwa na uzuri wa wa Nyumba, uwanja wa michezo, gari au ndege, haupimwi kwa wingi wa watu wanaoishi au kutumia hilo gari, au kiwango cha pesa kinachopatikana.

Kasarani na Tanzania National Stadium, haxilinganishwi kutokana na mapato au watu wanaoingia kwa mwaka, Bali vinalinganishwa kwa " Capacity, technology, and beauty ", hata visipotumika kabisa, lakini capacity zao zinajulikana, acha kutapatapa haitokusaidia, kubaliana na ukweli, JNIA is more superior than JKIA kwa sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tuletee source basi...


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa unafikiria wanaopewa hyo mishahara hawana bajeti wanazozipangia familia zao kw ajili ya kuendesha maisha yao ya kila siku...

Joto la jiwe, akili zako unazijua mwenyewe[emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo rais wenu alivyolalamika kwamba wage bill yenu ni kubwa ukilinganisha kwamba inatumika kulipa 2% ya wakenya pekee alikua hana akili alivuta bhangi?. Unajua lengo na umuhimu wa serikali zote duniani kudhibiti viwango vya mishahara ya wafanyakazi ili kupunguza tofauti ya vipato kwa wananchi wao, au wewe somo la uchumi lilikupita?.

Kwa kupunguza " Government wage bill", serikali inabaki na pesa za kutosha kuweza kuwahudumia wananchi wengine ambao hawakuajiriwa serikalini, hivyo kila mwananchi anafaidi matunda ya kodi yake.

Angalia jinsi Tanzania ibavyoongozwa, karibuni mje kujifunza.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kelele bila kusema chochote. Uliskia wapi mishahara ni ya serikali pekee?
Kenya has a vibrant private sector, na mishahara yetu ni mara tatu ya Tanzania.
Mishahara pia naongea kuhusu income za biashara.

Mtanzania wa kawaida hawezi afford kuishi Kenya.
Mkenya akija huko anakuwa tajiri automatically.
Sasa Private sector inahusiana vipi na Sera au kulinganisha hizi nchi mbili?. Sisi tunalinganisha serikali za Kenya na Tanzania ambazo zinawajibika moja kwa moja kwa wananchi

Sasa ona jinsi mlivyo wajinga, sisi tumewapunguzia mishahara kidogo watumishi wa serikali, ili kuwahudumia wananchi wa kawaida, ambao ndio wazalishaji wakuu.

Tanzania tunaongoza Afrika katika kutoa tiba bora na ya kisasa Afrika, tena ni bure kwa wananchi wetu, matokeo yake, wakenya wanavuka mpaka na kuja kutibiwa Cancer Tanzania.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo rais wenu alivyolalamika kwamba wage bill yenu ni kubwa ukilinganisha kwamba inatumika kulipa 2% ya wakenya pekee alikua hana akili alivuta bhangi?. Unajua lengo na umuhimu wa serikali zote duniani kudhibiti viwango vya mishahara ya wafanyakazi ili kupunguza tofauti ya vipato kwa wananchi wao, au wewe somo la uchumi lilikupita?.

Kwa kupunguza " Government wage bill", serikali inabaki na pesa za kutosha kuweza kuwahudumia wananchi wengine ambao hawakuajiriwa serikalini, hivyo kila mwananchi anafaidi matunda ya kodi yake.

Angalia jinsi Tanzania ibavyoongozwa, karibuni mje kujifunza.


Sent using Jamii Forums mobile app
Rais hahusiani kabisa na bajeti ya mishahara ya wananchi...

Halafu kw majigambo yote hayo, mnaongoza EA kw idadi ya watu maskini...what an irony

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Screenshot_20191217-113753_Chrome.jpg
Kenya Maisha ni Magumu sana.
Tunawakaribisha Tanzania Nchi ya Maziwa na Asali.
Tanzania = USA
Kenya= Mexico
Vukeni Mipaka mje Kutafuta maisha huku Tz.
 
Walala hoi EAC na SADC![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], hadi masikini hohehahe asie jiweza, omba omba wanakimbia nchi! [emoji23][emoji23][emoji23], munahitaji kugangwa ama ukombozi wa mawazo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapi? Kwa mtazamo wako na blind patriotism, seeing everything through poverty stricken mindset., can't think rationally and analyse things critically. Empty rhetoric and kindergarten argument. Grow up then ni tag.
Hahahaha, maumivu makubwa sana, mumeshindwa katika vigezo vya 1)Biggest, 2)Modern, 3)Beautiful, 4)Technologically advanced Airport, mambo ambayo mlikua mkiringa sana kabla ya kujenga hii terminal 3, sasa mnabadilisha vigezo.

Sikiliza wewe kichaa, ukubwa na uzuri wa wa Nyumba, uwanja wa michezo, gari au ndege, haupimwi kwa wingi wa watu wanaoishi au kutumia hilo gari, au kiwango cha pesa kinachopatikana.

Kasarani na Tanzania National Stadium, haxilinganishwi kutokana na mapato au watu wanaoingia kwa mwaka, Bali vinalinganishwa kwa " Capacity, technology, and beauty ", hata visipotumika kabisa, lakini capacity zao zinajulikana, acha kutapatapa haitokusaidia, kubaliana na ukweli, JNIA is more superior than JKIA kwa sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walala hoi EAC na SADC![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], hadi masikini hohehahe asie jiweza, omba omba wanakimbia nchi! [emoji23][emoji23][emoji23], munahitaji kugangwa ama ukombozi wa mawazo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mumekua wengi huku Tanzania hadi mumeamua kuanzisha umoja wenu wa "Kenyans Diaspora in Tanzania", hiyo ni kuonyesha kwamba Tanzania ni baba lao hapa EAC. Onyesha ni nchi gani zingine hapa Africa ambayo kuna chama cha wakenya kama hiki?, hahahaha, hahahaha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapi? Kwa mtazamo wako na blind patriotism, seeing everything through poverty stricken mindset., can't think rationally and analyse things critically. Empty rhetoric and kindergarten argument. Grow up then ni tag.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha, mnashindwa ktk "development projects" mnaanza kurusha Maneno ya kujitetea. Mngekua mnatumia akili ktk kufikiria msingeshindwa kumaliza ukabila na rushwa vinavyozamisha maisha ya wakenya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Look at Kenya's Port revenue collections, a running sgr, airports revenue, private sector profits, kwa mfano one company pekee inafunika top 10 best companies kwa ujumla in Tz kwa income,(Safaricom,) na sijataja KCB, Equity etc., Kiambu county revenue beats Dar!, ndio ujue Dar 90% of the population wana exist tu, their contribution to economy is minimal kazi nikuzubaa kwa beach, mitandaoni kama jamii forums, kama wewe, na kuzurura na kurandaranda Dar ukiangalia maghorofa.
Wahindi na warabu wameshikilia Dar, Azam na wengine, less than 2%, the other 8% ni gov't agencies na biashara ndogo ndogo., making it 10% drivers of Dar economy.
Hahahaha, cosmetic is your GDP, you can't show anything on the ground which reflects your " Bigger GDP", every project even the very small ones can't without borrowing

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabiashara, watu wa kujituma, sasa vile mko wengi Kampala inamaana Uganda ni big shot EAC?, akili yako finyu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],
Uganda has high population ya Africans, Nigerians wamejaa, Tanzanians, Ethiopians, sasa Wasomali na Sudanese wanetiririka kwa wingi., wewe na hiyo akili ya kishamba utasemaje?
Mumekua wengi huku Tanzania hadi mumeamua kuanzisha umoja wenu wa "Kenyans Diaspora in Tanzania", hiyo ni kuonyesha kwamba Tanzania ni baba lao hapa EAC. Onyesha ni nchi gani zingine hapa Africa ambayo kuna chama cha wakenya kama hiki?, hahahaha, hahahaha.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha, maumivu makubwa sana, mumeshindwa katika vigezo vya 1)Biggest, 2)Modern, 3)Beautiful, 4)Technologically advanced Airport, mambo ambayo mlikua mkiringa sana kabla ya kujenga hii terminal 3, sasa mnabadilisha vigezo.

Sikiliza wewe kichaa, ukubwa na uzuri wa wa Nyumba, uwanja wa michezo, gari au ndege, haupimwi kwa wingi wa watu wanaoishi au kutumia hilo gari, au kiwango cha pesa kinachopatikana.

Kasarani na Tanzania National Stadium, haxilinganishwi kutokana na mapato au watu wanaoingia kwa mwaka, Bali vinalinganishwa kwa " Capacity, technology, and beauty ", hata visipotumika kabisa, lakini capacity zao zinajulikana, acha kutapatapa haitokusaidia, kubaliana na ukweli, JNIA is more superior than JKIA kwa sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ss [emoji115][emoji115][emoji115] ulikuwa unataka source ya nn mbn alichokiandika kipo open sn
Tuletee source basi...


Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hili la JNIA is much better than JKIA nalo unahitaji source [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Fuatilia mwenzako alichokiandika kwanza wacha kukurupuka

Sent using Jamii Forums mobile app
Huna lolote umeishiwa hoja tu[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio maana kwa sasa mambo yanatikisika, BBI(tunajadiliana jinsi ya juleta suluhu kwa mambo ambayo yametukumba), corruption scandals zimeletwa kwa limelight through free media, watu wanakamatwa, miradi zisizofuata sheria zinasitishwa, King Kaka katoa ngoma; "Wajinga Nyinyi" , shows people are thinking na wameanza ku act, nyie bado mumefumbwa macho kwa propaganda za CCM, ilhali kwa ground umasikini ndio wimbo (quoting Christina Shusho), the day Tanzania will wake up, I mean wake up, kila mtu ata tii., the potential of success is massive!, lakini kwa sasa, bado sana, mmeona vighorofa, viflyover, ka brt, stadium ya kisasa(90% devt in Dar mostly) mnadhani mshatoka, hampo kabisaa! The few well positioned guys economically ndio wanafaidika zaidi, nyie brt inasaidia mfike kazini kwa wakati, na wenye nchi (owners of industry and businesses, Indians and Arabs na serikali- around 10%) wafaidike kwa haraka. Mtanzania akiamka kimawazo, another China or Singapore can happen., sasa ni propaganda imewatuliza kwa umasikini, unaona brt, jnia, flyover unafikiri uko sawa! Ovyo kabisa!!!
Hahahaha, mnashindwa ktk "development projects" mnaanza kurusha Maneno ya kujitetea. Mngekua mnatumia akili ktk kufikiria msingeshindwa kumaliza ukabila na rushwa vinavyozamisha maisha ya wakenya.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Look at Kenya's Port revenue collections, a running sgr, airports revenue, private sector profits, kwa mfano one company pekee inafunika top 10 best companies kwa ujumla in Tz kwa income,(Safaricom,) na sijataja KCB, Equity etc., Kiambu county revenue beats Dar!, ndio ujue Dar 90% of the population wana exist tu, their contribution to economy is minimal kazi nikuzubaa kwa beach, mitandaoni kama jamii forums, kama wewe, na kuzurura na kurandaranda Dar ukiangalia maghorofa.
Wahindi na warabu wameshikilia Dar, Azam na wengine, less than 2%, the other 8% ni gov't agencies na biashara ndogo ndogo., making it 10% drivers of Dar economy.

Sent using Jamii Forums mobile app
Taja ni kwa kiasi gani serikali yenu inatekekeza miradi ya kuwahudumia wananchi kutokana na kodi wanayokusanya, acha kuhesabu Private companies ambazo faida huingia ktk mifuko ya "shareholders".

Acha kuzungumza kuhusu ukusanyaji wa pesa, tunataka kuona hizo pesa zinasaidiaje ktk kuboresha huduma za jamii, hasa kwa wananchi wa ngazi za mashinani kupata, chakula, maji safi na salama, Afya, umeme na ulinzi wa maisha na Mali zao. Huko Kenya pesa yote mbayokusanya huishia mifukoni mwa wanasiasa na " Cartels ".

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom