Ni haki yake.
Akipitishwa na chama chake sijui atanyoa hizo nywele au ataenda nazo mjengoni? binafsi ningependa aende nazo.
Anaweza kuwa na "madini" sana kichwani, kuwa msanii hakuna maana uwezo wa kufikiria nao unakuwa mdogo.
Hayo mawazo mgando tuyaache.
Hahaha! Sasa hivi kajikita kwenye uchungaji na ameshafungua hadi kanisaAmesahau yaliyomkuta Masanja Mkandamizaji huko Njombe
Masanja ilikuwaje kwani?Amesahau yaliyomkuta Masanja Mkandamizaji huko Njombe
Siasa ni Kama biashara zingine abeti tu akiwini ni tajiri tayari.Sijui waliuza nyumba yao obay
Kama pesa bado ipo afanyie mambo mengine aachane na siasa siasa Ina wenyewe
Ova
Usimsahau Ali Kessy na LusindeLile jumba limedharaulika sana kwa sababu ya kina msukuma na ndugai
Usimsahau Ali Kessy na Lusinde
Alifanya kama huyo anachotaka kukifanya akapigwa chiniMasanja ilikuwaje kwani?
Hahahaha ni wapi alipo Kingwendu?? Dah nikikumbuka naumia kwa kweliAcheni utani wazee!
Master J
Mwana FA
Harmonize
Steve Nyerere
nk
Kama kuna washauri wao humu ndani wasaidieni hawa jamaa, waambieni siasa kama haipo damuni watapata shida bila sababu ni vema wakaendelea na maisha yao ya muziki!
Don't be fooled by appearance, master J ni ELECTRICAL ENGINEERNi haki yake.
Akipitishwa na chama chake sijui atanyoa hizo nywele au ataenda nazo mjengoni? binafsi ningependa aende nazo.
Anaweza kuwa na "madini" sana kichwani, kuwa msanii hakuna maana uwezo wa kufikiria nao unakuwa mdogo.
Hayo mawazo mgando tuyaache.
Kwani kina sugu profesa j.wao walivyogombea walikuwa wanaenda kupiga show na lema alikuwa anaenda ku**a magari?Huyu master j mjinga sana yeye anadhani ubunge ni bongo star search.
Hahahaha ni wapi alipo Kingwendu?? Dah nikikumbuka naumia kwa kweli
Chama kikimpitisha ubunge Ni wake labda kisimpitishe, Nani wakumzuia kwa mfano
Mbona ameshanyoa siku nyingiNi haki yake.
Akipitishwa na chama chake sijui atanyoa hizo nywele au ataenda nazo mjengoni? binafsi ningependa aende nazo.
Anaweza kuwa na "madini" sana kichwani, kuwa msanii hakuna maana uwezo wa kufikiria nao unakuwa mdogo.
Hayo mawazo mgando tuyaache.
Ni haki yake.
Akipitishwa na chama chake sijui atanyoa hizo nywele au ataenda nazo mjengoni? binafsi ningependa aende nazo.
Anaweza kuwa na "madini" sana kichwani, kuwa msanii hakuna maana uwezo wa kufikiria nao unakuwa mdogo.
Hayo mawazo mgando tuyaache.
Sikuhizi bongo mtu yoyote maarufu tu anajiona anafaa kuwa mbunge. Hata wenye vyeo vingine wanawaza tu ubunge lohAlifanya kama huyo anachotaka kukifanya akapigwa chini