Uchaguzi 2020 Joachim Marunda Kimaryo (maarufu kama Master J) atangaza nia ya kugombea ubunge Rombo


Alishatoa yale marasta, upo wapi aisse? Majuzi nilikuwa nae pale tunaminya mbege!
Ila ubunge huyu hapati! Rombo tayari ina mwenyewe hata yeye anajua.
 
Mbunge anatakiwa kuwa darasa la saba na pia ni haki ya kila mwanachama wa chama cha siasa mwenye sifa sahihi kugombea.

Lakini kuna somo hapa bunge lilioisha 70% ya wabunge ilikuwa ni mara yao ya kwanza (I don’t know nchi gani nyingine this is possible), wachangiaji wengi mule ndani wamekuwa wakiongea utumbo na ushabiki wa kichama zaidi kuliko kuchambua mambo kitaalamu, na spika mwenyewe akiwa anabiriki mipasho na utumbo mara kadhaa.

Haya ndio matunda ya bunge la miaka kumi iliyopita watu ambao hawana ata interest na siasa katika maisha yao ya kila siku ila wakiangalia kinachoendelea bungeni wanaona hiyo kazi mbona ata wao wanaweza.

Quality ya wabunge na mijadala imekuwa ovyo sana kuvutia kila mtu kujaribu bahati yake kama njia ya kukimbia umaskini.
 
Acheni utani wazee!

Master J
Mwana FA
Harmonize
Steve Nyerere
nk

Kama kuna washauri wao humu ndani wasaidieni hawa jamaa, waambieni siasa kama haipo damuni watapata shida bila sababu ni vema wakaendelea na maisha yao ya muziki!
Hahahaha ni wapi alipo Kingwendu?? Dah nikikumbuka naumia kwa kweli
 
Don't be fooled by appearance, master J ni ELECTRICAL ENGINEER
 
Huyu master j mjinga sana yeye anadhani ubunge ni bongo star search.
Kwani kina sugu profesa j.wao walivyogombea walikuwa wanaenda kupiga show na lema alikuwa anaenda ku**a magari?
 
Siasa huleta utengano kwani kuna itikadi zinazokinzana! Kama ni mwanamuziki akiingia upande mmoja ajiandae kupoteza wateja wa upande ule!

Nawashauri hawa jamaa waachane na siasa waendelee na maisha yao.

Kingwendu na wenzake wengi waliposhndwa kila kitu kikapotea
Hahahaha ni wapi alipo Kingwendu?? Dah nikikumbuka naumia kwa kweli
 
Mbona ameshanyoa siku nyingi
 

Zile nywele ameshakata siku nyingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…