Uchaguzi 2020 Joachim Marunda Kimaryo (maarufu kama Master J) atangaza nia ya kugombea ubunge Rombo

Uchaguzi 2020 Joachim Marunda Kimaryo (maarufu kama Master J) atangaza nia ya kugombea ubunge Rombo

Acheni utani wazee!

Master J
Mwana FA
Harmonize..
Kama musukuma,kibajaji kaweza wao wanashindwa Nini. Bunge la sikuhizi hadhi yake na heshima imeshuka Sana wabunge kazi yao ni kusema tu ndiyoooooo unategemea Nini.
 
Ama kweli nimeamini ubunge unalipa!

Ila mwaka huu wananchi wenzangu tuchague wabunge wenye nia ya dhati ya kutuletea maendeleo sio wenye nia ya kwenda kujinufaisha.

Vyama vinapaswa viwe makini na macho kupitisha mgombea mwenyewe uadilifu na mwaminifu ambaye yuko tayari kukosa posho za bunge kwa ajili ya wananchi wake.

Hofu yangu ni kuwa nyakati hizi kutaibuka watu wengi wakijinasibu kuwatumikia wanchi kumbe wanataka kujinufaisha kupotia ubunge, tuwe machoooooo kodoooooo.
 
Wasanii wote mnakimbilia siasa,kazi ipo huko ndio kunalipa Kuliko professional.
 
Ni haki yake.

Akipitishwa na chama chake sijui atanyoa hizo nywele au ataenda nazo mjengoni? binafsi ningependa aende nazo.

Anaweza kuwa na "madini" sana kichwani, kuwa msanii hakuna maana uwezo wa kufikiria nao unakuwa mdogo.

Hayo mawazo mgando tuyaache.
Amekata Rasta zake mkuu
 
Kuna watu wanamdharau mwamba. Mwamba shule kapiga. Labda uchanga wa siasa. All in all, ni haki yake wacha akajaribu. Kwenye sanaa kuna watu wengi ni 'manyalali wa fikra' wanaweza kutinga mjengoni kama wakipewa fursa na kufanya makubwa.
 
Muandaji muziki maarufu Joachim Marunda Kimaryo (Master J) ametangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Rombo akiwa kwenye mahojiano katika redio ya Clouds FM kwenye kipindi cha XXL.

Master J amenukuliwa akisema "Mimi nipo CCM tangu zamani, natangaza nia, uchaguzi wa mwaka huu, Chama kikinipa nafasi nitagombea Rombo, Kilimanjaro kule ndio kwetu, Mbunge wa sasa kule ni Mzee wetu Selasini, naenda Rombo ili kuwatumikia Wananchi”

Master J ambaye amezaliwa (9 Agosti 1973) na amewahi kupata mafanikio makubwa katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya (Bongo Flava) ambao amedumu kwa zaidi ya miaka 25 sasa, amewahi kupata tuzo ya Kili Music Awards mara mbili, mwaka 2004 na 2006.
Waimba pambio wanaongezeka
 
Tujiandae kupata song jipya
intro:stive nyerere
vers1😛rof jay
chorus:harmonize
verse2:mwana fa
bridge:kingwendu
verse3: sugu
outro:shilole
 
Ni haki yake.

Akipitishwa na chama chake sijui atanyoa hizo nywele au ataenda nazo mjengoni? binafsi ningependa aende nazo.

Anaweza kuwa na "madini" sana kichwani, kuwa msanii hakuna maana uwezo wa kufikiria nao unakuwa mdogo.

Hayo mawazo mgando tuyaache.
Jamaa amenyoa siku nyingi hizo rasta na hata yeye alikiri sababu za kunyoa

Sent from my TECNO B1 using JamiiForums mobile app
 
Lile jumba limedharaulika sana kwa sababu ya kina msukuma na Ndugai
Mtanzania yeyote aliyekidhi vigezo anaweza kuchaguliwa na kwenda huko,lile jumba si kwa maalum kwa ajili ya kundi flani la watu tu.
 
Ni haki yake.

Akipitishwa na chama chake sijui atanyoa hizo nywele au ataenda nazo mjengoni? binafsi ningependa aende nazo.

Anaweza kuwa na "madini" sana kichwani, kuwa msanii hakuna maana uwezo wa kufikiria nao unakuwa mdogo.

Hayo mawazo mgando tuyaache.
Nywele mbona alishanyoa Muda.
 
Muandaji muziki maarufu Joachim Marunda Kimaryo (Master J) ametangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Rombo akiwa kwenye mahojiano katika redio ya Clouds FM kwenye kipindi cha XXL.

Master J amenukuliwa akisema "Mimi nipo CCM tangu zamani, natangaza nia, uchaguzi wa mwaka huu, Chama kikinipa nafasi nitagombea Rombo, Kilimanjaro kule ndio kwetu, Mbunge wa sasa kule ni Mzee wetu Selasini, naenda Rombo ili kuwatumikia Wananchi”

Master J ambaye amezaliwa (9 Agosti 1973) na amewahi kupata mafanikio makubwa katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya (Bongo Flava) ambao amedumu kwa zaidi ya miaka 25 sasa, amewahi kupata tuzo ya Kili Music Awards mara mbili, mwaka 2004 na 2006.
Bila kusahau jamaa huyo ni injinia wa umeme.
 
Alishatoa yale marasta, upo wapi aisse? Majuzi nilikuwa nae pale tunaminya mbege!
Ila ubunge huyu hapati! Rombo tayari ina mwenyewe hata yeye anajua.
Sorry, mimi sio msanii sina access ya kuonana nae.
 
Ni haki yake.

Akipitishwa na chama chake sijui atanyoa hizo nywele au ataenda nazo mjengoni? binafsi ningependa aende nazo.

Anaweza kuwa na "madini" sana kichwani, kuwa msanii hakuna maana uwezo wa kufikiria nao unakuwa mdogo.

Hayo mawazo mgando tuyaache.
Ukiwa Mbunge kupitia CCM unaweza kuwa na uwezo kichwani na ukaishia kugonga meza kama akina msukuma, Kibajaji, Mlinga.
Angegombea kupitia chadema ningemuelewa maana kule kuna uhuru wa mawazo, hamna akili za kushikiwa
 
Huyu afadhali
Nahisi kichwa kimetulia kuliko on stage performing artists
 
Back
Top Bottom