Mshumaa_Tz
JF-Expert Member
- Mar 20, 2020
- 681
- 2,501
Sacco's ya mtaa wa ufipa
Master j anapitia chama chakavu anadhani ubunge nimatako kwmba kila mtu anayo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sacco's ya mtaa wa ufipa
Sijui waliuza nyumba yao O'bay. Kama pesa bado ipo afanyie mambo mengine aachane na siasa siasa Ina wenyewe
Prof Liquid.Acheni utani wazee!
Master J
Mwana FA
Harmonize
Steve Nyerere
nk
Kama kuna washauri wao humu ndani wasaidieni hawa jamaa, waambieni siasa kama haipo damuni watapata shida bila sababu ni vema wakaendelea na maisha yao ya muziki!
Ni mchaga, mtu wa kaskazini tena rombo. Hata akija kwenye chama chetu huku, wakaskazini hatutupaniKabila gani huyu ?
Alikatwa mapema sana na wajumbe wa ccmMasanja ilikuwaje kwani?
AlishazinyoaNi haki yake.
Akipitishwa na chama chake sijui atanyoa hizo nywele au ataenda nazo mjengoni? binafsi ningependa aende nazo.
Anaweza kuwa na "madini" sana kichwani, kuwa msanii hakuna maana uwezo wa kufikiria nao unakuwa mdogo.
Hayo mawazo mgando tuyaache.
Sijui waliuza nyumba yao O'bay. Kama pesa bado ipo afanyie mambo mengine aachane na siasa siasa Ina wenyewe
Kweli, siasa ndy kna helaaaNa hali ya uchumi ikishakuwa ngumu ubunifu unaongezeka.
Umemsahau suguLile jumba limedharaulika sana kwa sababu ya kina msukuma na Ndugai
Huyu master j mjinga sana yeye anadhani ubunge ni bongo star search.
KILA MROMBO MWENYE AKILI TIMAMU ANAWEZA KUTIA NIA, NAMWOMBA MASTER J ATUELEZE NI KIPI AMBACHO AMESHATUFANYIA WANAROMBO KAMA MUANDAAJI MKUBWA WA MUZIKI TANZANIA? kama ameshindwa kuisaidia rombo akiwa kwenye bongoflavour, hata awe raisi sembuse ubunge tusitarajie lolote kutoka kwakeMuandaji muziki maarufu Joachim Marunda Kimaryo (Master J) ametangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Rombo akiwa kwenye mahojiano katika redio ya Clouds FM kwenye kipindi cha XXL.
Master J amenukuliwa akisema "Mimi nipo CCM tangu zamani, natangaza nia, uchaguzi wa mwaka huu, Chama kikinipa nafasi nitagombea Rombo, Kilimanjaro kule ndio kwetu, Mbunge wa sasa kule ni Mzee wetu Selasini, naenda Rombo ili kuwatumikia Wananchi”
Master J ambaye amezaliwa (9 Agosti 1973) na amewahi kupata mafanikio makubwa katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya (Bongo Flava) ambao amedumu kwa zaidi ya miaka 25 sasa, amewahi kupata tuzo ya Kili Music Awards mara mbili, mwaka 2004 na 2006.