Uchaguzi 2020 Joachim Marunda Kimaryo (maarufu kama Master J) atangaza nia ya kugombea ubunge Rombo

Uchaguzi 2020 Joachim Marunda Kimaryo (maarufu kama Master J) atangaza nia ya kugombea ubunge Rombo

Ila babake, marehem mzee kimaryo alidhulumu haki za watu wengi sana TANESCO, sisi kama wahanga hatuta mhukumu kwa hilo kwa maana tunaamini kila mtu atuuchukua mzigo wake mwenyewe ila hatutasahau.
Mmeshaanza fitna?!🤣🤣🤣😂
 
Kama huyu ndie producer aliyewatoa kina Prof J na sugu na baadae wakaingia mjengoni,
Leo kwa yeye kutaka kuingia ndio lidharaulike
Prof Jay na Sugu waligombea kupitia chama makini kilichowajenga kisiasa. Huyu anagombea Kupitia chama cha vilaza akina kibajaji, Mlinga, Kessy, Msukuma unategemea nini hapo?!
 
Eti "Kibajaji" mwingine huyo!😁.

Kama ni shule huyo bwana anamzidi hadi yule jamaa yenu!
 
Producer Nguli nchini Master Jay ambaye ametimiza miaka 25 katika tasnia ya uandaaji wa muzidi amedai kuwa atagombea Ubunge katika Jimbo la Rombo iwapo atapewa ridhaa na Chama cha Mapinduzi (CCM).

Master Jay akiongea katika kipindi cha XXL kinachorushwa na Clouds FM amesema kuwa, anahitaji kuwatumikia wananchi wa Rombo kwani ameona bado hajafanya jambo kwa wananchi hao.

Hongera brother kwa uamuzi huo.
 
Ni haki yake.

Akipitishwa na chama chake sijui atanyoa hizo nywele au ataenda nazo mjengoni? binafsi ningependa aende nazo.

Anaweza kuwa na "madini" sana kichwani, kuwa msanii hakuna maana uwezo wa kufikiria nao unakuwa mdogo.

Hayo mawazo mgando tuyaache.
Kwa hiyo shilole ana madini
 
ila siasa sio kabisa aiseee mtu unatakiwa uwe na roho ngumu kwa maneno ambayo utaanza kutupiwa na wananchi pamoja na wapinzani wako yaaani uwe na tolerance ya hali juu.

Mwamba washaanza kumsema sijui ameuza nyumba obay mara babake kadhulumu watu kibao duuuuh. Mimi nikiwa jukwaani mpinzani akianza kuleta pigo kama izi naweza kutukana matusi ya nguoni aiseee siasa zina wenyewe
 
Ila babake, marehem mzee kimaryo alidhulumu haki za watu wengi sana TANESCO, sisi kama wahanga hatuta mhukumu kwa hilo kwa maana tunaamini kila mtu atuuchukua mzigo wake mwenyewe ila hatutasahau.


Silvan Joachim Kimario Nate alikuwa Zulmat?
 
vyuma vimekaza kweli! mi nilijua idara ya usanii itafeli ufisadi ulipobanwa! kila msanii njaa kali sasa kageukia siasa kuwaiga Sugu na Professa J ambao ni vizuri wale wahuni wasirudi bungeni!

siku zote huyu producer alikuwa wapi mbona hakugombea mpaka amegundua pesa ya mzunguko Mkulu kaichukua na kununua Bombadia?
 
Back
Top Bottom