Kama musukuma,kibajaji kaweza wao wanashindwa Nini. Bunge la sikuhizi hadhi yake na heshima imeshuka Sana wabunge kazi yao ni kusema tu ndiyoooooo unategemea Nini.Acheni utani wazee!
Master J
Mwana FA
Harmonize..
Umemsahau Piere liquidAcheni utani wazee!
Master J
Mwana FA
Harmonize...
Amekata Rasta zake mkuuNi haki yake.
Akipitishwa na chama chake sijui atanyoa hizo nywele au ataenda nazo mjengoni? binafsi ningependa aende nazo.
Anaweza kuwa na "madini" sana kichwani, kuwa msanii hakuna maana uwezo wa kufikiria nao unakuwa mdogo.
Hayo mawazo mgando tuyaache.
na sugu piaUsimsahau Ali Kessy na Lusinde
Sacco's ya mtaa wa ufipaChama gani chakavu au?
Waimba pambio wanaongezekaMuandaji muziki maarufu Joachim Marunda Kimaryo (Master J) ametangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Rombo akiwa kwenye mahojiano katika redio ya Clouds FM kwenye kipindi cha XXL.
Master J amenukuliwa akisema "Mimi nipo CCM tangu zamani, natangaza nia, uchaguzi wa mwaka huu, Chama kikinipa nafasi nitagombea Rombo, Kilimanjaro kule ndio kwetu, Mbunge wa sasa kule ni Mzee wetu Selasini, naenda Rombo ili kuwatumikia Wananchi”
Master J ambaye amezaliwa (9 Agosti 1973) na amewahi kupata mafanikio makubwa katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya (Bongo Flava) ambao amedumu kwa zaidi ya miaka 25 sasa, amewahi kupata tuzo ya Kili Music Awards mara mbili, mwaka 2004 na 2006.
Jamaa amenyoa siku nyingi hizo rasta na hata yeye alikiri sababu za kunyoaNi haki yake.
Akipitishwa na chama chake sijui atanyoa hizo nywele au ataenda nazo mjengoni? binafsi ningependa aende nazo.
Anaweza kuwa na "madini" sana kichwani, kuwa msanii hakuna maana uwezo wa kufikiria nao unakuwa mdogo.
Hayo mawazo mgando tuyaache.
Mtanzania yeyote aliyekidhi vigezo anaweza kuchaguliwa na kwenda huko,lile jumba si kwa maalum kwa ajili ya kundi flani la watu tu.Lile jumba limedharaulika sana kwa sababu ya kina msukuma na Ndugai
Nywele mbona alishanyoa Muda.Ni haki yake.
Akipitishwa na chama chake sijui atanyoa hizo nywele au ataenda nazo mjengoni? binafsi ningependa aende nazo.
Anaweza kuwa na "madini" sana kichwani, kuwa msanii hakuna maana uwezo wa kufikiria nao unakuwa mdogo.
Hayo mawazo mgando tuyaache.
Bila kusahau jamaa huyo ni injinia wa umeme.Muandaji muziki maarufu Joachim Marunda Kimaryo (Master J) ametangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Rombo akiwa kwenye mahojiano katika redio ya Clouds FM kwenye kipindi cha XXL.
Master J amenukuliwa akisema "Mimi nipo CCM tangu zamani, natangaza nia, uchaguzi wa mwaka huu, Chama kikinipa nafasi nitagombea Rombo, Kilimanjaro kule ndio kwetu, Mbunge wa sasa kule ni Mzee wetu Selasini, naenda Rombo ili kuwatumikia Wananchi”
Master J ambaye amezaliwa (9 Agosti 1973) na amewahi kupata mafanikio makubwa katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya (Bongo Flava) ambao amedumu kwa zaidi ya miaka 25 sasa, amewahi kupata tuzo ya Kili Music Awards mara mbili, mwaka 2004 na 2006.
Na mimi Bado nashangaa hili..Sikuhizi bongo mtu yoyote maarufu tu anajiona anafaa kuwa mbunge. Hata wenye vyeo vingine wanawaza tu ubunge loh
Sorry, mimi sio msanii sina access ya kuonana nae.Alishatoa yale marasta, upo wapi aisse? Majuzi nilikuwa nae pale tunaminya mbege!
Ila ubunge huyu hapati! Rombo tayari ina mwenyewe hata yeye anajua.
Hahaa! Kingwendu ndo ananiachaga hoi kabisa, kama anaigiza vileHahahaha ni wapi alipo Kingwendu?? Dah nikikumbuka naumia kwa kweli
Ukiwa Mbunge kupitia CCM unaweza kuwa na uwezo kichwani na ukaishia kugonga meza kama akina msukuma, Kibajaji, Mlinga.Ni haki yake.
Akipitishwa na chama chake sijui atanyoa hizo nywele au ataenda nazo mjengoni? binafsi ningependa aende nazo.
Anaweza kuwa na "madini" sana kichwani, kuwa msanii hakuna maana uwezo wa kufikiria nao unakuwa mdogo.
Hayo mawazo mgando tuyaache.