Uchaguzi 2020 Joachim Marunda Kimaryo (maarufu kama Master J) atangaza nia ya kugombea ubunge Rombo

Khee! Kumbe jamaa nae ni mchagga Yesuu! Basi Wachagga noma, kila tasinia wamo.
 
Acheni utani wazee!

Master J
Mwana FA
Harmonize
Steve Nyerere
nk

Kama kuna washauri wao humu ndani wasaidieni hawa jamaa, waambieni siasa kama haipo damuni watapata shida bila sababu ni vema wakaendelea na maisha yao ya muziki!
Prof Liquid.
 
Alishazinyoa
 
Huyu master j mjinga sana yeye anadhani ubunge ni bongo star search.

Ila baadhi ya watz ni washenzi. Kwani yeyw sio mtanzania? Mnaanza kumwongelea ya marehemu Baba yake mara mke wake nk. Hv mna kitu gani nyie masknin wakubwa?
 
KILA MROMBO MWENYE AKILI TIMAMU ANAWEZA KUTIA NIA, NAMWOMBA MASTER J ATUELEZE NI KIPI AMBACHO AMESHATUFANYIA WANAROMBO KAMA MUANDAAJI MKUBWA WA MUZIKI TANZANIA? kama ameshindwa kuisaidia rombo akiwa kwenye bongoflavour, hata awe raisi sembuse ubunge tusitarajie lolote kutoka kwake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…