Job Ndugai ahudhuria mkutano mkuu wa CCM kinyonge. He is haunted by the spirit of vindictiveness

Job Ndugai ahudhuria mkutano mkuu wa CCM kinyonge. He is haunted by the spirit of vindictiveness

Picha hii hapa chini inaeleza mengi sana (zoom umtazame vema Ndugai).

Ndugai yupo kama hayupo kwenye mkutano mkuu wa ccm (7-8 December 2022). Yaelekea kaburuzwa tu. Hajahudhuria kwa ridhaa yake.

Amejawa na simanzi kubwa. Anaonekana katwezwa, na anatamani ardhi ipasuke aingie mavumbini kuliko kuendelea kukaa ukumbini.

View attachment 2438798
picha inazungumza sana. kiukweli jamaa hana furaha na uwepo wake hapo.

anajumlisha,anatoa,anagawanya,anazidisha lakini wapi hapati jibu. kaona bora atizame zake juu ya paa ahesabu idadi ya misumari iliyotumika....napo bado hapati jibu.

nikikumbuka alivyokuwa anajibu kwa jeuri kuhusu madhira yaliyompata lissu baada ya lissu kupigwa risasi, naishia tu kusema malipo ni hapahapa.
 
Picha hii hapa chini inaeleza mengi sana (zoom umtazame vema Ndugai).

Ndugai yupo kama hayupo kwenye mkutano mkuu wa ccm (7-8 December 2022). Yaelekea kaburuzwa tu. Hajahudhuria kwa ridhaa yake.

Amejawa na simanzi kubwa. Anaonekana katwezwa, na anatamani ardhi ipasuke aingie mavumbini kuliko kuendelea kukaa ukumbini.

View attachment 2438798
Wala hana wasiwasi anasubiria posho na mafungu kedekede
 
Sipati picha ccm ya awamu hii ingekuwaje iwapo ccm ya awamu iliyopita ingekuwa bega kwa bega na upinzani.

TL na JPM wangekuwa marafiki, Mbowe na Ndugai wangekuwa marafiki.
 
picha inazungumza sana. kiukweli jamaa hana furaha na uwepo wake hapo.

anajumlisha,anatoa,anagawanya,anazidisha lakini wapi hapati jibu. kaona bora atizame zake juu ya paa ahesabu idadi ya misumari iliyotumika....napo bado hapati jibu.

nikikumbuka alivyokuwa anajibu kwa jeuri kuhusu madhira yaliyompata lissu baada ya kupigwa risasi, naishia tu kusema malipo ni hapahapa
Acha apate malipo yake angali hai
 
Matokeo yake heshima na furaha yake vyote vimefukuzwa. Anaishi kama msukule kwenye hii dunia pamoja na hela yake yote aliyo nayo.
Hivi wewe na Ndugai nani anaishi kama msukule?,unashinda mtandaoni kama fisi maji tu kuandika takataka tu
 
Picha hii hapa chini inaeleza mengi sana (zoom umtazame vema Ndugai).

Ndugai yupo kama hayupo kwenye mkutano mkuu wa ccm (7-8 December 2022). Yaelekea kaburuzwa tu. Hajahudhuria kwa ridhaa yake.

Amejawa na simanzi kubwa. Anaonekana katwezwa, na anatamani ardhi ipasuke aingie mavumbini kuliko kuendelea kukaa ukumbini.

View attachment 2438798
What are the difference?
20221207_200130.jpg
 
Hivyo vikao vya muda mrefu sio rahisi mtu awe na pozi la aina moja kwa muda wote, lazima kibinadamu kuna muda wa concentration, lakini pia kuna muda uchovu utakuwepo, na hii hutokea kwa yeyote haijalishi uwe ulitumbuliwa kwa lazima, au bado upo unakula kuku ofisini.

Naamini hata Dr. Samia bae kuna wakati vikao vikiwa vinaendelea huonesha sura ya uchovu, hasa kama akiwa ni msikilizaji.
Dr?
 
Picha hii hapa chini inaeleza mengi sana (zoom umtazame vema Ndugai).

Ndugai yupo kama hayupo kwenye mkutano mkuu wa ccm (7-8 December 2022). Yaelekea kaburuzwa tu. Hajahudhuria kwa ridhaa yake.

Amejawa na simanzi kubwa. Anaonekana katwezwa, na anatamani ardhi ipasuke aingie mavumbini kuliko kuendelea kukaa ukumbini.

View attachment 2438798
Kama anamlilia Muumba aliyeisahau nchi yake.
 
Picha hii hapa chini inaeleza mengi sana (zoom umtazame vema Ndugai).

Ndugai yupo kama hayupo kwenye mkutano mkuu wa ccm (7-8 December 2022). Yaelekea kaburuzwa tu. Hajahudhuria kwa ridhaa yake.

Amejawa na simanzi kubwa. Anaonekana katwezwa, na anatamani ardhi ipasuke aingie mavumbini kuliko kuendelea kukaa ukumbini.

View attachment 2438798
Hana ham masikini 😂😂😂
 
Wala hana wasiwasi anasubiria posho na mafungu kedekede
sawa posho atapata....but he seems to miss a very important thing in his life, and that thing is power and respect. kwa sasa vyote viwili hana.

alikuwa kwenye powerful circle iliyokuwa inafanya maamuzi mazito ya nchi. kuwepo nje ya hiyo circle kumemtia unyonge sana. he is weak and powerless.

ndugai hakuwa mtu wa kukaa sehemu kinyonge ajikunyate namna hiyo. hiyo ni ishara kwamba hana furaha.
 
Back
Top Bottom