Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
🎼Eeh Munge eeeh, naomba nishike mkono, Dunia hii makosa naomba nishike mkono🎼
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna hukumu imetoka ya kuvunja Katiba bahati nzuri mwenzake alishakufa haijamkutaPicha hii hapa chini inaeleza mengi sana (zoom umtazame vema Ndugai).
Ndugai yupo kama hayupo kwenye mkutano mkuu wa ccm (7-8 December 2022). Yaelekea kaburuzwa tu. Hajahudhuria kwa ridhaa yake.
Amejawa na simanzi kubwa. Anaonekana katwezwa, na anatamani ardhi ipasuke aingie mavumbini kuliko kuendelea kukaa ukumbini.
View attachment 2438798
He is Guilty for keeping Immoral, he is guilty in his heart ×2.Picha hii hapa chini inaeleza mengi sana (zoom umtazame vema Ndugai).
Ndugai yupo kama hayupo kwenye mkutano mkuu wa ccm (7-8 December 2022). Yaelekea kaburuzwa tu. Hajahudhuria kwa ridhaa yake.
Amejawa na simanzi kubwa. Anaonekana katwezwa, na anatamani ardhi ipasuke aingie mavumbini kuliko kuendelea kukaa ukumbini.
View attachment 2438798
🤣🤣🤣🤣hali yake ni mbaya mno.Huwa wakiambiwa kwamba ubaya hulipwa hapahapa duniani wanadhani tunawaambia wale viwavi-jeshi.😂😂😂😂
Fedha za ufisadi kila siku uko roho wangu wangu. Kinaweza kunuka wakati wowote.Kweli pesa haikupi furaha ndugai huyu anamiliki petrol station za kutosha hapo Dodoma.......
Senior Jobless natafuta kazi yyte.
Cc Lowasa, Ndugai et alSheria au kanuni wanazitengeneza na kuzitetea wenyewe bila kujua kwamba siku moja hizo hizo zitakuja kukudhibiti na wewe uliyeshiriki kuziweka ukidhani wewe hazitakuhusu !! Note : Katiba ndio sheria mama !!
Anawaza kesi ya kina Mzee Mdeendugai anawaza hivi :!mikataba ya mabehewa haya iko wapi
Alimfukuza TL akiwa ICU hana roho huyu ni ibilisi kabisa.Huyu alifukuza sana wapinzani bungeni
Baada ya kuona ile ya Prof AssadAnawaza kesi ya kina Mzee Mdee
Ngoja apambane na chama chake cha mambuziAlimfukuza TL akiwa ICU hana roho huyu ni ibilisi kabisa.
🤣🤣🤣Ngoja apambane na chama chake cha mambuzi
Ikitoka hukumu ndiyo atachanganyikiwa zaidiSasa Ndugai yeye anasubiri hukumu yake pia na bahati nzuri hatatukubali afe hadi hukumu itoke
Au anaweza kusema Ina umbo la binadamuHapo akiulizwa Dunia ina umbile gani, anaweza kusema ni pembetatu.
🤣🤣🤣Anawaza namna ya kujaza kibuyu cha asali kimepungua.
🤣🤣🤣nyie watuHapo akiulizwa Dunia ina umbile gani, anaweza kusema ni pembetatu.
Majuto ni mjukuuAlijitoa akili kipindi cha mwendazake sasa anajuta