Job Ndugai ahudhuria mkutano mkuu wa CCM kinyonge. He is haunted by the spirit of vindictiveness

Job Ndugai ahudhuria mkutano mkuu wa CCM kinyonge. He is haunted by the spirit of vindictiveness

Picha hii hapa chini inaeleza mengi sana (zoom umtazame vema Ndugai).

Ndugai yupo kama hayupo kwenye mkutano mkuu wa ccm (7-8 December 2022). Yaelekea kaburuzwa tu. Hajahudhuria kwa ridhaa yake.

Amejawa na simanzi kubwa. Anaonekana katwezwa, na anatamani ardhi ipasuke aingie mavumbini kuliko kuendelea kukaa ukumbini.

View attachment 2438798
Kuna hukumu imetoka ya kuvunja Katiba bahati nzuri mwenzake alishakufa haijamkuta

Sasa Ndugai yeye anasubiri hukumu yake pia na bahati nzuri hatatukubali afe hadi hukumu itoke
 
Picha hii hapa chini inaeleza mengi sana (zoom umtazame vema Ndugai).

Ndugai yupo kama hayupo kwenye mkutano mkuu wa ccm (7-8 December 2022). Yaelekea kaburuzwa tu. Hajahudhuria kwa ridhaa yake.

Amejawa na simanzi kubwa. Anaonekana katwezwa, na anatamani ardhi ipasuke aingie mavumbini kuliko kuendelea kukaa ukumbini.

View attachment 2438798
He is Guilty for keeping Immoral, he is guilty in his heart ×2.

He is guilty from monday to monday.....


Senzo 1999🤣🤣
 
Sheria au kanuni wanazitengeneza na kuzitetea wenyewe bila kujua kwamba siku moja hizo hizo zitakuja kukudhibiti na wewe uliyeshiriki kuziweka ukidhani wewe hazitakuhusu !! Note : Katiba ndio sheria mama !!
Cc Lowasa, Ndugai et al
 
Back
Top Bottom