Job Ndugai ahudhuria mkutano mkuu wa CCM kinyonge. He is haunted by the spirit of vindictiveness

Job Ndugai ahudhuria mkutano mkuu wa CCM kinyonge. He is haunted by the spirit of vindictiveness

Ndugai na marehemu walikuwa ni watu wenye upeo mfupi. Uwezo wao wa kuona mambo ulikuwa unaishia mahali walipo hiyo siku.

Hawakuwa watu wa kuiona kesho. Ndiyo maana walitenda mengi mabaya ya hovyo, wakiamini Dunia itakuwa hivyo hivyo siku zote, kama siku walipokuwa wakitenda uovu.

Ndugai ndiye alisema kuwa atampeleka CAG ofisini kwake kwa pingu.

Mara akawa anawaambia watu kuwa wasicheze na spika. Ana madaraka makubwa sana.

Alishindwa hata kutofautisha kati ya Spika na Ndugai, akidhani Ndugai = spika. Ndiyo maana kila kinachoendelea haamini.

Ukipewa dhamana, uitumikie kwa hekima. Nafasi zote zenye heshima kubwa, ukizitendea uovu, na aibu yake ni kubwa. Leo Ndugai akipita mahali popote, watu wanakuambia, "umemwona Ndugai, amepita hapo", na kila anayenena hafanyi kwa kumheshimu bali kwa kumfedhuli.
 
Picha hii hapa chini inaeleza mengi sana (zoom umtazame vema Ndugai).

Ndugai yupo kama hayupo kwenye mkutano mkuu wa ccm (7-8 December 2022). Yaelekea kaburuzwa tu. Hajahudhuria kwa ridhaa yake.

Amejawa na simanzi kubwa. Anaonekana katwezwa, na anatamani ardhi ipasuke aingie mavumbini kuliko kuendelea kukaa ukumbini.

View attachment 2438798
Hapo anakumbuka alivyokuwa anakatiza mitaa ya Galilaya
 
Tusiwe wanafki, alikua ni tatizo no matter what, alichokipata ndio haki yake!
 

Attachments

  • images (2).jpg
    images (2).jpg
    7.6 KB · Views: 4
picha inazungumza sana. kiukweli jamaa hana furaha na uwepo wake hapo.

anajumlisha,anatoa,anagawanya,anazidisha lakini wapi hapati jibu. kaona bora atizame zake juu ya paa ahesabu idadi ya misumari iliyotumika....napo bado hapati jibu.

nikikumbuka alivyokuwa anajibu kwa jeuri kuhusu madhira yaliyompata lissu baada ya lissu kupigwa risasi, naishia tu kusema malipo ni hapahapa.
Itoshe kusema anafanya MAGAZIJUTO!!!
 
Picha hii hapa chini inaeleza mengi sana (zoom umtazame vema Ndugai).

Ndugai yupo kama hayupo kwenye mkutano mkuu wa CCM (7-8 December 2022). Yaelekea kaburuzwa tu. Hajahudhuria kwa ridhaa yake.

Amejawa na simanzi kubwa. Anaonekana katwezwa, na anatamani ardhi ipasuke aingie mavumbini kuliko kuendelea kukaa ukumbini.

View attachment 2438798
Jamani leo nimeamini kila "%@&^%$+(" ana siku yake... sijui anatizama nini masikini ya Mungu....
 
Matokeo yake heshima na furaha yake vyote vimefukuzwa. Anaishi kama msukule kwenye hii dunia pamoja na hela yake yote aliyo nayo.
Ni huyu huyu kipindi fulani eti alitishia watu, mutanitambua mimi ni "NANI" utaletwa kwa pingu, Dunia simama nishuke...
 
Picha hii hapa chini inaeleza mengi sana (zoom umtazame vema Ndugai).

Ndugai yupo kama hayupo kwenye mkutano mkuu wa CCM (7-8 December 2022). Yaelekea kaburuzwa tu. Hajahudhuria kwa ridhaa yake.

Amejawa na simanzi kubwa. Anaonekana katwezwa, na anatamani ardhi ipasuke aingie mavumbini kuliko kuendelea kukaa ukumbini.

View attachment 2438798
mzee wa atake asitake wa atake asitake mungu fundi nyie
 
Back
Top Bottom