Job Ndugai ahudhuria mkutano mkuu wa CCM kinyonge. He is haunted by the spirit of vindictiveness

Alijitakia, siku zote heshimu mamlaka iliyo juu yako. Angalia Tulia anavyojiachia. Hana nidhamu
 
Maisha hayana formula
 
Umeandika kama MTU ambaye hajitambui
 
Anaomba Magufuli afufuke

Anaomba Mungu aingilie kati Magufuli afufuke
 
Mzee wa Nazareth alijisahau sana huyu mwamba hakujua hata u spika wake ilikiwa ni mali ya ma bosi zake wa chama..

Kashajifunza sasa namna nguvu ya mwenyekiti wa CCM taifa ilivyo..

Mwendazake aliwajaza ujinga sana hawa jamaa, wakajisahau.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…