saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,683
- 7,222
Alijitakia, siku zote heshimu mamlaka iliyo juu yako. Angalia Tulia anavyojiachia. Hana nidhamuPicha hii hapa chini inaeleza mengi sana (zoom umtazame vema Ndugai).
Ndugai yupo kama hayupo kwenye mkutano mkuu wa CCM (7-8 December 2022). Yaelekea kaburuzwa tu. Hajahudhuria kwa ridhaa yake.
Amejawa na simanzi kubwa. Anaonekana katwezwa, na anatamani ardhi ipasuke aingie mavumbini kuliko kuendelea kukaa ukumbini.
View attachment 2438798
Funguka kidogo hapa mkuuAngalia Tulia anavyojiachia. Hana nidhamu
Maisha hayana formulaPicha hii hapa chini inaeleza mengi sana (zoom umtazame vema Ndugai).
Ndugai yupo kama hayupo kwenye mkutano mkuu wa CCM (7-8 December 2022). Yaelekea kaburuzwa tu. Hajahudhuria kwa ridhaa yake.
Amejawa na simanzi kubwa. Anaonekana katwezwa, na anatamani ardhi ipasuke aingie mavumbini kuliko kuendelea kukaa ukumbini.
View attachment 2438798
Huo ndio mtaji wa ccm, anaona ameandika kiingereza. Sifa ni kumaliza darasa la saba.Andikaga kiswahil tu
Umeandika kama MTU ambaye hajitambuiNdugai na marehemu walikuwa ni watu wenye upeo mfupi. Uwezo wao wa kuona mambo ulikuwa unaishia mahali walipo hiyo siku.
Hawakuwa watu wa kuiona kesho. Ndiyo maana walitenda mengi mabaya ya hovyo, wakiamini Dunia itakuwa hivyo hivyo siku zote, kama siku walipokuwa wakitenda uovu.
Ndugai ndiye alisema kuwa atampeleka CAG ofisini kwake kwa pingu.
Mara akawa anawaambia watu kuwa wasicheze na spika. Ana madaraka makubwa sana.
Alishindwa hata kutofautisha kati ya Spika na Ndugai, akidhani Ndugai = spika. Ndiyo maana kila kinachoendelea haamini.
Ukipewa dhamana, uitumikie kwa hekima. Nafasi zote zenye heshima kubwa, ukizitendea uovu, na aibu yake ni kubwa. Leo Ndugai akipita mahali popote, watu wanakuambia, "umemwona Ndugai, amepita hapo", na kila anayenena hafanyi kwa kumheshimu bali kwa kumfedhuli.
Picha hii hapa chini inaeleza mengi sana (zoom umtazame vema Ndugai).
Ndugai yupo kama hayupo kwenye mkutano mkuu wa CCM (7-8 December 2022). Yaelekea kaburuzwa tu. Hajahudhuria kwa ridhaa yake.
Amejawa na simanzi kubwa. Anaonekana katwezwa, na anatamani ardhi ipasuke aingie mavumbini kuliko kuendelea kukaa ukumbini.
View attachment 2438798
Na alivyokunana na Yesu na mkewe,Hapo anakumbuka alivyokuwa anakatiza mitaa ya Galilaya
AmaNdugai anawaza hivi: Mikataba ya mabehewa haya iko wapi