Job Ndugai aliposema ipo siku mtapigwa mnada mlijifanya hamuelewi na mkafurahi alipofanyiwa fitina. Sasa mnapigwa mnada huku mnaona

Job Ndugai aliposema ipo siku mtapigwa mnada mlijifanya hamuelewi na mkafurahi alipofanyiwa fitina. Sasa mnapigwa mnada huku mnaona

Mwanasiasa anayetanguliza tumbo lake kuliko maslahi ya raia wanyonge ambao hawajui juu wa mustakabali wa kesho yao ni mwanasiasa mbaya sana.

Anatumia mwanya wa nguvu ya kisiasa aliyonayo kuburuta watu ili afanikishe mambo yake kwa nguvu.

Mikopo inayofanyika ina siri kubwa na hatujui ipo vipi kwa manufaa ya taifa letu kwa ujumla.

Huko Ngorongoro ndio kuna utata mkubwa. Tunaambiwa na wajuaji kuwa waarabu wameshanunua wanyama na maeneo kwa manufaa yao na wanasiasa waliopo madarakani.

Mnapigwa mnada huku mnaona kwa macho yenu.
Nchi hii inaenda kusilimishwa huku tunaona. Waarabu hawajawahi kuwa watu wema tangia nyakati hizo.
1. Manamba waliopelekwa kipindi cha ukoloni uarabuni walihasiwa na mpaka SASA hakuna kizazi chochote huko cha weusi

2. Leo ngorongoro wazawa wanatolewa kwasababu ya muwekezaji mwarabu.

Ifike mahali tuheshimu utu na kuupigania Kwa gharama zote. This is our country
 
Mwanasiasa anayetanguliza tumbo lake kuliko maslahi ya raia wanyonge ambao hawajui juu wa mustakabali wa kesho yao ni mwanasiasa mbaya sana.

Anatumia mwanya wa nguvu ya kisiasa aliyonayo kuburuta watu ili afanikishe mambo yake kwa nguvu.

Mikopo inayofanyika ina siri kubwa na hatujui ipo vipi kwa manufaa ya taifa letu kwa ujumla.

Huko Ngorongoro ndio kuna utata mkubwa. Tunaambiwa na wajuaji kuwa waarabu wameshanunua wanyama na maeneo kwa manufaa yao na wanasiasa waliopo madarakani.

Mnapigwa mnada huku mnaona kwa macho yenu.
IPO siku tunaweza amka tukasikia AMESUSA, me nawajua sn watu hao pressure ikiwa kubwa. Tusubiri.
 
Raia wanakutuhumu kuwa umewauzia Waarabu mbuga yao, lakini wapambe wako wanakusaidia kukanusha kibishi. Wewe ghafla unapanga ziara kuwatembelea watuhumiwa?
Sidhani kama anashauriwa vizuri.

Na kama anashauriwa vizuri basi anafanya maamuzi mabaya.
 
Mwanasiasa anayetanguliza tumbo lake kuliko maslahi ya raia wanyonge ambao hawajui juu wa mustakabali wa kesho yao ni mwanasiasa mbaya sana.

Anatumia mwanya wa nguvu ya kisiasa aliyonayo kuburuta watu ili afanikishe mambo yake kwa nguvu.

Mikopo inayofanyika ina siri kubwa na hatujui ipo vipi kwa manufaa ya taifa letu kwa ujumla.

Huko Ngorongoro ndio kuna utata mkubwa. Tunaambiwa na wajuaji kuwa waarabu wameshanunua wanyama na maeneo kwa manufaa yao na wanasiasa waliopo madarakani.

Mnapigwa mnada huku mnaona kwa macho yenu.
Bado hatujaeaelewa Wana umoja
 
😀😀 Ipo siku wananchi wote tutazungumza lugha moja
Kama tumeshindwa kuongea lugha Moja kwenye mambo yenye maslahi Kwa taifa kama katiba mpya🤔Je lini tutaongea lugha Moja kama taifa? Au kwenye kuuzwa Kwa taifa🤔
 
Back
Top Bottom