Uchaguzi 2020 Job Ndugai asema CCM inahitaji 2/3 ya wabunge ili tuamue chochote kinacholetwa na Serikali

Uchaguzi 2020 Job Ndugai asema CCM inahitaji 2/3 ya wabunge ili tuamue chochote kinacholetwa na Serikali

Sasa ni wazi kweupe Magufuli hataki kutoka madarakani. Huyu Ndugai na wenzie hawalitaki hilo jambo la Magufuli kutawala milele ndiyo maana amefichua siri indirectly.
 
Watabadili
Sidhani, pressure watakayoipata toka ndani na nje hawataweza ihimili, kama Amsterdam pekee anawapelekesha wataweza kukabiliana na serikali za mataifa ya magharibi ambao ndio wafadhili?! Never.
 
Kweli kabisa. Kinyume na uchaguzi wa serikali za vijiji na mitaa uliolalamikiwa sana, sisi raia na jumuia ya kimataifa tulihakikishiwa kuwa huu uchaguzi mkuu utakuwa huru na wa haki na sasa tunashuhudia kwa macho yetu utekelezaji wa ahadi hiyo. Kuna changamoto moja kubwa: uongozi unapojihisi kuwa umetengeneza maadui wengi basi hujawa na hofu kubwa ya mambo yanayoweza kutokea pindi wawapo nje ya madaraka.
Watalindana kama kawaida yao, hakuna wanachohofia hao jamaa.
 
"Mimi kama Spika katika demokrasia ya Kibunge suala siyo ujuzi wa kusema na kupanga hoja, ni muhimu sana Wabunge wa @ccm_tanzania wakazidi theluthi mbili ya Wabunge wote ili tuweze kuamua jambo lolote linaloletwa Bungeni na Serikali yetu" - Spika Ndugai.

#UzinduziKampeniCCM https://t.co/qf2YzvUA24

Sasa naamini hizi figusu kumbe lengo wapate wabunge wa kwenda kubadili katiba na mtu kuwa rais wa milele na zanzibar ndio kwa heri ya kuonana.
Hawaezi kila kitu wanategema atakachosema jiwe
 
Hawawezi kuthubutu kuongeza muda, hata Magufuli alishakataa hiyo kitu..
Wanaweza sana. Hawa watu huanza kwanza kwa kujikatalisha mpaka dakika ya mwisho then hujifanya wamekubali “baada ya kubembelezwa sana”

Kagame nae alifanya hivyohivyo
 
"Mimi kama Spika katika demokrasia ya Kibunge suala siyo ujuzi wa kusema na kupanga hoja, ni muhimu sana Wabunge wa @ccm_tanzania wakazidi theluthi mbili ya Wabunge wote ili tuweze kuamua jambo lolote linaloletwa Bungeni na Serikali yetu" - Spika Ndugai.

#UzinduziKampeniCCM https://t.co/qf2YzvUA24

Sasa naamini hizi figusu kumbe lengo wapate wabunge wa kwenda kubadili katiba na mtu kuwa rais wa milele na zanzibar ndio kwa heri ya kuonana.

Wananchi wapenda demokrasia tumchague Lissu ,huyu MUHUTU NZIRANKENDE hana nia ya kutoka CHamwino ,tuna karata hii tu moja ya kumbikiri ,tukifanya makosa ya kutolinda kura na kutuibia akaingia term ya pili basi tumekwisha ,atabadili katiba na kuifanya isiwe na kikomo cha uraisi hapo ndipo itakuwa bandika bandua.
 
"Mimi kama Spika katika demokrasia ya Kibunge suala siyo ujuzi wa kusema na kupanga hoja, ni muhimu sana Wabunge wa @ccm_tanzania wakazidi theluthi mbili ya Wabunge wote ili tuweze kuamua jambo lolote linaloletwa Bungeni na Serikali yetu" - Spika Ndugai.

#UzinduziKampeniCCM https://t.co/qf2YzvUA24

Sasa naamini hizi figusu kumbe lengo wapate wabunge wa kwenda kubadili katiba na mtu kuwa rais wa milele na zanzibar ndio kwa heri ya kuonana.

It’s quite obvious CCM will definitely scoop 95% of elected MPs in the August house!! That means more than 2/3 (two thirds)!
 
We nae unajifariji Sana bana, yaani mpaka unapitiliza kiwango Cha kawaida😂😂.
 
It’s quite obvious CCM will definitely scoop 95% of elected MPs in the August house!! That means more than 2/3 (two thirds)!
Hilo liko wazi kabisa wala halihitaji mjadala
 
Sidhani, pressure watakayoipata toka ndani na nje hawataweza ihimili, kama Amsterdam pekee anawapelekesha wataweza kukabiliana na serikali za mataifa ya magharibi ambao ndio wafadhili?! Never.
Unajua ccm hawawezi tena kufanya uchaguzi ?

Lakini kuna kundi kubwa sana linalomzunguka Magufuli limejaa wanasiasa wajinga wajinga na wenye uchu na madaraka tu.

Nchi sasa hivi haina viongozi ina wahuni tu sasa wahuni watashindwa kubadili katiba ?
 
"Mimi kama Spika katika demokrasia ya Kibunge suala siyo ujuzi wa kusema na kupanga hoja, ni muhimu sana Wabunge wa @ccm_tanzania wakazidi theluthi mbili ya Wabunge wote ili tuweze kuamua jambo lolote linaloletwa Bungeni na Serikali yetu" - Spika Ndugai.

#UzinduziKampeniCCM https://t.co/qf2YzvUA24

Sasa naamini hizi figusu kumbe lengo wapate wabunge wa kwenda kubadili katiba na mtu kuwa rais wa milele na zanzibar ndio kwa heri ya kuonana.
Huwezi kua na marukanga akili ikawa sawa
 
Watu kama Ndugai ndo wanamfanya Magufuli achukiwe na sijui kwanini anawapenda watu wasiokubalika na jamii kubwa anayoiongoza.
 
Watu kama Ndugai ndo wanamfanya Magufuli achukiwe na sijui kwanini anawapenda watu wasiokubalika na jamii kubwa anayoiongoza.
Ndugai ni speaker ya jiwe tu lakini anayeongea hapo ni jiwe.
 
Spika Sitta R.I.P katika bunge lake alizingatia sana Ubora (Quality) na Viwango ( standards) lakini inavyoonekana Spika Ndugai msisitizo wake uko kwenye Quantity (wingi) wa wabunge wa CCM.

Nimkumbushe tu Spika Ndugai katika dunia ya sasa Wingi siyo muhimu sana, kuna wakati Wabunge wengi walipitisha muswada bungeni na mbunge mmoja tu aliupinga kwamba una makosa, na kweli mswada ule ulipofikishwa kwa Rais Kikwete ili ausaini kuwa sheria JK akiwa peke yake ofisini aligundua makosa hivyo hakusaini aliurejesha kwa Spika Makinda ujadiliwe upya.

Ni kweli CCM tunahitaji 2/3 lakini yenye ubora na viwango.

Maendeleo hayana vyama!
 
Inawezekana Ndugai anajifanya hajuwi mfumo na anafikiri kile anakiwaza kitakuwa rahis ila nataka kusema amini amin na waambia ole wake aletae makwazo maana MTU huyo imempasa kufungwa Jiwe kubwa nakutupwa baharini.

Haya nimaneno ktk maandiko matakatifu. Nimewaza Sana kile anamanisha Mh Ndugai na pasipo Shaka nataka kuamini ipo agenda tusio ijuwa sis watanzania nauwenda Kwa uwelewa wetu mdogo tushauri

Hili Taifa limebaki Kuwa na Siri nzito ambazo hata watawala hawana majibu angalia usiwe ktk historia ya watu watakuwa aliwatabiri JK.

Kama huwoni mwambie Mungu akuonyeshe na kama unaona unakaza shingo basi endelea kukaza ila walimwengu tumesha kuhusia huwezi kubadili katiba na kama Hilo litawezekana Taifa hili halitobaki vile lilikuwa na kwakuwa Baba wa Taifa Alisha tabiri historia itawala kama Tai akila mzoga.

Watanzania tusali watanzania tusali watanzania tusali. Najuwa hatujuwi ila wapo watu walio jasiri watasema kweli nakuwa onya Ndugai na team yake watu walio ndani ya serikal walio apa kuilinda katiba hata ikibidi dam watu hawa tuwaombee watu watakao sema kweli. Amen
Haya ni maoni yangu base on 2/3 alio isema Leo pale Dom wakifunguwa mkutano wa ccm
 
Back
Top Bottom