Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilishasema ccm una akili peke yako.Spika Sitta R.I.P katika bunge lake alizingatia sana Ubora ( Quality) na Viwango ( standards) lakini inavyoonekana Spika Ndugai msisitizo wake uko kwenye Quantity (wingi) wa wabunge wa CCM...
Spika Sitta R.I.P katika bunge lake alizingatia sana Ubora ( Quality) na Viwango ( standards) lakini inavyoonekana Spika Ndugai msisitizo wake uko kwenye Quantity (wingi) wa wabunge wa CCM...
Inawezekana Ndugai anajifanya hajuwi mfumo na anafikiri kile anakiwaza kitakuwa rahis ila nataka kusema amini amin na waambia ole wake aletae makwazo maana MTU huyo imempasa kufungwa Jiwe kubwa nakutupwa baharini...
Ndio maana wanachukulia mezani"Mimi kama Spika katika demokrasia ya Kibunge suala siyo ujuzi wa kusema na kupanga hoja, ni muhimu sana Wabunge wa @ccm_tanzania wakazidi theluthi mbili ya Wabunge wote ili tuweze kuamua jambo lolote linaloletwa Bungeni na Serikali yetu" - Spika Ndugai.
#UzinduziKampeniCCM https://t.co/qf2YzvUA24
Sasa naamini hizi figusu kumbe lengo wapate wabunge wa kwenda kubadili katiba na mtu kuwa rais wa milele na zanzibar ndio kwa heri ya kuonana.
Kama wameweza kupitisha wagombea bila kupingwa hilo la katiba linawezekana kabla jogoo hajawika asubuhiHawawezi kuthubutu kuongeza muda, hata Magufuli alishakataa hiyo kitu, wanapenda kujaza bunge kwasababu tu ya tabia yao ya uroho wa madaraka.
"Mimi kama Spika katika demokrasia ya Kibunge suala siyo ujuzi wa kusema na kupanga hoja, ni muhimu sana Wabunge wa @ccm_tanzania wakazidi theluthi mbili ya Wabunge wote ili tuweze kuamua jambo lolote linaloletwa Bungeni na Serikali yetu" - Spika Ndugai.
#UzinduziKampeniCCM https://t.co/qf2YzvUA24
Sasa naamini hizi figusu kumbe lengo wapate wabunge wa kwenda kubadili katiba na mtu kuwa rais wa milele na zanzibar ndio kwa heri ya kuonana.
Huyo Magufuli akijaribu hilo atakumbana na upinzani toka ndani ya chama chake, na nje, type za kina Membe zitaibuka tena, ukiongeza na presha toka nje hataweza himili.Unajua ccm hawawezi tena kufanya uchaguzi ?
Lakini kuna kundi kubwa sana linalomzunguka Magufuli limejaa wanasiasa wajinga wajinga na wenye uchu na madaraka tu.
Nchi sasa hivi haina viongozi ina wahuni tu sasa wahuni watashindwa kubadili katiba ?
Sidhani, pressure watakayoipata toka ndani na nje hawataweza ihimili, kama Amsterdam pekee anawapelekesha wataweza kukabiliana na serikali za mataifa ya magharibi ambao ndio wafadhili?! Never.
Hakuna mwanaccm wa kumkoromea Magufuli mle ndani.Huyo Magufuli akijaribu hilo atakumbana na upinzani toka ndani ya chama chake, na nje, type za kina Membe zitaibuka tena, ukiongeza na presha toka nje hataweza himili.
CCM wataendelea kuiba kura na kulindana mpaka pale watz tutakapoamka tuwafurushe kwa nguvu, lakini sio kwa box la kura.
CCM mwenyekiti wao ni Mungu wao sasa wataweza kumbishia Mungu wao ??Huyo Magufuli akijaribu hilo atakumbana na upinzani toka ndani ya chama chake, na nje, type za kina Membe zitaibuka tena, ukiongeza na presha toka nje hataweza himili.
CCM wataendelea kuiba kura na kulindana mpaka pale watz tutakapoamka tuwafurushe kwa nguvu, lakini sio kwa box la kura.
Haki ya Mungu sijuiKwa nini unafikir wameengua wagombea wa ACT?
Hapo unajitengezea mambo tu; hakuwa na maana hiyo na elewa kuwa mabadiliko ya katiba siyo rahisi kama unavyodhani, yeye alisema kuhusu mandate ya kutoa maamuzi. Hata Marekani huwa nao wanapiga kampeini kuwa tunataka chama chetu kiwa na maseneta 60 ili tuweza kuwa na mandate ya kuamua lolote bila mapingamizi."Mimi kama Spika katika demokrasia ya Kibunge suala siyo ujuzi wa kusema na kupanga hoja, ni muhimu sana Wabunge wa @ccm_tanzania wakazidi theluthi mbili ya Wabunge wote ili tuweze kuamua jambo lolote linaloletwa Bungeni na Serikali yetu" - Spika Ndugai.
#UzinduziKampeniCCM https://t.co/qf2YzvUA24
Sasa naamini hizi figusu kumbe lengo wapate wabunge wa kwenda kubadili katiba na mtu kuwa rais wa milele na zanzibar ndio kwa heri ya kuonana.