Macos
JF-Expert Member
- May 12, 2008
- 1,979
- 1,416
Kwa hio wabongo hawawezi kufanya lolote ?Kura za Zanzibar ndiyo kikwazo kikuu, kwa sababu mambo mengi ya katiba ili yabadirike yanahitaji theluthi mbili ya wabunge kutoka pande zote za muungano, ndiyo maana ya uharibifu unaoendelea zanzibar kwa sasa
Sent using Jamii Forums mobile app