UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 9,454
- 8,894
Lisu atatoa wapi akili na ujasiri wa kuwaponda mabeberu? Akijifanya si wanakata tu mirija inayomlisha vya bure ili aonje joto ya jiwe!ingekuwa ni Tundu Lisu ndio kaiponda mikopo ya mabeberu hakika hapa Jf pasingetosha pongezi za makamanda.
Unahangaika na waliolevywa na madaraka..sempo ndogo sana hiyo..kujudge kabila zima...hao tunawapuuza.Magufuli ni mpole? Je Makonda? Kitu mmewafanyia Watanzania miaka 5 iliyopita hawatasahau
Acha unaa mwenyewe unajua kwanini imtokea.Spika Ndugai kiukweli ametoa tahadhari nzuri tu, hebu fikiria ingekuwa ni Tundu Lisu ndio kaiponda mikopo ya mabeberu hakika hapa Jf pasingetosha pongezi za makamanda.
Ila kwa sababu aliyeshauri ni mgogo watu mnadharau hoja yake.
Maendeleo hayana vyama!
Madeni aliyoleta Jiwe unayajua?Naunga mkono!
Kweli,hata bosi wake alisema vita yakiuchumi,huku anakopa na betri wametengeneza wao nawamemfunga wao ila remote iko kwa mabeberu.Akiumwa anawafata wazungu wamtibu kwa gharama kubwa...
We chawa wa huyo mgogo mbilikimo tuwekee gharama ya fedha yote aliyoitikita huko india kwa matibabu huyo mbukwenyi mbukwa!!Spika Ndugai kiukweli ametoa tahadhari nzuri tu, hebu fikiria ingekuwa ni Tundu Lisu ndio kaiponda mikopo ya mabeberu hakika hapa Jf pasingetosha pongezi za makamanda.
Ila kwa sababu aliyeshauri ni mgogo watu mnadharau hoja yake.
Maendeleo hayana vyama!
sasahivi kashajifia vzrKweli,hata bosi wake alisema vita yakiuchumi,huku anakopa na betri wametengeneza wao nawamemfunga wao ila remote iko kwa mabeberu.
Hakusema vita yakiafya.
Tulikuwa na wahuni,mazuzu,waongo na wabaguzi.Ayoub anaendeleza.
Hajaenda Mirembe kitamboMuda wa kunywa dawa umefika…
Ndugai sijawahi kumuelewa Mimi, inafika wakati namfananisha na wanafiki, vigeu geu, wasio na msimamo ktk maamuzi yao, wafitini na wasio elewa nini wanatakiwa kufanya Kwa wakati gani.Spika Ndugai kiukweli ametoa tahadhari nzuri tu, hebu fikiria ingekuwa ni Tundu Lisu ndio kaiponda mikopo ya mabeberu hakika hapa Jf pasingetosha pongezi za makamanda.
Ila kwa sababu aliyeshauri ni mgogo watu mnadharau hoja yake.
Maendeleo hayana vyama!
Huyu mgogo ana kichaa kichwani.Sasa kupewa mkopo kuna shida gani? Hiyo pesa nusu ni msaada na nusu ni soft loans.Spika Ndugai kiukweli ametoa tahadhari nzuri tu, hebu fikiria ingekuwa ni Tundu Lisu ndio kaiponda mikopo ya mabeberu hakika hapa Jf pasingetosha pongezi za makamanda.
Ila kwa sababu aliyeshauri ni mgogo watu mnadharau hoja yake.
Maendeleo hayana vyama!
Dah unampuuza Magufuli?Unahangaika na waliolevywa na madaraka..sempo ndogo sana hiyo..kujudge kabila zima...hao tunawapuuza.
#MaendeleoHayanaChama
Ile hasara anayoiingizia taifa kupitia wabunge 19 ambao wamefukuzwa na chama chao pia asiache kujadili?Spika Ndugai kiukweli ametoa tahadhari nzuri tu, hebu fikiria ingekuwa ni Tundu Lisu ndio kaiponda mikopo ya mabeberu hakika hapa Jf pasingetosha pongezi za makamanda.
Ila kwa sababu aliyeshauri ni mgogo watu mnadharau hoja yake.
Maendeleo hayana vyama!
Amesema mgogo ili msimuhusishe na sukuma gang. In short ishu za ukabila ni kuwa nazo makini.Sukuma gang ..