Job Ndugai: Kwenye negotiations lazima upeleke 'brains' zako, first class thinkers. Form four (Makarai matupu) ataenda kunegotiate nini?

56+ years of age VS 25 years of age
 
Kuna umuhimu wa kuwaandaa hao watu; wale wenye ufaulu mzuri wapewe mafunzo maalumu; lakini hii itategemea sera na sheria kama zinaelekeza kufanya hivyo.

Great. Je, sera na Sheria zipoje kuhusu hilo ulilozungumza?

-Kaveli-
 
Rais mwenyewe jinga tupu unafikiri hata hiyo brain ya kuwachambua ma brains ataitoa wapi.
Usimwite jinga ni Mama yako. Mara Mia aitwe Fisad maana fisad siotusi, ni kukosa maadil ya utumishi na uzalendo
 
Teh teh teh 😃 😃
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…