Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Walijua ulevi wake ulipoLakini mama walimpa kwanza PhD
ndo wakenda kunegotiate.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walijua ulevi wake ulipoLakini mama walimpa kwanza PhD
ndo wakenda kunegotiate.
Profesa Abdulkarim Hamis Mruma profesa wa jiolojia na mjiolojia mkuu wa makinikia madini akiwa katika 'mahakama' / tribunal kimataifa kama shahidi mtaalamu wa madini katika sakata la mkataba / leseni kufutwa
22 March 2023
Winshear Gold Corp. v. United Republic of Tanzania (ICSID Case No. ARB/20/25)Hearing Day 3 - Video 1 - 15 February 2023
Source : ICSID
Una akili sana ila pia una matusi🤣Lakini mama walimpa kwanza PhD
ndo wakenda kunegotiate.
Tanzania vioja haviishiLakini mama walimpa kwanza PhD
ndo wakenda kunegotiate.
Na ndiyo hao wako front kwenye negotiations za maana kuhusu hii nchiBunge la wazee wa 'NDIYOOOO' ...
-Kaveli-
Usimwite jinga ni Mama yako. Mara Mia aitwe Fisad maana fisad siotusi, ni kukosa maadil ya utumishi na uzalendoRais mwenyewe jinga tupu unafikiri hata hiyo brain ya kuwachambua ma brains ataitoa wapi.
Na form 6 . Yawekwe hapa. I doubt km alimaliza form 6Mwenye matokeo ya form IV ya Rais samia sululu tafadhali
Auwah wala asiukimbieUgenius unamnyemelea huyo.
-Kaveli-
Hakufika hukoNa form 6 . Yawekwe hapa. I doubt km alimaliza form 6
Kashaingia kwenye mfumo wa CCM(Channel 10) ana lamba asali tu taratibuMzee wa 'A first class' kutoka viunga vya Aza boy na Ilboru mkuu Pascal Mayalla, pitia kipande hii utie neno.
-Kaveli-
Teh teh teh 😃 😃"....Kwenye negotiations tukae vizuri watanzania. Yako mambo ambayo lazima upeleke 'brains' zako. Siyo unapeleka Senior mwenye 'gentleman degree' na form four alipata 'makarai' matupu, ataenda ku-negotiate nini? Haiwezekani"
-Kaveli-