Job Ndugai: Kwenye negotiations lazima upeleke 'brains' zako, first class thinkers. Form four (Makarai matupu) ataenda kunegotiate nini?

Job Ndugai: Kwenye negotiations lazima upeleke 'brains' zako, first class thinkers. Form four (Makarai matupu) ataenda kunegotiate nini?

Ndugai ana hoja asikilizwe ila alichokosea na yeye ni kukariri kuhusu grade za kwenye makaratasi (vyeti).

Wanaotakiwa ni wasomi ila sasa wawe smart hata katika kujenga hoja. Negotiations ni taaluma kabisa nchi za nje. Kuna watu gifted kama Lissu au Kibatala mbali na taaluma yao ya sheria ila wana uwezo wa ziada katika kujenga na kutetea hoja.
Tatizo ni Kalai Mzee
 
"....Kwenye negotiations tukae vizuri watanzania. Yako mambo ambayo lazima upeleke 'brains' zako. Siyo unapeleka Senior mwenye 'gentleman degree' na form four alipata 'makarai' matupu, ataenda ku-negotiate nini? Haiwezekani"


-Kaveli-
Pamoja na hayo but CCM hupenda watu aina hiyo ili kupitisha mipango yao!! NB; Ndugai ile kitu ya atake asitake mpaka leo sintosahau ulipokua unataka kulipeleka Taifa!!
 
Ndugai na wahuni wenzake tumeshawastukia mapema. Tulikuwa tunajifanya kama hatuelewi vile.

Yanajulikana majina kma 300 , tunafahamu huko watu washapanga mpaka Rais, Makamo wake, Waziri Mkuu na cabinet nzima na mpaka makatibu wakuu. KKKT nao wameahidiwa nafasi nyeti. Waislam watatu katika watu 300.

Katika mpango wao eti Rais atawekwa Muislam boya Bashiru. Ili Waislam wanyamaze.

Tutakoma ubishi.
 
Ndugai na wahuni wenzake tumeshawastukia mapema. Tulikuwa tunajifanya kama hatuelewi vile.

Yanajulikana majina kma 300 , tunafahamu huko watu washapanga mpaka Rais, Makamo wake, Waziri Mkuu na cabinet nzima na mpaka makatibu wakuu. KKKT nao wameahidiwa nafasi nyeti. Waislam watatu katika watu 300.

Katika mpango wao eti Rais atawekwa Muislam boya Bashiru. Ili Waislam wanyamaze.

Tutakoma ubishi.
Unajua Mwenyezi Mungu hampendi mtu anayezusha mambo?
 
Ndugai na wahuni wenzake tumeshawastukia mapema. Tulikuwa tunajifanya kama hatuelewi vile.

Yanajulikana majina kma 300 , tunafahamu huko watu washapanga mpaka Rais, Makamo wake, Waziri Mkuu na cabinet nzima na mpaka makatibu wakuu. KKKT nao wameahidiwa nafasi nyeti. Waislam watatu katika watu 300.

Katika mpango wao eti Rais atawekwa Muislam boya Bashiru. Ili Waislam wanyamaze.

Tutakoma ubishi.
Hao ni masisiem menzako!

Mtakoma wenyewe
 
Ndugai ana hoja asikilizwe ila alichokosea na yeye ni kukariri kuhusu grade za kwenye makaratasi (vyeti).

Wanaotakiwa ni wasomi ila sasa wawe smart hata katika kujenga hoja. Negotiations ni taaluma kabisa nchi za nje. Kuna watu gifted kama Lissu au Kibatala mbali na taaluma yao ya sheria ila wana uwezo wa ziada katika kujenga na kutetea hoja.
Ndugai anadhihirisha umbumbumbu wake,kupata As haimaanishi uko vizuri kimjadala,ile ni talanta,hayo mambo angewezeshwa balozi wetu wa Cuba mbona hao tunaoshindana nao wangeomba poo
 
Ana AAAAAAAAA O'level one ya 7 Advance one ya 3 km Ndugai nae ni AAAAAAAA O'level one ya 7 na Advance one ya 3 na ukija University ana GPA ya 5.0 na Ndugai nae ana CGPA ya 5.0

First class
Uwezo wa kujenga hoja hauhusiani na A za darasani,ndugai hajatoka kwenye Pandora box
 
Back
Top Bottom