Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo ni Kalai MzeeNdugai ana hoja asikilizwe ila alichokosea na yeye ni kukariri kuhusu grade za kwenye makaratasi (vyeti).
Wanaotakiwa ni wasomi ila sasa wawe smart hata katika kujenga hoja. Negotiations ni taaluma kabisa nchi za nje. Kuna watu gifted kama Lissu au Kibatala mbali na taaluma yao ya sheria ila wana uwezo wa ziada katika kujenga na kutetea hoja.
Umevuka mipaka ya uhuru wa maoni. Hivi unavyoandika hivi hata nafsi yko haikuzuii? Mbaya sana hii.Rais mwenyewe jinga tupu unafikiri hata hiyo brain ya kuwachambua ma brains ataitoa wapi.
Pamoja na hayo but CCM hupenda watu aina hiyo ili kupitisha mipango yao!! NB; Ndugai ile kitu ya atake asitake mpaka leo sintosahau ulipokua unataka kulipeleka Taifa!!"....Kwenye negotiations tukae vizuri watanzania. Yako mambo ambayo lazima upeleke 'brains' zako. Siyo unapeleka Senior mwenye 'gentleman degree' na form four alipata 'makarai' matupu, ataenda ku-negotiate nini? Haiwezekani"
-Kaveli-
Ana div iv ya 29Mwenye matokeo ya form IV ya Rais samia sululu tafadhali
Unajua Mwenyezi Mungu hampendi mtu anayezusha mambo?Ndugai na wahuni wenzake tumeshawastukia mapema. Tulikuwa tunajifanya kama hatuelewi vile.
Yanajulikana majina kma 300 , tunafahamu huko watu washapanga mpaka Rais, Makamo wake, Waziri Mkuu na cabinet nzima na mpaka makatibu wakuu. KKKT nao wameahidiwa nafasi nyeti. Waislam watatu katika watu 300.
Katika mpango wao eti Rais atawekwa Muislam boya Bashiru. Ili Waislam wanyamaze.
Tutakoma ubishi.
Kama kweli ni hatali kubwa,inabidi atupisheAna div iv ya 29
Hiyo mipaka ikoje?Umevuka mipaka ya uhuru wa maoni. Hivi unavyoandika hivi hata nafsi yko haikuzuii? Mbaya sana hii.
Heshima kitu cha bure Heshima kitu cha bure! Kwanini Rais Samia, japo sio lazima apendwe na wote lakini ni lazima aheshimiwe na wote? Akosolewe kwa staha na asitukanwe!Rais mwenyewe jinga tupu unafikiri hata hiyo brain ya kuwachambua ma brains ataitoa wapi.
Hao ni masisiem menzako!Ndugai na wahuni wenzake tumeshawastukia mapema. Tulikuwa tunajifanya kama hatuelewi vile.
Yanajulikana majina kma 300 , tunafahamu huko watu washapanga mpaka Rais, Makamo wake, Waziri Mkuu na cabinet nzima na mpaka makatibu wakuu. KKKT nao wameahidiwa nafasi nyeti. Waislam watatu katika watu 300.
Katika mpango wao eti Rais atawekwa Muislam boya Bashiru. Ili Waislam wanyamaze.
Tutakoma ubishi.
Ndugai anadhihirisha umbumbumbu wake,kupata As haimaanishi uko vizuri kimjadala,ile ni talanta,hayo mambo angewezeshwa balozi wetu wa Cuba mbona hao tunaoshindana nao wangeomba pooNdugai ana hoja asikilizwe ila alichokosea na yeye ni kukariri kuhusu grade za kwenye makaratasi (vyeti).
Wanaotakiwa ni wasomi ila sasa wawe smart hata katika kujenga hoja. Negotiations ni taaluma kabisa nchi za nje. Kuna watu gifted kama Lissu au Kibatala mbali na taaluma yao ya sheria ila wana uwezo wa ziada katika kujenga na kutetea hoja.
Kaabisa tena.Unajua Mwenyezi Mungu hampendi mtu anayezusha mambo?
Uwezo wa kujenga hoja hauhusiani na A za darasani,ndugai hajatoka kwenye Pandora boxAna AAAAAAAAA O'level one ya 7 Advance one ya 3 km Ndugai nae ni AAAAAAAA O'level one ya 7 na Advance one ya 3 na ukija University ana GPA ya 5.0 na Ndugai nae ana CGPA ya 5.0
First class
Ugonjwa ukishaujuwa unakuwa hausumbuwi tena. Ni kuupa dozi kamili tu.Hao ni masisiem menzako!
Mtakoma wenyewe