Job Ndugai: Kwenye negotiations lazima upeleke 'brains' zako, first class thinkers. Form four (Makarai matupu) ataenda kunegotiate nini?

Job Ndugai: Kwenye negotiations lazima upeleke 'brains' zako, first class thinkers. Form four (Makarai matupu) ataenda kunegotiate nini?

Kaabisa tena.

Sasa wewe kilichozushwa hapo kipi? Rais alishasema "hii yote ni 2025" wakati Ndugai anapigwa chini, jana kada mwingine wa CCM anaeheshimika kayasema. Hivi habari huwa zinakupita? Unalala sana? Au huna simu mpaka shemeji arudi kutoka kazini?
Nimecheka sana dada yangu wa imani
 
Yale yalee ya kulambana miguu na kuona rais ni Mungu mtu.

Mtu anakukanyaga kwa dharau halafu unasema " samahani kwa usumbufu Madam/Sir, naomba kama hutojali uondoe mguu wako juu ya mguu wangu" !!!

Staha za kijinga ndo zinafanya wabongo wanaburuzwa ka makondoo.

Mtu mjinga ukimuita mjinga umempa haki yake.

Samia ni lijinga lijinga lijinga.
 
Yale yalee ya kulambana miguu na kuona rais ni Mungu mtu.

Mtu anakukanyaga kwa dharau halafu unasema " samahani kwa usumbufu Madam/Sir, naomba kama hutojali uondoe mguu wako juu ya mguu wangu" !!!

Staha za kijinga ndo zinafanya wabongo wanaburuzwa ka makondoo.

Mtu mjinga ukimuita mjinga umempa haki yake.

Samia ni lijinga lijinga lijinga.
Watakulawiti,usijione upo salama,watakuphila kwelikweli..shauri yako
 
Ndugai ana hoja asikilizwe ila alichokosea na yeye ni kukariri kuhusu grade za kwenye makaratasi (vyeti).

Wanaotakiwa ni wasomi ila sasa wawe smart hata katika kujenga hoja. Negotiations ni taaluma kabisa nchi za nje. Kuna watu gifted kama Lissu au Kibatala mbali na taaluma yao ya sheria ila wana uwezo wa ziada katika kujenga na kutetea hoja.
Nimekuupuuza ulipoanza kutaja hao akina lusu na kibatala.
 
Kabisa tunahitaji watu wazuri katika nchi hii.siyo tu kwa kuwa utaratibu ni wa kurithisha mnajikuta amerithi madaraka mtu ambaye alipata sifuri tupu form four.matokeo yaje yanakuwa kama haya ya kuuza bandari zetu
 
Tuwapeleke wakina mandonga,Steve Nyerere hamisa mobeto shilole zmbwela kitenge mwijk babalevo manara mbona hao watatusaidia huko

Ova
 
Ndugai na wahuni wenzake tumeshawastukia mapema. Tulikuwa tunajifanya kama hatuelewi vile.

Yanajulikana majina kma 300 , tunafahamu huko watu washapanga mpaka Rais, Makamo wake, Waziri Mkuu na cabinet nzima na mpaka makatibu wakuu. KKKT nao wameahidiwa nafasi nyeti. Waislam watatu katika watu 300.

Katika mpango wao eti Rais atawekwa Muislam boya Bashiru. Ili Waislam wanyamaze.

Tutakoma ubishi.
HV Kweli bb kizee una akili Kweli HV umeandiaka ujinga na uongo gani hapa
 
Tuwapeleke wakina mandonga,Steve Nyerere hamisa mobeto shilole zmbwela kitenge mwijk babalevo manara mbona hao watatusaidia huko

Ova
Aaah bana, tumpeleke Ndugai, wakikataa masharti wanakula fimbo.

 
"....Kwenye negotiations tukae vizuri watanzania. Yako mambo ambayo lazima upeleke 'brains' zako. Siyo unapeleka Senior mwenye 'gentleman degree' na form four alipata 'makarai' matupu, ataenda ku-negotiate nini? Haiwezekani"


-Kaveli-
Shida ya Tanzania ni rushwa wala hakuna nini? Chenge ana first class ya Oxford university lakini madudu aliyoyafanya ni aibu tupu
 
Profesa Abdulkarim Hamis Mruma profesa wa jiolojia na mjiolojia mkuu wa makinikia madini akiwa katika 'mahakama' / tribunal kimataifa kama shahidi mtaalamu wa madini katika sakata la mkataba / leseni kufutwa


22 March 2023
Winshear Gold Corp. v. United Republic of Tanzania (ICSID Case No. ARB/20/25)Hearing Day 3 - Video 1 - 15 February 2023


Source : ICSID

Hawa wavaa kanzu wanauza nchi haswa
 
Ndugai na wahuni wenzake tumeshawastukia mapema. Tulikuwa tunajifanya kama hatuelewi vile.

Yanajulikana majina kma 300 , tunafahamu huko watu washapanga mpaka Rais, Makamo wake, Waziri Mkuu na cabinet nzima na mpaka makatibu wakuu. KKKT nao wameahidiwa nafasi nyeti. Waislam watatu katika watu 300.

Katika mpango wao eti Rais atawekwa Muislam boya Bashiru. Ili Waislam wanyamaze.

Tutakoma ubishi.
wewe ajuza ni mjinga sn kwa umri wako ulitakiwa uwe na akili timamu + hekima na busara, Ndugai ana haki ya kugombea kama raia na mtanganyika Samia hana hati miliki na nchi hii na hakuna kosa mtu yoyote kugombea ndiyo maana ya democrasia, ujinga wako na udini unakutesa sn, kwani KKKT wakiahidiwa nafasi nyeti ni kosa? ila wakiahidiwa wavaa kanzu ni sawa? mpuuzi mkubwa wewe
 
Back
Top Bottom