Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugai unahoja lakini naungana ni wengine kukupinga " A" ya kwenye cheti isiwe ndio green light yakupewa nafasi katika kila nyanja katika maisha kunawatu wapo gifted na baadhi wana "c" na wana demonstrate outstanding level of performance in different range of criteria na wapo wengine baadhi wana "A" kwakuwa ni wazuri kukariri linapokuja swala la performance in real world Hamna kitu .
Bora form 4, kwenye mkataba hata msukuma alikuwepo."....Kwenye negotiations tukae vizuri watanzania. Yako mambo ambayo lazima upeleke 'brains' zako. Siyo unapeleka Senior mwenye 'gentleman degree' na form four alipata 'makarai' matupu, ataenda ku-negotiate nini? Haiwezekani"
-Kaveli-
wewe ajuza ni mjinga sn kwa umri wako ulitakiwa uwe na akili timamu + hekima na busara, Ndugai ana haki ya kugombea kama raia na mtanganyika Samia hana hati miliki na nchi hii na hakuna kosa mtu yoyote kugombea ndiyo maana ya democrasia, ujinga wako na udini unakutesa sn, kwani KKKT wakiahidiwa nafasi nyeti ni kosa? ila wakiahidiwa wavaa kanzu ni sawa? mpuuzi mkubwa wewe
Kaabisa tena.
Sasa wewe kilichozushwa hapo kipi? Rais alishasema "hii yote ni 2025" wakati Ndugai anapigwa chini, jana kada mwingine wa CCM anaeheshimika kayasema. Hivi habari huwa zinakupita? Unalala sana? Au huna simu mpaka shemeji arudi kutoka kazini?
Kwa hiyo Prof Mruma alipata makarai?
Paskali mayalla Kwanini hawajakupeleka kwenye hii kesi ukaonyeshe umahiri wako wa sheria? Huyo Mkenya hicho kiingereza anakiongea hata ww si ungeweza kuongea. Au umeanza kusahau kiingereza maana umri umesogea kidogo? Kwa hicho anachoongea huyo mwanasheria kutoka Kenya hakuna kesi tutakaa tushinde. Ni kama mtu aliyeokotwa mtaani.
Yaani ni bonge la aibu, lakini ukikuta wanaongea na wasiojua kiingereza hapa nchini wanachomeka maneno ya kiingereza kama ni wasomi lakini utakuta ni uchafu mtupu.
Akina Kikwete, Kinana, Rostam watakubali?Tuendelee kumsaidia na kumshauri Mh Rais wetu apange vyema team yake ya kunegotiate mikataba mizito ya nchi.
-Kaveli-
Tatizo ni kuwa hauwezi kuwa salama ukiwakosoa ukiwa ndani ya mfumo, watakutenga au watakufukuza, ona bunge lilivyo.Mgogo ameamua kuwe na vita tu.
Hawa watu wakiwa nje ya mifumo huwa na akili sana. Sijui shida huwa nini wanapokuwa kwenye madaraka.
Acha aendelee tujue panapo vuja.