Job Ndugai: Sijamisi Uspika, nina amani, haya ni mapito katika maisha

Job Ndugai: Sijamisi Uspika, nina amani, haya ni mapito katika maisha

Ngoja niedit sema huwa nashindwa kumtofautisha na mwendazake

So wewe mrefu sana na mwema sana na mtu mzuri ambaye hujawahi kutokea. Unamjua Ndugai personally au ndo uhuru wa mitandaoni.

Sijui Lakini nobody mwenye akili timamu atapinga kuwa wewe ndo mmoja ya viumbe hai ( nashindwa kukuita binadamu mana itapotosha hata maana ya neno lenyewe) wa hovyo sana kutokea maeneo ya JF.

Kila binadamu hata huyo Mwendazake Ana watu wengi sana wanaompenda bado pamoja na kufariki kwake. Napitaga kwenye mitandao Hii. He was loved by many. Na huwezi kosa wasiompenda it’s normal.

Ushauri Wangu. Acha bangi. Fanya kazi. Hutapata muda wa kuchukia watu usiowajua personally.
 
naona upo busy kumtetea mmeo

Kaulizwa Kajibu. Alikaa kimya ilikuwa Pia issue kwa watu wa ajabu kama wewe. Personally hata simjui ndugai Lakini nachojua ni binadamu na pengine mwema sana kuliko wewe unayeropoka na kujificha mtandaoni.


Hapa ni jukwaani Unatakiwa kuheshimu mawazo ya wengine. Wewe baki na hoja zako na yeye Ana hoja zake. Sio issue ya undugu.
 
Hivi lazima kwani mtu aitwe Wakili msomi, Engineer,ama profesa Assad.huko nje Kuna professors Ila haitwi kwa taito zao Bali majina Yao kawaida.
Kuna kainjinia huko Tarura kanamzidi mkurugenzi salary. Yaani kamtu kadogo unakaweka kwenye kiganja kabisa.

Yaani we're emotional human beings who try to rationalize the emotions na kutumia logic.
At that time alikuwa na Ile endorpime imemjaa ikampatia euphoria na ego ikafanya kazi yake,saivi ndio anaona kuwa humble and having humility is the key.
Bado hajaanza kupata cortisol imwagike mwilini ataaongea lugha nyingine Tena.
Yaani hizi in deep rooted in our DNA is hard to take them out of us.
 
Kwahio in comparison na mtu ambaye ametoka asubuhi hajui kama jioni atakula, watoto hawajalipiwa karo mama yake kijijini mgonjwa ana madeni kila kona na kwa kila mtu..., kila simu ikipigwa anajua watu wanampigia kumdai, in short hata physiological needs hapati...,

Ofcourse Binadamu hatosheki akishapata this goal anataka that other goal (ila ndugai atleast anauwezo wa kutimizia wategemezi wake their needs) kuliko yule mtoto wake anamuangalia kwamba baba ameniangusha nafukuzwa shule na ameshindwa kutimiza majukumu yake.
Ndugai ni mtu wa hovyo sn
 
kaka wanalijua hilo? imagine siku za mwishoni za mwendazake kila mara niombeeeni....niombeeeni - jamaa hakuwa na amani ya rohoni kabisa !!
Kipato huleta kiburi kwa wasiojitambua !! Until it's too late !!
 

Aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Kongwa, Job Ndugai amezungumzia maamuzi yake ya kutogomea Ubunge katika uchaguzi ujao akisema kuna watu wanapotosha kwa kuwa wanaona kuna jina lake.

Mbali nah apo ameulizwa kuhusu kama amemisi kiti cha Uspika ambacho alikuwa akikikalia kwa miaka kadhaa kabla ya kujiuzulu mwaka huu, amesema hajamisi kiti hicho.

“Hapana, ile ni huduma (Uspika), unafanya inapokuwa ni wajibu wako, Mtanzania mwingine anafanya inapokuwa wakati wake, nina amani nipo salama.”

Kuhusu kauli yake ya kutogomea uchaguzi ujao kutafsiriwa tofauti na baadhi ya watu, anasema:

“Ni kawaida yao wakiona kitu cha Ndugai lazima wapotoshe, jimboni kwangu wanaelewa hilo, nilichofanya niliwakumbusha tu kuhusu uamuzi wangu kuhusu kutogombea 2025, hilo jambo lilikuwepo na siyo jambo baya.

“Nikimaliza Ubunge tarudi kwenye asili yangu, nalima kidogo, nafuga kiasi, siyo kila jambo kuna nia mbaya, wito wangu tuwe na upendo, siyo kila jambo kupotosha, unafiki na kuchonganisha.”

Kuhusu kupotea kwake kipindi cha hapo kati baada ya kutangazwa kujiuzulu Uspika, Ndugai anasema:

“Ni maisha tu, ni sehemu ya mapito katika maisha, Mungu atajalia, ni vitu vya kawaida, tuendeleze umoja wetu lakini kubwa zaidi tuboreshe hali ya uchumi wetu, uchumi ya familia mojamoja… nawapenda sana Watanzania, viongozi wangu wa kitaifa mimi nawapenda sana na niwahakikishie hakuna sintofahamu yoyote kati yangu na Chama changu, ni mambo ya mitandao tu.”


CHANZO: JAHAZI – CLOUDS FM
Leo ndo anajua kuna mapito kwenye maisha? Ama kweli Mungu hali chapati.
 

Aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Kongwa, Job Ndugai amezungumzia maamuzi yake ya kutogomea Ubunge katika uchaguzi ujao akisema kuna watu wanapotosha kwa kuwa wanaona kuna jina lake.

Mbali nah apo ameulizwa kuhusu kama amemisi kiti cha Uspika ambacho alikuwa akikikalia kwa miaka kadhaa kabla ya kujiuzulu mwaka huu, amesema hajamisi kiti hicho.

“Hapana, ile ni huduma (Uspika), unafanya inapokuwa ni wajibu wako, Mtanzania mwingine anafanya inapokuwa wakati wake, nina amani nipo salama.”

Kuhusu kauli yake ya kutogomea uchaguzi ujao kutafsiriwa tofauti na baadhi ya watu, anasema:

“Ni kawaida yao wakiona kitu cha Ndugai lazima wapotoshe, jimboni kwangu wanaelewa hilo, nilichofanya niliwakumbusha tu kuhusu uamuzi wangu kuhusu kutogombea 2025, hilo jambo lilikuwepo na siyo jambo baya.

“Nikimaliza Ubunge tarudi kwenye asili yangu, nalima kidogo, nafuga kiasi, siyo kila jambo kuna nia mbaya, wito wangu tuwe na upendo, siyo kila jambo kupotosha, unafiki na kuchonganisha.”

Kuhusu kupotea kwake kipindi cha hapo kati baada ya kutangazwa kujiuzulu Uspika, Ndugai anasema:

“Ni maisha tu, ni sehemu ya mapito katika maisha, Mungu atajalia, ni vitu vya kawaida, tuendeleze umoja wetu lakini kubwa zaidi tuboreshe hali ya uchumi wetu, uchumi ya familia mojamoja… nawapenda sana Watanzania, viongozi wangu wa kitaifa mimi nawapenda sana na niwahakikishie hakuna sintofahamu yoyote kati yangu na Chama changu, ni mambo ya mitandao tu.”


CHANZO: JAHAZI – CLOUDS FM
Unapenda chama chako na kuchukia vyama vingine , waandishi wa habari na Wana Harakati huo ndio ukweli ulijua wewe Ni BINADAMU WA THAMANI KULIKO YYT NJE YA KITI CHAKO.
MUNGU NI FUNDI KIPIMO UPIMIACHO WENGINE NAWE UTAPIMIWA HICHO HICHO TENA KWA KUSUKWASUKWA NA KUJAA TELE.
 
Wabongo MNA Nongwa sana,yaani wakikaa madarakani mnalalamika,wakitoka mnalalamikaakibadilisha staili ya maisha mnalalamika...Nchi ya kushangaza sana hii.
Wana nongwa kumzidi Ndugai na kayafa....^_^[emoji34]
 
ni kweli kabisa kwamba maisha ni mapito !! ni fumbo la ajabu.

1652444469482.png
 
Akiambiwa awape wosia Watanzania kuhusu kuwa na msimamo na kutowayawaya atatoa ushauri gani?
 

Aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Kongwa, Job Ndugai amezungumzia maamuzi yake ya kutogomea Ubunge katika uchaguzi ujao akisema kuna watu wanapotosha kwa kuwa wanaona kuna jina lake.

Mbali nah apo ameulizwa kuhusu kama amemisi kiti cha Uspika ambacho alikuwa akikikalia kwa miaka kadhaa kabla ya kujiuzulu mwaka huu, amesema hajamisi kiti hicho.

“Hapana, ile ni huduma (Uspika), unafanya inapokuwa ni wajibu wako, Mtanzania mwingine anafanya inapokuwa wakati wake, nina amani nipo salama.”

Kuhusu kauli yake ya kutogomea uchaguzi ujao kutafsiriwa tofauti na baadhi ya watu, anasema:

“Ni kawaida yao wakiona kitu cha Ndugai lazima wapotoshe, jimboni kwangu wanaelewa hilo, nilichofanya niliwakumbusha tu kuhusu uamuzi wangu kuhusu kutogombea 2025, hilo jambo lilikuwepo na siyo jambo baya.

“Nikimaliza Ubunge tarudi kwenye asili yangu, nalima kidogo, nafuga kiasi, siyo kila jambo kuna nia mbaya, wito wangu tuwe na upendo, siyo kila jambo kupotosha, unafiki na kuchonganisha.”

Kuhusu kupotea kwake kipindi cha hapo kati baada ya kutangazwa kujiuzulu Uspika, Ndugai anasema:

“Ni maisha tu, ni sehemu ya mapito katika maisha, Mungu atajalia, ni vitu vya kawaida, tuendeleze umoja wetu lakini kubwa zaidi tuboreshe hali ya uchumi wetu, uchumi ya familia mojamoja… nawapenda sana Watanzania, viongozi wangu wa kitaifa mimi nawapenda sana na niwahakikishie hakuna sintofahamu yoyote kati yangu na Chama changu, ni mambo ya mitandao tu.”


CHANZO: JAHAZI – CLOUDS FM
Mwenye amani moyoni anafanana hivi? 👇

Screenshot_20220513-141949.png
 
Back
Top Bottom