Job Ndugai: Sijamisi Uspika, nina amani, haya ni mapito katika maisha

Hawezi lingana na wewe kamanda, hii roho ya kimasikini ya kuchukia waliofanikiwa ikemee kwa jina ya Yesu Kristo.
Hakika
pimbi kama yule hawezi lingana nami hata siku moja na haitotokea
 
Mzee ULIUACHA VIBAYA USPIKA ndio MAUMIVU ULIYONAYO

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Tangia uhuru, bunge la jamhuri halijawahi kupata spika wa hovyo kama marehemu andunje ndugai.
Kuwa binadamu. Unaona fahari kumuita mwenzako aliye mzima kuwa ni marehemu? Ndugu yangu wote pumzi tuliyo nayo ni kwa neema tu ya Mwenyezi Mungu. Huna la kujivunia
 
Kweli dunia tambala bovu, leo ndugai anahamasisha upendano.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…