Huwezi kuamini na bado atakufa kwa stressYaani anakula kiinua mgongo cha uspika kwanza. Tukitoka hapo anakula viinua mgongo vya ubunge. Alichopoteza ni kuendelea kua na cheo cha uspika. Ila maisha kaisha maliza
Kongwa oye, soko la ndugai oye..
Lakini still huwa hawapati peace of mind for ever !! Mwenyezi Mungu ni fundi kweli kweli !!Mtu mmoja anakula chakula cha kuwafaaa watz elf 80,
Hao wanaowania hicho Kiti wakiona hizi benefits akili na Mwili vinazidi kusisimka!1. Kulipwa 80% ya mshahara anayolipwa Spika aliyekalia kiti maisha yake yote.
2. Gari la VX V8 ni lake binafsi.
3. Dereva atakayelipwa na Serikali maisha yake yote.
4. Mafuta ya gari lake lita sabini kila week.
5. Kiinua mgongo 50% ya fedha alizowahi kulipwa mshahara tangia aapishwe kuwa Spika.
6. Atakuwa na benefits za ubunge wa Kongwa mpaka atakapoachia ngazi au kupigwa chini na wananchi wa jimbo.
Uongozi mtamu.
Sijawah ona ujinga kama huu1. Kulipwa 80% ya mshahara anayolipwa Spika aliyekalia kiti maisha yake yote.
2. Gari la VX V8 ni lake binafsi.
3. Dereva atakayelipwa na Serikali maisha yake yote.
4. Mafuta ya gari lake lita sabini kila week.
5. Kiinua mgongo 50% ya fedha alizowahi kulipwa mshahara tangia aapishwe kuwa Spika.
6. Atakuwa na benefits za ubunge wa Kongwa mpaka atakapoachia ngazi au kupigwa chini na wananchi wa jimbo.
Uongozi mtamu.
Watu wanakula maisha !!Sijawah ona ujinga kama huu