Job Ngugai, Spika aliyejiuzulu atalipwa 80% ya Mshahara wa Spika maisha yake yote

Job Ngugai, Spika aliyejiuzulu atalipwa 80% ya Mshahara wa Spika maisha yake yote

Yaani anakula kiinua mgongo cha uspika kwanza. Tukitoka hapo anakula viinua mgongo vya ubunge. Alichopoteza ni kuendelea kua na cheo cha uspika. Ila maisha kaisha maliza

Kongwa oye, soko la ndugai oye..
Huwezi kuamini na bado atakufa kwa stress
 
Kwa wale ambao wanashangalia Ndugai kuondoka mwenzao atakula keki ya Taifa mpaka kaburini. Msikilize Lissu hapa
 
Jinsi ndugai alivyopoteza Tonge lake la usipika😅😅😅
 
Kilichomuuma Ndugai na kitakachomuuma hadi kaburini ni jinsi pride yake ilivyoumizwa kwa kuondolewa kwenye uspika bila kosa licha ya kuomba msamaha hadharani
 
Hapa ndio ule msemo wa 'Bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi' unapoingia...
 
Ukiyaambia majitu lichama limechoka wanafaidi wachache hawaelewi mpaka wenyewe wanasemana nchi itapigwa mnada huku wamenenepeana watu hawaekewi wacha tutesekeeee ndio akili laaaabda zitashtuka
 
1. Kulipwa 80% ya mshahara anayolipwa Spika aliyekalia kiti maisha yake yote.

2. Gari la VX V8 ni lake binafsi.

3. Dereva atakayelipwa na Serikali maisha yake yote.

4. Mafuta ya gari lake lita sabini kila week.

5. Kiinua mgongo 50% ya fedha alizowahi kulipwa mshahara tangia aapishwe kuwa Spika.

6. Atakuwa na benefits za ubunge wa Kongwa mpaka atakapoachia ngazi au kupigwa chini na wananchi wa jimbo.

Uongozi mtamu.
Hao wanaowania hicho Kiti wakiona hizi benefits akili na Mwili vinazidi kusisimka!

Nafikiri Africa uongozi ni Mtamu kuliko developed countries
 
1. Kulipwa 80% ya mshahara anayolipwa Spika aliyekalia kiti maisha yake yote.

2. Gari la VX V8 ni lake binafsi.

3. Dereva atakayelipwa na Serikali maisha yake yote.

4. Mafuta ya gari lake lita sabini kila week.

5. Kiinua mgongo 50% ya fedha alizowahi kulipwa mshahara tangia aapishwe kuwa Spika.

6. Atakuwa na benefits za ubunge wa Kongwa mpaka atakapoachia ngazi au kupigwa chini na wananchi wa jimbo.

Uongozi mtamu.
Sijawah ona ujinga kama huu
 
Back
Top Bottom