Joe Biden achaguliwa kuwa rais wa 46 wa Marekani

Joe Biden achaguliwa kuwa rais wa 46 wa Marekani

Kajitangaza Biden lkn bado kuna kesi kibao kafungua Trump, halafu Dec electoral college wakae waamue wampe nani na Congress wampitishe ndio inakuwa imeisha.
Fact: kesi na mgogoro wa majimbo 5 -- Arizona, PA, Georgia, Michigan, Wisconsin

NB: maamuzi ya electoral college (baraza la uteuzi) ama electoral votes (kura za uteuzi) hutegemea ushindi wa mgombea kwa popular votes (kura za wananchi/kura za uchaguzi) kwenye majimbo; yule aliyechukua majimbo yanayomwezesha kubwa na electoral votes nyingi kuliko mwenzake ndiye atakayepitishwa na hiyo EC mnamo tarehe 14 Desemba. Ndiyo maana mshindi hufahamika mapema.
 
Trump Ana Bull Dozer, Vifaru, Mizinga Lakini Anaondoka White House Kwa Amani Akikubali Yaliyotokea

Ingekuwa Hapa Promised Land(Tanzania)
Tungeulizana Anashindwaje Wakati Ana Vyote
"This election is far from over." ~ Donald J. Trump
 
Unaweza kumfananisha Trump na huyu wa kwetu hapa Tz?
Maana wana tabia na akili zinazofanana. Wababe sana halafu wanapenda kuwagawa watu. Dunia ya siasa za kidemokrasia haipaswi kuwa na aina ya viongozi wa hivi.
Kugawa watu??? Nitamshauri Dkt. JPM asinadi tena sera za majimbo ili asitugawe Watanzania
 
Huna haja ya kuumia Kaka. Biden will NOT be sworn in as the 46th President. That will not happen. Trump anajiandaa kwenda mahakamani. Kapigwa faulo nyingi sana kwenye uhesabuji wa kura
Forget about this. Kesi mbili mahakamani tayari zimekuwa "dismissed quickly." Hizo za kesho J3 hazitakuwa tofauti. Strategy yake ni kutoacha media kavareji ili aendelee kuwa mwiba kwa JB ili 2024 agombee tena.

Anajua hakika ameshindwa kihalali ama kifigisu. Democrats walimtafuta muda mrefu sana, kwa strategy kibao, sasa hana njia zaidi inayomfanya aendelee kuwa POTUS. Alijua hilo mapema sana.
 
Hususani mitaani na mitandaoni, nimekuwa nikiona na kusikia baadhi ya watu wakishitumu kuwa Trump ameibiwa kura.

Sijui ukweli wa madai hayo bali nimekuwa nikishangaa wale wanaotetea vitendo vilivyofanyika ktk uchaguzi wa nyumbani nao kuwa sehemu ya kuujua uchungu wa hujuma katika sikio la kimataifa.

Ninashangaa sana. Nimemkumbuka kabisa mwalimu wangu pale Kamasi Shule ya Msingi aliyenufundisha,

"Nyani haoni kundule"
 
Sababu kubwa iliyonifanya nimuone Trump kuwa ni bogus ni kutokujali hizi tawala za kiimla.

Alijifanya kujali zaidi mambo ya ndani ya Marekani na kuyapuuza ya nje kinyume kabisa na sera ya nje ya Marekani hali ambayo imepelekea madikteta kutamba sana.
 
Democrats wamemwibia Trump, kura zinaokotwa mpaka barabarani, kwny mawarehouuse nk nk halafu zinaenda kuhesabiwa, pia zilizoharibika kajumlishiwa Biden. Halafu States zilizoleta shida ni zile ambazo zinaamuaga nani awe Rais, nyingine ziliripoti on time, wao walikuwa wanasubiria Trump aongoze za awali ili wachakachue. Hata USA kuna maCCM kibao tuu
Unaona unang'atwa na black mamba au? Siyo America labda unazungumzia kule kunakojulikana kukikosababisha msiba kwa Taifa. No one is happy.
 
Tangu lini Chama cha Demoghasia & Maombolezo kikafanya maandamano ya amani; mnachojua nyie ni posho na ruzuku, mbali na hapo ni kutengeneza matukio na vurugu. Aliyewaingia akilini wananchi wazalendo mpaka wakaamua kuwakataeni kwenye ballot box anafaa tuzo ya heshima.
Taabu sana ku-argue na MAZUZU!!!
 
Rudia kusoma maandishi yako hayo yenye rangi ya Sisiemu, halafu angalia tena hii "stay-it-meant" yako.
Endeleea kutetea udhalimu wa wana-Lumumba wenzako but again, tofautisha kati ya maandamano na vurugu!!!
 
Back
Top Bottom