Hakuna tatiz, history ya US inaeleza hivyo ili ukizi viegezo vyakua Raisi wa dunia yani International president a nation as big as the United States must be a Freemasons member hata Raisi wa kwanza wa US alikua Freemasons
Chama cha democrat mgombea biden amepita ila chama hichi kinakera mambo yao ya kutetea ushoga hadharani na ndio maana mimi binafsi namkubari trump coz ni mcha dini na mambo hayo aliyapinga wazi wazi, watu hasa waafrica washangilie kwa nukta coz hichi chama agenda yao ni mambo kama hayo halafu ni kupenda vita now marekan lazima ipige nchi nyingine soon
Afu wanalazimisha waafrica katika uongozi tuwe na 50...50 kwenye uongozi, wao wenyewe na demokrasia yao ndio mara ya kwanza mwanamke anakuwa kwenye ngazi ya juu kabisa. Nafikiri africa tutafute mfumo wetu sio kila kitu kulazimishwa
Sisi tungeachana tu na haya mambo ya uchaguzi maanake sio hulka yetu. Mtu anajitangaza mshindi kwa mtutu wa bunduki kisha anasema bila aibu kuwa uchaguzi umeisha, uchaguzi gani wakati ni mapinduzi ya kijeshi. Very hopeless indeed.
Hellow JF Joe Biden Joe Biden ndiye mtu pekee anayeweza kumuondoa Donald Trump ambaye anawania miaka minne zaidi katika Ikulu ya White House. Makamu wa rais wa Barack Obama amechaguliwa rasmi kama mgombea wa Chama cha Democratic kwa uchaguzi wa urais wa Novemba. Kwa wafuasi wake yeye ni...
Mshindi wa Uchaguzi Mkuu wa Marekani katika Nafasi ya Urais, Joe Biden amewashukuru wamarekani kwa kumpa dhamana ya kuongoza taifa hilo
Katika tweet yake amesema atawatumikia wote bila kujali kama walimpigia kura au ambao hawakumpigia kura
Ameahidi kutowaangusha kwa imani ya uongozi ambayo Wananchi wamempa kwa kipindi hiki View attachment 1621579
Rais Mteule wa Marekani Joe Biden View attachment 1621544
Kamala Harris Mwana Mama wa kwanza katika Historia ya Marekani kuwa Makamu wa Rais.
Democrats wamemwibia Trump, kura zinaokotwa mpaka barabarani, kwny mawarehouuse nk nk halafu zinaenda kuhesabiwa, pia zilizoharibika kajumlishiwa Biden. Halafu States zilizoleta shida ni zile ambazo zinaamuaga nani awe Rais, nyingine ziliripoti on time, wao walikuwa wanasubiria Trump aongoze za awali ili wachakachue. Hata USA kuna maCCM kibao tuu
Mgombea wako alikuwa na character flaws nyingi mno!
Kapata kura zaidi ya milioni 70 na bado kashindwa!
Hakuna mgombea mwingine wa urais aliyewahi kupata kura nyingi namna hiyo na akashindwa.
Biden kapata kura milioni 74.
Nyingi ya hizo kura si za Biden. Ni kura dhidi ya Trump.
Trump angerekebisha tabia yake na kuachana na beef za Twitter na kuacha kutoa kauli za ajabu ajabu, naamini wananchi wangemsamehe licha hata ya janga Corona maana hakulisababisha yeye.
Watu walichoka na drama zake na tabia zake zisizo za ki presidential.
Democrats wamemwibia Trump, kura zinaokotwa mpaka barabarani, kwny mawarehouuse nk nk halafu zinaenda kuhesabiwa, pia zilizoharibika kajumlishiwa Biden. Halafu States zilizoleta shida ni zile ambazo zinaamuaga nani awe Rais, nyingine ziliripoti on time, wao walikuwa wanasubiria Trump aongoze za awali ili wachakachue. Hata USA kuna maCCM kibao tuu
Na fununu nilizozipata ni Kuwa JAMAA wanajipanga kufanya hivyo 2024....
Trump ana nguvu na pamoja na kushindwa,haijapata kutokea MSHINDWA anazoa Kura nyingi Kama alivyopata yeye....
Ni mtihani Mkubwa kwa JOE BIDEN kuprove him wrong kwa miaka hii 4 otherwise CORONA itapita...na Kama hatokidhi MATAKWA YA WAMAREKANI kiuchumi na kisera basi WANAWEZA tena kumchagua yuleyule MWENYE MDOMO MCHAFU NA USIOTABIRIKA....
Kwa mujibu wa matokeo yanayoendelea kutangazwa huko USA inaonesha tayari Serikali iliyopo madarakani chini ya Rais Donald Trump imeangushwa.
Bado hakuna uhakika kama Rais Trump ataridhia matokeo na hivyo kumuachia ofisi Mshindi Joe Biden.
Ikumbukwe kuwa Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania mara kwa mara umekuwa ukitoa matamko ya mwenendo wa uchaguzi uliokwisha nchini Tanzania ukihoji juu ya matukio ya ukandamizwaji wa demomrasia kwa kusikiliza madai potofu ya wapinzani.
Ikumbukwe kuwa Rais Trump amenukuliwa mara kadhaa akihoji mwenendo usioridhisha wa upigaji kura na utangazaji matokeo katika uchaguzi wa Marekani.
Lakini Tanzania iliendelea kuheshimu demokrasia ya Marekani kwa kukaa kimya bila kutoa matamko yanayohoji uchaguzi uliogubikwa na malalamiko yanayohusu wizi wa kura.
Kwangu mimi naona kuwa ni aibu na laana kwa Serikali ya Marekani ambayo imeondolewa madarakani ...kwani imekuwa ikifuatafuata mambo ya nchi nyingine bila sababu za msingi.
Kajitangaza Biden lkn bado kuna kesi kibao kafungua Trump, halafu Dec electoral college wakae waamue wampe nani na Congress wampitishe ndio inakuwa imeisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.