Joe Biden achaguliwa kuwa rais wa 46 wa Marekani

Joe Biden achaguliwa kuwa rais wa 46 wa Marekani

Hakuna tatiz, history ya US inaeleza hivyo ili ukizi viegezo vyakua Raisi wa dunia yani International president a nation as big as the United States must be a Freemasons member hata Raisi wa kwanza wa US alikua Freemasons
Embu tutolee ujinga wenu hapa wa ishu za freemason sijui illuminati. Ndo maana mnazidi kuwa masikini
 
Chama cha democrat mgombea biden amepita ila chama hichi kinakera mambo yao ya kutetea ushoga hadharani na ndio maana mimi binafsi namkubari trump coz ni mcha dini na mambo hayo aliyapinga wazi wazi, watu hasa waafrica washangilie kwa nukta coz hichi chama agenda yao ni mambo kama hayo halafu ni kupenda vita now marekan lazima ipige nchi nyingine soon
Isije ikatupiga sisi tu maana choko choko zilikuwa nyingi katika awamu iliopita 😂
 
Democrats hawana mzaha kwa ishu za demokrasia. Magu ajiandae
 
Afu wanalazimisha waafrica katika uongozi tuwe na 50...50 kwenye uongozi, wao wenyewe na demokrasia yao ndio mara ya kwanza mwanamke anakuwa kwenye ngazi ya juu kabisa. Nafikiri africa tutafute mfumo wetu sio kila kitu kulazimishwa
Mfumo upi huo?! Huu wa kuficha kura kwenye mabegi?!
 
Leo projections zinaonesha Joe Biden ni president Elect wa US

Kama tulivyomsikia na tulivyozoea sera za Democrats kwa mambo ya nje ni kuingilia au kujali sana mambo ya Africa tofauti na Trump alivyoyapa kisogo!!

Biden aliahidi ku deal na democrasia za Africa kama ilivyokua kwa Obama.

Afrika na mafashisti wake wajiandae maana huyu bwana na Chama chake watatuletea tena mambo ya Arab Spring!!
Acha tuone
 
Sisi tungeachana tu na haya mambo ya uchaguzi maanake sio hulka yetu. Mtu anajitangaza mshindi kwa mtutu wa bunduki kisha anasema bila aibu kuwa uchaguzi umeisha, uchaguzi gani wakati ni mapinduzi ya kijeshi. Very hopeless indeed.
Tanzania hatujui nini maana ya uchaguzi.Ni wizi mtupu.
 
Ushindi wake unakuja baada ya kushinda kwa kishindo jimbo la Pennsylvania.

Anakuwa Rais wa kwanza kuingia Madarakani akiwa na umri mkubwa (miaka 78). Pia, Marekani imepata Makamu wa Rais wa kwanza Mwanamke, Kamala Harris.


View attachment 1621542
View attachment 1621578
BIDEN: NITAWATUMIKIA WALIONIPIGIA NA WASIONIPIGIA KURA

Mshindi wa Uchaguzi Mkuu wa Marekani katika Nafasi ya Urais, Joe Biden amewashukuru wamarekani kwa kumpa dhamana ya kuongoza taifa hilo

Katika tweet yake amesema atawatumikia wote bila kujali kama walimpigia kura au ambao hawakumpigia kura

Ameahidi kutowaangusha kwa imani ya uongozi ambayo Wananchi wamempa kwa kipindi hiki
View attachment 1621579
Rais Mteule wa Marekani Joe Biden
View attachment 1621544
Kamala Harris Mwana Mama wa kwanza katika Historia ya Marekani kuwa Makamu wa Rais.

=====

Ameshinda kihalali. Siyo Bwana yule aliyeiba kura kihuni.
 
Democrats wamemwibia Trump, kura zinaokotwa mpaka barabarani, kwny mawarehouuse nk nk halafu zinaenda kuhesabiwa, pia zilizoharibika kajumlishiwa Biden. Halafu States zilizoleta shida ni zile ambazo zinaamuaga nani awe Rais, nyingine ziliripoti on time, wao walikuwa wanasubiria Trump aongoze za awali ili wachakachue. Hata USA kuna maCCM kibao tuu
 
Mgombea wako alikuwa na character flaws nyingi mno!

Kapata kura zaidi ya milioni 70 na bado kashindwa!

Hakuna mgombea mwingine wa urais aliyewahi kupata kura nyingi namna hiyo na akashindwa.

Biden kapata kura milioni 74.

Nyingi ya hizo kura si za Biden. Ni kura dhidi ya Trump.

Trump angerekebisha tabia yake na kuachana na beef za Twitter na kuacha kutoa kauli za ajabu ajabu, naamini wananchi wangemsamehe licha hata ya janga Corona maana hakulisababisha yeye.

Watu walichoka na drama zake na tabia zake zisizo za ki presidential.
U.S. ilikuwa na raisi mwenye tabia ka mwanamke menopausal, hormonal imbalance ka postpartum depression.
Zile hazikuwa tabia za raisi wa dunia.

Alinichekesha alipotoa press ya kuwa kishashinda, utadhani chizi.😀

Kura zilikuwa against Trump, huo muitikio ulikuwa wa vote him OUT.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Democrats wamemwibia Trump, kura zinaokotwa mpaka barabarani, kwny mawarehouuse nk nk halafu zinaenda kuhesabiwa, pia zilizoharibika kajumlishiwa Biden. Halafu States zilizoleta shida ni zile ambazo zinaamuaga nani awe Rais, nyingine ziliripoti on time, wao walikuwa wanasubiria Trump aongoze za awali ili wachakachue. Hata USA kuna maCCM kibao tuu
IMEISHA NANI RAIS?
 
"Maandamano na vurugu" nadhani sasa umepata jibu
Unajua nyie watu ndo maana mmebaki kupigia makofi hata kwa mambo ya kijinga kwa sababu HAMUELEWI!!

Sasa hapo aliyepata jibu ni mimi au wewe au unayechanganya maandamano ya kawaida na maandamano yanayoambatana na vurugu kiasi cha kuhatarisha amani?!
 
Haikatazwi...

Na fununu nilizozipata ni Kuwa JAMAA wanajipanga kufanya hivyo 2024....

Trump ana nguvu na pamoja na kushindwa,haijapata kutokea MSHINDWA anazoa Kura nyingi Kama alivyopata yeye....

Ni mtihani Mkubwa kwa JOE BIDEN kuprove him wrong kwa miaka hii 4 otherwise CORONA itapita...na Kama hatokidhi MATAKWA YA WAMAREKANI kiuchumi na kisera basi WANAWEZA tena kumchagua yuleyule MWENYE MDOMO MCHAFU NA USIOTABIRIKA....
Kiuchumi Biden hatafika popote
 
Kwa mujibu wa matokeo yanayoendelea kutangazwa huko USA inaonesha tayari Serikali iliyopo madarakani chini ya Rais Donald Trump imeangushwa.

Bado hakuna uhakika kama Rais Trump ataridhia matokeo na hivyo kumuachia ofisi Mshindi Joe Biden.

Ikumbukwe kuwa Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania mara kwa mara umekuwa ukitoa matamko ya mwenendo wa uchaguzi uliokwisha nchini Tanzania ukihoji juu ya matukio ya ukandamizwaji wa demomrasia kwa kusikiliza madai potofu ya wapinzani.

Ikumbukwe kuwa Rais Trump amenukuliwa mara kadhaa akihoji mwenendo usioridhisha wa upigaji kura na utangazaji matokeo katika uchaguzi wa Marekani.

Lakini Tanzania iliendelea kuheshimu demokrasia ya Marekani kwa kukaa kimya bila kutoa matamko yanayohoji uchaguzi uliogubikwa na malalamiko yanayohusu wizi wa kura.

Kwangu mimi naona kuwa ni aibu na laana kwa Serikali ya Marekani ambayo imeondolewa madarakani ...kwani imekuwa ikifuatafuata mambo ya nchi nyingine bila sababu za msingi.
Kuna wananchi wanaolalamika juu ya mwenendo wa uchaguzi wa Marekani?

Kama sio Trump na wanae pekee ambao wote wana hulka ya kibri na jeuri.

Huku Bongo kura feki zilikamatwa kibao mitaani tofauti na Marekani hata kura iliyoharibika tu hakuna.

Wanasheria/Wasaidizi wake wameshindwa kwenda mahakamani kwakuwa hawana ushahidi wa malalamiko ya boss wao sasa unaenda kufanya nini mahakamani?

Ingekuwa Trump yupo Bongolala angeshinda kwa kishindo kikuu cha 84.4%.
 
Turnout ya mwaka huu ilikuwa juu kidogo.

Na moja ya sababu ni chuki dhidi ya Trump.

Niliwahi kuandika uzi humu kuhusu akili ya Trump....huenda ndo Rais zuzu kuliko marais wote wa Marekani kuwahi kutokea.
Mkuu unaweza kunisaidia kuelewa ni upi mtazamo wa Joe katika nchi za Afrika?

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom