mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,200
- 49,076
So?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So?
Ok
Usilinganishe DEMOCRATIC PARTY na utopolo wa CHADEMA. Huko ni hoja kwa hoja ndizo zinashindana.Sisi tungeachana tu na haya mambo ya uchaguzi maanake sio hulka yetu. Mtu anajitangaza mshindi kwa mtutu wa bunduki kisha anasema bila aibu kuwa uchaguzi umeisha, uchaguzi gani wakati ni mapinduzi ya kijeshi. Very hopeless indeed.
Mia.
🖕🏿Mia.
Vip kuhusu kuua watu weusi hovyo nayo ni democrasia.?Wenzetu wapo mbali sanaa...
Anapita sio Yule unayemtaka Bali ALIYECHAGULIWA.
Kweli marekani ni baba wa democrasia duniani.
Sikudhani Kama Joe Biden angeshinda.
Nilimpa Trump 100%.
Hakuna tatiz, history ya US inaeleza hivyo ili ukizi viegezo vyakua Raisi wa dunia yani International president a nation as big as the United States must be a Freemasons member hata Raisi wa kwanza wa US alikua FreemasonsKwan kuna tatizo?
conspiracy zitawaua mbwa nyie...haya aliens wamejificha wapi hapa bongo?Magufuli ni reptile au dunia ni chapati?Hakuna tatiz, history ya US inaeleza hivyo ili ukizi viegezo vyakua Raisi wa dunia yani International president a nation as big as the United States must be a Freemasons member hata Raisi wa kwanza wa US alikua Freemasons
of course nothing you know read so many books yes you argue with me be very organized broconspiracy zitawaua mbwa nyie...haya aliens wamejificha wapi hapa bongo?Magufuli ni reptile au dunia ni chapati?
ungejua jinsi biashara ya kuuza article na vitabu ilivyo lucrative hata usingehangaika na huto tulink.of course nothing you know read so many books yes you argue with me be very organized bro
"List of presidents of the United States who were Freemasons - Wikipedia" List of presidents of the United States who were Freemasons - Wikipedia
"Maandamano na vurugu" nadhani sasa umepata jibuYalikuwaje?!
Naona unataka kuchanganya kati ya maandamano na vurugu ambazo zilihusisha looting everywhere huku wengine wakiwa wamebeba silaha!!
Mdude chadema bado yuko ndani?Tunapitia nyakati ngumu mkuu acha tu
Nikiwaza kina mdude chadema, Tito magoti na mamia wapo wanasota magereza bila dhamana kisa ni wakosoaji nakosa amani kabisa.
Ile juzi angetawazwa kuwa mfalme tujue moja.Sisi tungeachana tu na haya mambo ya uchaguzi maanake sio hulka yetu. Mtu anajitangaza mshindi kwa mtutu wa bunduki kisha anasema bila aibu kuwa uchaguzi umeisha, uchaguzi gani wakati ni mapinduzi ya kijeshi. Very hopeless indeed.
Amen, indeed. God bless the United States of America. No country like the USA.I am the happiest man today. Cheering with a glass of Black Label. Quenching the pain. You know what I mean.
I love Democrats and Obama inspired me more.
I love America, the father of Democracy. Respect to their strong and independent Institutions.
Africans, is there a lesson? So astonished, I mean the Astonishment of the so called our own making Democracy.
Americans I envy You!!! I see how happy are all are at this moment.
God Bless the United States of America
Shangaa na wewe. Leo wanamkana Trump wao live[emoji16][emoji16][emoji16]Ulisemaga hiki kibabu Biden kinapoteza muda we kiazi leo unasema nini?