Joe Biden ajitoa kugombea Urais wa Marekani 2024

Joe Biden ajitoa kugombea Urais wa Marekani 2024

Yah may be Shapiro. He is from a battleground state but can he really coalesce leaders into his fold? Kamala has an advantage of inheriting all of the Biden infrastructure in battleground states and all of his cash. Biden can transfer all to her but none to those others. He can only transfer to DNC if Kamala isn't the nominee but the rules around spending will be difficult because it is expensive to purchase ads if you are not the nominee. It is interesting that for at least a month trump will be unhinged. He will be free to room the streets, the airwaves and everything.
May be Mrs Obama. She has retained a high favorable since leaving the spotlight with his husband.
She’s getting even more endorsements as time passes…

Currently, apart from Biden himself, others are congressional black caucus, congressional Hispanic caucus chairman, the Clintons.

Biden will stick with Harris. Let’s wait and see…
 
Wewe si ndio umeanzisha uzi ndani ya uzi? Au umesha sahau? Uzi unahusu Biden ila wewe ukataja Rais mwingine kabisa! Au wakati una comment akili zako ulikua umeziweka mfukoni?
Huyu hatogombea kama alivyonukuliwa awali ndio maana nikauliza lini atatangaza rasmi?
 
Muongo wewe! Lini hao electors wameenda kinyume na mshindi wa popular vote ya state?

Hujui kabisa unaloliongelea.
Uchaguzi uliopita wa 2020 kuna majimbo Republicans walitengeneza fake electors kumpa ushindi Trump, nafikiri kuna hadi kesi zinaendelea mahakamani kuhusu huo mpango wa kupindua matoke kupitia alternate electors.
 
Wanaukumbi.

MAREKANI: Rais Joe Biden ametangaza kujiondoa katika kinyang'anyiro cha kuwania Urais kwa awamu ya pili

Kwa hatua hiyo, Chama cha Democrats kitatakiwa kuchagua Mgombea mwingine.


Rais wa Marekani Joe Biden ametangaza kuwa hatagombea tena urais, akisema "ni kwa manufaa ya chama changu na nchi".

Tangazo hilo linakuja miezi minne kabla ya Wamarekani kwenda kupiga kura na kubadilisha mbio kuelekea Ikulu.

Hii inafuatia wiki kadhaa za shinikizo kutoka kwa wanasiasa wa chama chake baada ya utendaji wa kusitasita katika mdahalo dhidi ya mgombea wa Republican, Donald Trump mwishoni mwa mwezi Juni.

Katika barua aliyoweka kwenye akaunti yake ya mitandao ya kijamii, alisema imekuwa heshima kubwa zaidi ya maisha yake kuhudumu kama Rais.

"Na ingawa ilikuwa nia yangu kugombea tena, naamini ni kwa manufaa ya chama changu na nchi nisimame chini na kujikita kikamilifu katika kutimiza majukumu kama Rais kwa kipindi kilichosalia cha muhula wangu".

Alisema katika taarifa yake kwamba atalihutubia taifa kuhusu suala hilo wiki ijayo.

Rais Biden alimshukuru Makamu wake wa Rais Kamala Harris, akisema alikuwa "mshirika wa kipekee".

"Na wacha nitoe shukrani zangu za dhati kwa wananchi wa Marekani kwa imani na uaminifu mliyonipa," taarifa yake iliongeza.

"Naamini leo na daima kwamba hakuna kitu ambacho Marekani haiwezi kufanya - tunapokifanya kwa pamoja. Tunapaswa tu kukumbuka sisi ni Umoja wa Mataifa ya Marekani."

Wiki iliyopita alirudi nyumbani kwake Delaware baada ya kugunduliwa kuwa na Covid, lakini alisema Ijumaa alikuwa akitarajia "kurudi kwenye kampeni wiki ijayo".

Awali alisema ni "Mwenyezi Mungu tu" angeweza kumfanya ajiondoe, lakini baadaye alisema angefikiria kujiondoa kutokana na hali ya afya.
View attachment 3048205
Mimi nilikuwa nashangaa sana, America yenye watu milioni 300 au zaidi inakuwaje waweke wazee ilihali watu wa makamo au vijana wanao, kwa nini kumg'ang'ania Joe Baden na Donald Trump
 
Electors hawawezi kwenda kinyume na will ya raia wa majimbo na kujiamulia watakavyo wao.

Wakifanya hivyo italeta constitutional crisis.

Ndo maana haijawahi kutokea.

Ambacho huelewi ni nini?
Kwa sasa hivi siasa za Marekani zimebadilika sana, Electors wanaweza kwenda kinyume na matokeo ya popular vote/will ya raia, kilichokwamisha hilo kufanyika kwenye uchaguzi wa 2020 ni Mike Pence ambaye ndiye alikuwa ana certify kutokubalina na upande wa Trump kuhusu mipango ya aina hiyo.
 
Baadhi ya majina yanayotajwa mara kwa mara ni pamoja na Makamu wa Rais Kamala Harris, California. Gavin Newsom, Gavana wa Michigan Gretchen Whitmer, Gavana wa Illinois J.B. Pritzker na Gavana wa Pennsylvania Josh Shapiro. Seneta wa Arizona Mark Kelly, mwanaanga wa zamani wa NASA,
Kamala ni shaka kubwa.

Huyo wa California anayo nafasi kubwa kuchukua kijiti.
 
Kwa sasa hivi siasa za Marekani zimebadilika sana, Electors wanaweza kwenda kinyume na matokeo ya popular vote/will ya raia, kilichokwamisha hilo kufanyika kwenye uchaguzi wa 2020 ni Mike Pence ambaye ndiye alikuwa ana certify kutokubalina na upande wa Trump kuhusu mipango ya aina hiyo.
Biden aliamini kwamba kuna “coordinated efforts” , “spearheaded” by elites, to oust him as a democrat nominee.

Sasa kama aliamini hivyo, lazima kutokee msuguano kidogo kwenye kumpata mrithi wa Biden.

Kuna waliokuwa na mgombea wao tayari wa kum “replace” Biden.

Biden ndo maana anakomaa Kamala ndo achukue usukani.
 
It’s gonna be wild one. Obama is yet to endorse her.
It's more complicated.
This isn't simply an issue of winning the presidency; which is highly doubtful with the lady, but winning Senate and the House are issues intertwined therein; which all depend on the Head on the ticket.
 
She’s getting even more endorsements as time passes…

Currently, apart from Biden himself, others are congressional black caucus, congressional Hispanic caucus chairman, the Clintons.

Biden will stick with Harris. Let’s wait and see…
These endorsements are cosmetic at the moment. They can change rapidly if/when a more suitable candidate moves forward.
 
They lost to Nixon. I hope they don't loose the house at least. They can salvage something if they deny Trump the pleasure of having all the power at his disposal.
And where was the 1968 convention held at? Where is it this year?

🤣
 
Back
Top Bottom