Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Its over, Trump is gonna win with a landslide the way it looks nowNever jump into a conclusion. Give it a little bit of time.
Trump has nothing to worry about
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Its over, Trump is gonna win with a landslide the way it looks nowNever jump into a conclusion. Give it a little bit of time.
Nope. With all due respect, I beg to differ!Its over, Trump is gonna win with a landslide the way it looks now
Trump has nothing to worry about
She’s getting even more endorsements as time passes…Yah may be Shapiro. He is from a battleground state but can he really coalesce leaders into his fold? Kamala has an advantage of inheriting all of the Biden infrastructure in battleground states and all of his cash. Biden can transfer all to her but none to those others. He can only transfer to DNC if Kamala isn't the nominee but the rules around spending will be difficult because it is expensive to purchase ads if you are not the nominee. It is interesting that for at least a month trump will be unhinged. He will be free to room the streets, the airwaves and everything.
May be Mrs Obama. She has retained a high favorable since leaving the spotlight with his husband.
Huyu hatogombea kama alivyonukuliwa awali ndio maana nikauliza lini atatangaza rasmi?Wewe si ndio umeanzisha uzi ndani ya uzi? Au umesha sahau? Uzi unahusu Biden ila wewe ukataja Rais mwingine kabisa! Au wakati una comment akili zako ulikua umeziweka mfukoni?
Uchaguzi uliopita wa 2020 kuna majimbo Republicans walitengeneza fake electors kumpa ushindi Trump, nafikiri kuna hadi kesi zinaendelea mahakamani kuhusu huo mpango wa kupindua matoke kupitia alternate electors.Muongo wewe! Lini hao electors wameenda kinyume na mshindi wa popular vote ya state?
Hujui kabisa unaloliongelea.
Hilo la "wanawake" umelitoa wapi?Uingereza nayo ni Vilaza mbona Wanawake wameshika nafasi za Uongozi.
Na ndio walioitawala hiyo Nchi.
Mimi nilikuwa nashangaa sana, America yenye watu milioni 300 au zaidi inakuwaje waweke wazee ilihali watu wa makamo au vijana wanao, kwa nini kumg'ang'ania Joe Baden na Donald TrumpWanaukumbi.
MAREKANI: Rais Joe Biden ametangaza kujiondoa katika kinyang'anyiro cha kuwania Urais kwa awamu ya pili
Kwa hatua hiyo, Chama cha Democrats kitatakiwa kuchagua Mgombea mwingine.
Rais wa Marekani Joe Biden ametangaza kuwa hatagombea tena urais, akisema "ni kwa manufaa ya chama changu na nchi".
Tangazo hilo linakuja miezi minne kabla ya Wamarekani kwenda kupiga kura na kubadilisha mbio kuelekea Ikulu.
Hii inafuatia wiki kadhaa za shinikizo kutoka kwa wanasiasa wa chama chake baada ya utendaji wa kusitasita katika mdahalo dhidi ya mgombea wa Republican, Donald Trump mwishoni mwa mwezi Juni.
Katika barua aliyoweka kwenye akaunti yake ya mitandao ya kijamii, alisema imekuwa heshima kubwa zaidi ya maisha yake kuhudumu kama Rais.
"Na ingawa ilikuwa nia yangu kugombea tena, naamini ni kwa manufaa ya chama changu na nchi nisimame chini na kujikita kikamilifu katika kutimiza majukumu kama Rais kwa kipindi kilichosalia cha muhula wangu".
Alisema katika taarifa yake kwamba atalihutubia taifa kuhusu suala hilo wiki ijayo.
Rais Biden alimshukuru Makamu wake wa Rais Kamala Harris, akisema alikuwa "mshirika wa kipekee".
"Na wacha nitoe shukrani zangu za dhati kwa wananchi wa Marekani kwa imani na uaminifu mliyonipa," taarifa yake iliongeza.
"Naamini leo na daima kwamba hakuna kitu ambacho Marekani haiwezi kufanya - tunapokifanya kwa pamoja. Tunapaswa tu kukumbuka sisi ni Umoja wa Mataifa ya Marekani."
Wiki iliyopita alirudi nyumbani kwake Delaware baada ya kugunduliwa kuwa na Covid, lakini alisema Ijumaa alikuwa akitarajia "kurudi kwenye kampeni wiki ijayo".
Awali alisema ni "Mwenyezi Mungu tu" angeweza kumfanya ajiondoe, lakini baadaye alisema angefikiria kujiondoa kutokana na hali ya afya.
View attachment 3048205
Kwa sasa hivi siasa za Marekani zimebadilika sana, Electors wanaweza kwenda kinyume na matokeo ya popular vote/will ya raia, kilichokwamisha hilo kufanyika kwenye uchaguzi wa 2020 ni Mike Pence ambaye ndiye alikuwa ana certify kutokubalina na upande wa Trump kuhusu mipango ya aina hiyo.Electors hawawezi kwenda kinyume na will ya raia wa majimbo na kujiamulia watakavyo wao.
Wakifanya hivyo italeta constitutional crisis.
Ndo maana haijawahi kutokea.
Ambacho huelewi ni nini?
Kamala ni shaka kubwa.Baadhi ya majina yanayotajwa mara kwa mara ni pamoja na Makamu wa Rais Kamala Harris, California. Gavin Newsom, Gavana wa Michigan Gretchen Whitmer, Gavana wa Illinois J.B. Pritzker na Gavana wa Pennsylvania Josh Shapiro. Seneta wa Arizona Mark Kelly, mwanaanga wa zamani wa NASA,
It’s gonna be wild one. Obama is yet to endorse her.Kamala ni shaka kubwa.
Huyo wa California anayo nafasi kubwa kuchukua kijiti.
Yani kupanda ngazi za kwenye ndege ilikuwa mtihani anachukua robo saa kuingia ndani ya ndegeBabu katema bungo 😹😹
Biden aliamini kwamba kuna “coordinated efforts” , “spearheaded” by elites, to oust him as a democrat nominee.Kwa sasa hivi siasa za Marekani zimebadilika sana, Electors wanaweza kwenda kinyume na matokeo ya popular vote/will ya raia, kilichokwamisha hilo kufanyika kwenye uchaguzi wa 2020 ni Mike Pence ambaye ndiye alikuwa ana certify kutokubalina na upande wa Trump kuhusu mipango ya aina hiyo.
It's more complicated.It’s gonna be wild one. Obama is yet to endorse her.
These endorsements are cosmetic at the moment. They can change rapidly if/when a more suitable candidate moves forward.She’s getting even more endorsements as time passes…
Currently, apart from Biden himself, others are congressional black caucus, congressional Hispanic caucus chairman, the Clintons.
Biden will stick with Harris. Let’s wait and see…
And where was the 1968 convention held at? Where is it this year?They lost to Nixon. I hope they don't loose the house at least. They can salvage something if they deny Trump the pleasure of having all the power at his disposal.