Joe Biden ajitoa kugombea Urais wa Marekani 2024

Joe Biden ajitoa kugombea Urais wa Marekani 2024

Juzi alikiri anaumwa.

Republicans watakuwa wanashangilia sana wakati huu.

Bado doubt yangu iko pale pale, Trump ana ushawishi wa kutosha kwenye vyombo vya usalama?
Hapa ndipo Kuna mchezo mtamu, juzi kati Kuna Senator kashaawmbia wajiandae, pamoja na Mwanasheria MKUU Wa Serikali, kivumbi watakachoingia nacho Republicans Democrats wanaweza kufurukutishwa kwa Miaka 20.
 
Yah may be Shapiro. He is from a battleground state but can he really coalesce leaders into his fold? Kamala has an advantage of inheriting all of the Biden infrastructure in battleground states and all of his cash. Biden can transfer all to her but none to those others. He can only transfer to DNC if Kamala isn't the nominee but the rules around spending will be difficult because it is expensive to purchase ads if you are not the nominee. It is interesting that for at least a month trump will be unhinged. He will be free to room the streets, the airwaves and everything.
May be Mrs Obama. She has retained a high favorable since leaving the spotlight with his husband.
Maybe Josh Shapiro?

The big news is that he’s not stepping down immediately, which means an open convention.

They will not have to automatically nominate Harris, so the convention is going to be wild!
 
Wanaukumbi.

MAREKANI: Rais Joe Biden ametangaza kujiondoa katika kinyang'anyiro cha kuwania Urais kwa awamu ya pili

Kwa hatua hiyo, Chama cha Democrats kitatakiwa kuchagua Mgombea mwingine.


Rais wa Marekani Joe Biden ametangaza kuwa hatagombea tena urais, akisema "ni kwa manufaa ya chama changu na nchi".

Tangazo hilo linakuja miezi minne kabla ya Wamarekani kwenda kupiga kura na kubadilisha mbio kuelekea Ikulu.

Hii inafuatia wiki kadhaa za shinikizo kutoka kwa wanasiasa wa chama chake baada ya utendaji wa kusitasita katika mdahalo dhidi ya mgombea wa Republican, Donald Trump mwishoni mwa mwezi Juni.

Katika barua aliyoweka kwenye akaunti yake ya mitandao ya kijamii, alisema imekuwa heshima kubwa zaidi ya maisha yake kuhudumu kama Rais.

"Na ingawa ilikuwa nia yangu kugombea tena, naamini ni kwa manufaa ya chama changu na nchi nisimame chini na kujikita kikamilifu katika kutimiza majukumu kama Rais kwa kipindi kilichosalia cha muhula wangu".

Alisema katika taarifa yake kwamba atalihutubia taifa kuhusu suala hilo wiki ijayo.

Rais Biden alimshukuru Makamu wake wa Rais Kamala Harris, akisema alikuwa "mshirika wa kipekee".

"Na wacha nitoe shukrani zangu za dhati kwa wananchi wa Marekani kwa imani na uaminifu mliyonipa," taarifa yake iliongeza.

"Naamini leo na daima kwamba hakuna kitu ambacho Marekani haiwezi kufanya - tunapokifanya kwa pamoja. Tunapaswa tu kukumbuka sisi ni Umoja wa Mataifa ya Marekani."

Wiki iliyopita alirudi nyumbani kwake Delaware baada ya kugunduliwa kuwa na Covid, lakini alisema Ijumaa alikuwa akitarajia "kurudi kwenye kampeni wiki ijayo".

Awali alisema ni "Mwenyezi Mungu tu" angeweza kumfanya ajiondoe, lakini baadaye alisema angefikiria kujiondoa kutokana na hali ya afya.
View attachment 3048205
Hiyo ndio Marekani, nchi ya kidemokrasia. Siyo huko uarabuni kwenu wamekalia ugaidi tu na kulazimisha watu kwenda kuswali.
 
Wanaukumbi.

MAREKANI: Rais Joe Biden ametangaza kujiondoa katika kinyang'anyiro cha kuwania Urais kwa awamu ya pili

Kwa hatua hiyo, Chama cha Democrats kitatakiwa kuchagua Mgombea mwingine.


Rais wa Marekani Joe Biden ametangaza kuwa hatagombea tena urais, akisema "ni kwa manufaa ya chama changu na nchi".

Tangazo hilo linakuja miezi minne kabla ya Wamarekani kwenda kupiga kura na kubadilisha mbio kuelekea Ikulu.

Hii inafuatia wiki kadhaa za shinikizo kutoka kwa wanasiasa wa chama chake baada ya utendaji wa kusitasita katika mdahalo dhidi ya mgombea wa Republican, Donald Trump mwishoni mwa mwezi Juni.

Katika barua aliyoweka kwenye akaunti yake ya mitandao ya kijamii, alisema imekuwa heshima kubwa zaidi ya maisha yake kuhudumu kama Rais.

"Na ingawa ilikuwa nia yangu kugombea tena, naamini ni kwa manufaa ya chama changu na nchi nisimame chini na kujikita kikamilifu katika kutimiza majukumu kama Rais kwa kipindi kilichosalia cha muhula wangu".

Alisema katika taarifa yake kwamba atalihutubia taifa kuhusu suala hilo wiki ijayo.

Rais Biden alimshukuru Makamu wake wa Rais Kamala Harris, akisema alikuwa "mshirika wa kipekee".

"Na wacha nitoe shukrani zangu za dhati kwa wananchi wa Marekani kwa imani na uaminifu mliyonipa," taarifa yake iliongeza.

"Naamini leo na daima kwamba hakuna kitu ambacho Marekani haiwezi kufanya - tunapokifanya kwa pamoja. Tunapaswa tu kukumbuka sisi ni Umoja wa Mataifa ya Marekani."

Wiki iliyopita alirudi nyumbani kwake Delaware baada ya kugunduliwa kuwa na Covid, lakini alisema Ijumaa alikuwa akitarajia "kurudi kwenye kampeni wiki ijayo".

Awali alisema ni "Mwenyezi Mungu tu" angeweza kumfanya ajiondoe, lakini baadaye alisema angefikiria kujiondoa kutokana na hali ya afya.
View attachment 3048205
To Stand down= kusimama chini!?...
 
Yah may be Shapiro. He is from a battleground state but can he really coalesce leaders into his fold? Kamala has an advantage of inheriting all of the Biden infrastructure in battleground states and all of his cash. Biden can transfer all to her but none to those others. He can only transfer to DNC if Kamala isn't the nominee but the rules around spending will be difficult because it is expensive to purchase ads if you are not the nominee. It is interesting that for at least a month trump will be unhinged. He will be free to room the streets, the airwaves and everything.
May be Mrs Obama. She has retained a high favorable since leaving the spotlight with his husband.
Media zote na attention zitahamia Democrats kujua na kufuatilia drama za kumpata mgombea wao, Trump unaweza usimsikie tena
 
PUT IN inasemekana kuwa aliwahi kumuambia kuwa ameshuhudia idadi flani ya Marais wa US wakati yeye akiwepo mmoja tu pale Kremlin na kwamba yeye ni mdogo kwake.

Boris Johnson naye inasemekana aliambiwa hayo maneno.
 
Ni uamuzi sahihi kwa manufaa ya chama chake cha Democrat na America kwa ujumla.Amechoka sana na ana ugonjwa wa sahau sahau, jambo ambalo ni la hatari sana kuendelea kuwa Rais.
Wajitokeze wagombea wengine wenye uwezo na ushawishi,apitishwe na Mkutano Mkuu wa Democrats mwezi wa August 2024
 
Back
Top Bottom