Mbona ingeshangaza sana kama asingefanya hivyo. Isingekuwa rahisi, na kwa kweli asinge eleweka kabisa.Biden ndo maana anakomaa Kamala ndo achukue usukani.
Kwa hiyo ni 'moves' zilizokuwa zinajulikana toka mwanzo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona ingeshangaza sana kama asingefanya hivyo. Isingekuwa rahisi, na kwa kweli asinge eleweka kabisa.Biden ndo maana anakomaa Kamala ndo achukue usukani.
Utabiri upi mzee? Uweke hata hints tufaidi soteHatari sana kuna utabiri wa mwamba naona umetimia
Italeta constitutional crisis kivipi bana,acha fix!?..watu kibao hawapigi kura kisa kura zao haziamui mshindi wa urais marekaniElectors hawawezi kwenda kinyume na will ya raia wa majimbo na kujiamulia watakavyo wao.
Wakifanya hivyo italeta constitutional crisis.
Ndo maana haijawahi kutokea.
Ambacho huelewi ni nini?
Nitaweka ngoja nitafute niliposomaUtabiri upi mzee? Uweke hata hints tufaidi sote
Unfortunately, I ain't seeing this through the same rose colored glasses, Kamala has a lower approval rate than Joe. Democrats just nailed their own coffinNope. With all due respect, I beg to differ!
NOPE!Trump anachukua urais mapema sana kabla sadaka ya ibada ya kwanza haijahesabiwa
She’s not popular with voters and she ain't very popular in her own party (she got destroyed when she ran for 2020) Harris is a red herring I'm telling youShe’s getting even more endorsements as time passes…
Currently, apart from Biden himself, others are congressional black caucus, congressional Hispanic caucus chairman, the Clintons.
Biden will stick with Harris. Let’s wait and see…
Remember the reason was age, this time around, Trump will be on a defensive line.Unfortunately, I ain't seeing this through the same rose colored glasses, Kamala has a lower approval rate than Joe. Democrats just nailed their own coffin
It might as well be Michelle Obama.She’s not popular with voters and she ain't very popular in her own party (she got destroyed when she ran for 2020) Harris is a red herring I'm telling you
Nimekusoma na kufikiri kwa kina zaidi udadisi wako katika mistari yako hii miwili. Ni udadisi mzuri.Mimi nilikuwa nashangaa sana, America yenye watu milioni 300 au zaidi inakuwaje waweke wazee ilihali watu wa makamo au vijana wanao, kwa nini kumg'ang'ania Joe Baden na Donald Trump
Age was not the issue.Remember the reason was age, this time around, Trump will be on a defensive line.
🤣🤣🤣 u dems didn't care about age until 2 hours agoRemember the reason was age, this time around, Trump will be on a defensive line.
Ndo maana nikasema hujui hata unachokiongelea wewe!Italeta constitutional crisis kivipi bana,acha fix!?..watu kibao hawapigi kura kisa kura zao haziamui mshindi wa urais marekani
Our eyes are not lying to us!🤣🤣🤣 u dems didn't care about age until 2 hours ago
Jeez. Grow up
Strange only weeks ago Joe was fit to rule and now suddenly Trump is too old?
This is why the dems will lose the hypocrisy on full display
Toa maelezo,acha kunadi kujua kwakoNdo maana nikasema hujui hata unachokiongelea wewe!