Joe Biden ajitoa kugombea Urais wa Marekani 2024

Joe Biden ajitoa kugombea Urais wa Marekani 2024

Electors hawawezi kwenda kinyume na will ya raia wa majimbo na kujiamulia watakavyo wao.

Wakifanya hivyo italeta constitutional crisis.

Ndo maana haijawahi kutokea.

Ambacho huelewi ni nini?
Italeta constitutional crisis kivipi bana,acha fix!?..watu kibao hawapigi kura kisa kura zao haziamui mshindi wa urais marekani
 
Trump anachukua urais mapema sana kabla sadaka ya ibada ya kwanza haijahesabiwa
 
Trump anachukua urais mapema sana kabla sadaka ya ibada ya kwanza haijahesabiwa
NOPE!

The news that Joe Biden is dropping his campaign to be reelected president is about the worst thing that could have happened for Donald Trump.
 
She’s getting even more endorsements as time passes…

Currently, apart from Biden himself, others are congressional black caucus, congressional Hispanic caucus chairman, the Clintons.

Biden will stick with Harris. Let’s wait and see…
She’s not popular with voters and she ain't very popular in her own party (she got destroyed when she ran for 2020) Harris is a red herring I'm telling you
 
Unfortunately, I ain't seeing this through the same rose colored glasses, Kamala has a lower approval rate than Joe. Democrats just nailed their own coffin
Remember the reason was age, this time around, Trump will be on a defensive line.
 
Mimi nilikuwa nashangaa sana, America yenye watu milioni 300 au zaidi inakuwaje waweke wazee ilihali watu wa makamo au vijana wanao, kwa nini kumg'ang'ania Joe Baden na Donald Trump
Nimekusoma na kufikiri kwa kina zaidi udadisi wako katika mistari yako hii miwili. Ni udadisi mzuri.

Mimi sina jibu ninaloweza kusema ni sahihi; lakini nitakurudisha nyuma kidogo, hasa kwa upande wa Trump alivyo fikia hapo wakati huu.
Kulikuwa na watia nia wengi kwenye nafasi hiyo, ambao mchujo uliwaondoa hadi kabaki Trump mwenyewe, pamoja na maswala yake mengi ya kesi yaliyokuwa yakimkabili
Hao watia nia wengi walikuwa ni vijana/wamakamo, siyo wazee kama Trump. Na Trump mwenyewe wala hakujihangaisha kupambana nao kwenye kinyang'anyiro huko kwenye ngazi za chini. Walihangaishana wao wenyewe kwa wenyewe kwa kuchuana na kudondoka mmoja mmoja hadi kabaki Trump pekee amesimama!

Ni kipi hasa kilichofanya Trump apendwe hivyo licha ya tabia zake? Sijui

Unajuwa, hawa wenzetu wenye vyama huko, kama hao Republicans, humo humo ndani ya chama kimoja kuna makundi yanayonyukana wao kwa wao. Hili kundi linalomsukuma Trump, ndilo lenye nguvu zaidi katika chama hicho. Hawa ni wahafidhina kwelikweli, na baadhi yao ni yale mapapa hasa ya ubaguzi. Wanaungana ndani ya chama hicho kumuunga mkono Trump kwa sababu ndiye anayeonyesha tabia na mambo yanayowakuna wao; mambo ambayo wangependa nchi hiyo iyawekee mkazo zaidi wakati huu katika siasa za nchi hiyo.

Ukienda upande wa Democrats, wao pia ndani ya chama chao kuna makundi hivyo hivyo, ambayo kila kundi linakuwa na watu/viongozi wanaopenda washike uongozi kuendeleza mambo wanayo yapenda wao. Biden, yeye hakushindana kwenye 'Primaries', kwa vile tayari alikuwa ni kiongozi. Kwa hiyo hapakutokea watu wa kutaka kumng'oa kwa vile alikuwa anategemewa kwenda kumaliza mhura wake wa miaka minne. Swala la uzee wake halikuwepo hadi hapo alipoonyesha dalili za wazi kabisa kwamba uzee unamchanganya.

Niseme tu kwa kumalizia, swala hapa siyo umri mkubwa/uzee, bali ni uwezo wa kuongoza na kujuwa maswala muhimu ya kuwa kiongozi.
 
Remember the reason was age, this time around, Trump will be on a defensive line.
Age was not the issue.

The issue was Joe Biden’s diminished cognitive abilities.

Trump got shot on Saturday.

Accepted the nomination of his party on Thursday.

Yesterday he was on the campaign trail in Grand Rapids, Michigan.

Our eyes didn’t lie to us. Every fair minded person who took a look at Biden saw what we saw, a dementia addled president.

Last Saturday, everyone saw how Trump rose up from the ashes like the Phoenix.

No one is going to buy that age thing with Trump.

After all, age is not the issue. There are 85 year olds who are in a much better shape than Biden.

Nancy Pelosi is older than Biden and she’s in a much better shape cognitively.

People age differently.
 
🤣🤣🤣 u dems didn't care about age until 2 hours ago

Jeez. Grow up

Strange only weeks ago Joe was fit to rule and now suddenly Trump is too old?

This is why the dems will lose the hypocrisy on full display
Our eyes are not lying to us!

Donald Trump is old. But he is in a much better shape.

Think if Biden was the one who got shot last Saturday….

Do you really think Biden would have rose up the way Trump did?

Biden got 100 Covid shots and 200 boosters and he’s been in Delaware isolated for a week!!
 
Back
Top Bottom