Mimi sitafuti uongozi wa nchi hii. Lakini nitakwambia waziwazi hapa, hayo ya upendeleo wa mtu, kundi maalum nje ya u-Tanzania wake hilo lisingewezekana kabisa. Sifa kuu ndani ya maisha yangu ni -u-Tanzania, na uwezo wa mTanzania yeyote kushika nafasi anayo pewa kuiongoza., basi.Wewe tukupe uongozi leo utakuwa na kasoro zako, blind spots zako labda utaangalia waliokuunga mkono ukawapa vipaumbele.
Sasa Mr kalamu.kwanini huoni uzalendo wa Magufuli. Ni kujifanya kipofu tu, wakati mwingine inachangiwa na itikadi, udini ukabila wa watu. Ukiwa neutral ukiangalia aliyoyafanya kwa wananchi ni ukweli alikuwa mzalendo. Uzalendo nini. Ni kuangalia maslahi ya taifa,watu wote,kupata huduma zote kama haki, umeme, maji, barabara, masoko, kupunguza rushwa, SGR, NIDA, kuheshimika kwenye mamlaka.Nadhani kwa kumpenda zaidi Magufuli, inawezekana ukawa unakosa uwazi wa akili unao takiwa kuwa nao. Mimi sijasema kuwa Magufuli hakuwa na mazuri. Nisome vizuri unielewe; labda lugha niliyo tumia kidogo inafanya nisieleweke kirahisi.
Swala la "Uzalendo" wa Magufuli siwezi kumhukumu juu ya hilo. Niliona maneno mengi na baadhi ya vitendo vilivyo ashilia kuwa ni Mzalendo. Lakini pia niliona vitendo vilivyo onyesha mapungufu ya uzalendo huo. Ninapenda kuamini kwamba alikuwa ni mzalendo ambaye baadhi ya matendo yake yalimwondolea sifa hiyo.
Ni vigumu sana mtu yeyote kutafsiri 'uzalendo' wa mtu mwingine kwa nchi yake. Siyo rahisi sana kufanya hivyo. Ndiyo maana, katika viongozi wote tulio wahi kuwa nao nchi hii, ukiniuliza nikutajie moja kwa moja ninaweza kumwona kuwa alikuwa ni mzalendo wa kweli bila ya kusita kabisa, nitakutajia wawili tu..., hii haina maana hao wengine hawakuwa na uzalendo, la hasha.
Mwalimu Nyerer na Edward Sokione hawa walikuwa ni wazalendo wa kweli kweli wa nchi hii. Lakini hapo hapo, siwezi kamwe kusema Kikwete siyo mzalendo moja kwa moja.
Humo humo, ndimo palikuwemo na ubaya wa Magufuli, kwenye makundi hayo, na hadi leo ni baadhi ya hayo hayo yanayo zidi kutuumiza wakati huu chini ya Samia ambaye naye amekuja kuyatila mkazo zaidi.Sasa Mr kalamu.kwanini huoni uzalendo wa Magufuli. Ni kujifanya kipofu tu, wakati mwingine inachangiwa na itikadi, udini ukabila wa watu. Ukiwa neutral ukiangalia aliyoyafanya kwa wananchi ni ukweli alikuwa mzalendo. Uzalendo nini.
May be you can not accept others people from different backgrounds, lower on your opinions background, interior background kuwa viongozi.Mimi sitafuti uongozi wa nchi hii. Lakini nitakwambia waziwazi hapa, hayo ya upendeleo wa mtu, kundi maalum nje ya u-Tanzania wake hilo lisingewezekana kabisa. Sifa kuu ndani ya maisha yangu ni -u-Tanzania, na uwezo wa mTanzania yeyote kushika nafasi anayo pewa kuiongoza., basi.
Na pengine, ndiyo sababu siwezi kuwa kiongozi wa nchi hii, kwa sababu hizo hizo. I am too idealistic. But I don't regret it
Hapana.Uzalendo ni nini kwa mwananchi wa kawaida? Kufanya nini ni uzalendo? Ni kusogeza huduma zote kwa kila mwananchi, tafsiri yako ya uzalendo ikoje?
Alikuwa na mapungufu yake. Ila positive kusaidia nchi, kujenga mifumo, miundombinu ya shule, barabara, hospitali, vivuko, SGR, hata negotiate mikataba yote toka uhuru vizuri sana, mnapata 40% ya share watu kwenye bodi. Usimamizi.Humo humo, ndimo palikuwemo na ubaya wa Magufuli, kwenye makundi hayo, na hadi leo ni baadhi ya hayo hayo yanayo zidi kutuumiza wakati huu chini ya Samia ambaye naye amekuja kuyatila mkazo zaidi.
Mimi nipo 'neutral' sana, ndiyo sababu niliona mapema sana baadhi ya mambo ya Magufuli yalikuwa siyo ya kizalendo.
LOOOoooh!May be you can not accept others people from different backgrounds, lower on your opinions background, interior background kuwa viongozi.
Mnahitaji makabila yenu, dini zenu, watu wenu. Hakuna tofauti na CCM. Genge flani, lenye itikadi flani linataka kuchukua nchi.
Wewe unaweza kufanya hata kujenga shule tu, hospitali, barabara, kufukuza wala rushwa, kufuta mikataba dhalimu kama Barracks Gold na kuja na mikataba mpya.Hapana.
Leo hii tukipata mfadhili kupitia kwa Samia ili tujengewe kila kitu unacho kitaja hapo; mara hiyo Samia tayari amekuwa "Mzalendo'?
Uzalendo kwa nchi ni zaidi ya hivyo vitu. "Uzalendo haununuliwi"
EEEeeenHEEeeeee!Wewe unaweza kufanya hata kujenga shule tu, hospitali, barabara, kufukuza wala rushwa, kufuta mikataba dhalimu kama Barracks Gold na kuja na mikataba mpya.
Leta Alternative 2015 wakati CCM inakufa. Magufuli ndio alikomboa CCM. Ilibidi Lowassa apite, ila sera za JPM ndio ziliwapa CCM ushindi.LOOOoooh!
Mbona sasa nashindwa kabisa kukuelewa mkuu 'Lookmasin'! Kwani nimeeleza kitu gani hapo juu, post mbli/tatu tu toka hapa tulipo sasa?
hata sielewi unacho lenga kueleza katika hii mistari miwili uliyo andika hapa. Sasa nianze upya kujieleza juu ya haya?
Ukiniambia nilete 'Alternative', bila shaka ukiwa na maana mbadala wa CCM? Kwa rahisi tu nitakwambia, anything is better than having the current CCM. Hata kile chama cha mzee Rungwe kushikilia nafasi tukitafuta mbadala ni bora kabisa. Sababu ikiwa kwamba CCM haiwajibiki tena kwa waTanzania, bali CCM inawafanya waTanzania ndio wawajibike kwa serikali yao na wao, ili waendelee kuchafua bila kuhojiwa. Kwa maana hiyo ni kuwa CCM sasa kazi yake kubwa ni kubaki madarakani kutenda maovu dhidi ya waTanzania.Leta Alternative 2015 wakati CCM inakufa. Magufuli ndio alikomboa CCM. Ilibidi Lowassa apite, ila sera za JPM ndio ziliwapa CCM ushindi.
Na pia sera, mipango ndio imeipa nguvu CCM hadi leo kuondoa machafuko. Walionekana at least wanajali.
Ni hivi hakuEEEeeenHEEeeeee!
Basi bhwanah. Nadhani tumalizie hapa, maana sasa tunazungukia mle mle ambamo tayari tumekwisha elezana.
Mimi siwezi "kujenga shule" kwa sababu sina pesa ya kujenga na kuendesha shughuli hiyo; na wala sidhani kuwa Magufuli alikuwa akitoa pesa yake mfukoni kufanya hayo yaliyo amriwa kufanyika wakati wa uongozi wake.
Ni hivi, mkuu 'Lookmasin', mimi simwondolei sifa yoyote katika hayo mazuri aliyo onekana kuyafanyia maamuzi. Mimi pia niliyapenda. Tofauti yangu na wewe, nadhani ipo katika kufumbia macho mabaya aliyo yatenda.
Kwanza mimi ni mtu huru, sina chama. Naweza kuwa na maoni huru. Naangalia nia ya dhati ya mtu, ukweli. JPM sera zake alizuchuku nyingi chadema, ufisadi, rushwa, uchafu aliachukua kuukomesha Tanzania kwa watanzania wengi wa chini. Akaenda mbali zaidi kumomesha mikataba isiyo na kichwa wala miguu, kuinyonya Tanzania.Ukiniambia nilete 'Alternative', bila shaka ukiwa na maana mbadala wa CCM? Kwa rahisi tu nitakwambia, anything is better than having the current CCM. Hata kile chama cha mzee Rungwe kushikilia nafasi tukitafuta mbadala ni bora kabisa. Sababu ikiwa kwamba CCM haiwajibiki tena kwa waTanzania, bali CCM inawafanya waTanzania ndio wawajibike kwa serikali yao na wao, ili waendelee kuchafua bila kuhojiwa. Kwa maana hiyo ni kuwa CCM sasa kazi yake kubwa ni kubaki madarakani kutenda maovu dhidi ya waTanzania.
Chama kinacho wanyima waTanzania UHURU na HAKI ya kuchagua viongozi wanao wataka hakifai kuwa madarakani
Sasa naomba unielewe vizuri hapa kuhusu hiyo 'alternative' unayo nihimiza nikupe.
Waambie CCM wenzio huko ndani ya chama, ambao bado wanazo akili za kutambua chama kilipo sasa; fanyeni mageuzi huko huko ndani ya chama haraka, tuone juhudi zenu za kufanya hivyo, tukiridhika tutawaunga mkono. Vinginevyo, kama mtabaki kuwa viongozi wa kujitafutia maslahi yenu na kuuza watanzania kama bidhaa; mtatupeleka mahali pabaya sana kama nchi.
Unaweza kuwa "mtu huru" uliye uza roho yako kwa Magufuli, hii ipo wazi sasa.Ni hivi haku
Kwanza mimi ni mtu huru, sina chama. Naweza kuwa na maoni huru. Naangalia nia ya dhati ya mtu, ukweli. JPM sera zake alizuchuku nyingi chadema, ufisadi, rushwa, uchafu aliachukua kuukomesha Tanzania kwa watanzania wengi wa chini. Akaenda mbali zaidi kumomesha mikataba isiyo na kichwa wala miguu, kuinyonya Tanzania.
Vitu vichache akikosea kama wewe ambavyo ungekosea au Lissu, Mbowe, Zitto.
Nafikiri huwezi kukubali ukweli. Kwenye hili taifa wangapi utasema wamejitahidi kulisimamia hili taifa? Au wewe ni kupinga tu.Unaweza kuwa "mtu huru" uliye uza roho yako kwa Magufuli, hii ipo wazi sasa.
Hivyo "vitu vichache unavyo sema alikosea", ndivyo vitu vinavyo mwondolea heshima na uzalendo unao mtakia akumbukwe juu yake.
Mimi siwezi kuwasemea hao wengine ulio wataja hapo; lakini nime kwisha kueleza vitu ambavyo nisinge vifanya, kama Magufuli alivyo vifanya. Hili ninalo uhakika nalo, kwa hiyo usining'ang'anize kuwa ninge fanya kama Magufuli alivyo fanya..
Tumalizie hapa, au unaonaje wewe?
Kwa vile "nina pinga" baadhi ya mambo ya Magufuli ambayo hayakuwa mazuri? Nitakubali sifa hiyo bila ya kinyongo.Nafikiri huwezi kukubali ukweli. Kwenye hili taifa wangapi utasema wamejitahidi kulisimamia hili taifa? Au wewe ni kupinga tu.
Hata akisinzia hana faida na nyie,acha ainjoiWakiwa Angola, Joe Biden anaonekana akisinzia wakati makamu wetu wa Rais akizungumza.
Babu Biden kachoka. Arudi kwao huko Delaware akapumzike na wajukuu wake.
Hii ni aibu.
View: https://youtu.be/3jqHuRkI6EE?si=Df4KXUIbUnRGzmxb
Video ndefu zaidi hii hapa….
View: https://youtu.be/Ikyt0nNX5lI?si=fj6waQjv-t4m6aC3