Joe Biden: Kuna tishio la moja kwa moja la nyuklia kutoka Urusi

Joe Biden: Kuna tishio la moja kwa moja la nyuklia kutoka Urusi

Kama ni kweli atakuwa kazidiwa.

Ila Source ni startv. Kimataifa, habari kubwa kama hii ya kidunia source za hapa Tanganyika si za kuamini sana unless habari uisikie pia station kubwa za dunia.
kwamb media za hapa ndan.pia siku hz huziamin ?zina ugomv na Urusi , zile muvi za mazombi zikificha tu wasifu wa walengwa ila mazombi yenyew tunayaona siku hz yenyew yanawazia mioyo yao kufurahi tu haijalish kuna watu wanakufa watakuambia mbona USA aliua iraq
 
Hizi story za nuke huwa naonaga tu tunaogopeshana!

1. Hivi nuke inapigwa hewan alafu hewa ya sumu inasambaa dunia nzima tunakufa?

2. Kama Nuke ita haribu dunia nzima, je nini role ya Bahari zilizotenganisha mabara vs Plate Tectonics??

3. Je, destruction power ya hizo nuke, umeambiwa zinauwezo wa kuharibu Dunia yote? if that is the case, kwanini wanasema nuke zimeelekezwa sehem/nchii flani kwa sjili ya ku lanch!?

Embu tuelezee kidogo labda wengi wetu hatufahamu!

Consider earth movement through (tectonic plates?
kwa akili yako unahis itapigwa nuke moja tu , kapime akili unatatizo kwenye uelewa
 
Naachaje kupona mkuu! nifungue medula yangu kama bomu litatua UKRANE, sisi huku itatumika mechanism gani kutufikia!

Au ndio arayafungulia kama mvua kupiga kila bara?
hahaa yaan teamPutin huwa akili zenu kama kisoda , yaan wazungu wapigane bila kuwashirikisha nyiny , kwamba wao wapumbav hawajui athari za vita ? unajua kwann nchi za Asia zilishiriki vita vya kwanza na vya pili vya kidunia , mgogoro wowote mkubwa lazima ulazimishe wengibe kuchukua upande
 
Nilimsikia yule kamanda mkuu wa NATO akisema Nyuklia woo kani noto bi woni sasa wasiwasi wa nini

Wanampatia Ukraine makombora yenye uwezo wa kupiga Moscow halafu wategemee Putin awe kama akina Tsekedi
kwahiyo Urusi ni ruksa kurusha makombora kiev ila yeye kutolewa tu nje ya Ukraine ndo kaonewa sio ? mnakonda kwasabab ya chuki.kutawala akili zenu hapa hatuishabikii USA bali tunakemea uonevu wa mataifa makubwa dhidi ya mataifa madogo mf nchi yako , ila kwavile akili yako kisoda hujui hata hatima ya kushabikia uvamiz
 
kwamb media za hapa ndan.pia siku hz huziamin ?zina ugomv na Urusi , zile muvi za mazombi zikificha tu wasifu wa walengwa ila mazombi yenyew tunayaona siku hz yenyew yanawazia mioyo yao kufurahi tu haijalish kuna watu wanakufa watakuambia mbona USA aliua iraq
Pleonasm.
 
Sidhani mkuu! He is just frustrated, sidhani yuko level ya Hitler, nuklia hatatumia na watakao mzuia ni Warusi wenyewe!

Soma hiyo link, kuna opposition karibu na watu wa Putin kuwa Vita hii toka mwanzo hakuiratibu vyema.
Vita hacienda kama kama alivyotaka! Kwa mtazamo wangu, Putin atazuwiwa na inner circle yako kutumia Nuclear! I'm short he will be eliminated before reaching that stage! Ndio maana naamini Vita hii hafiki kuwa Nuclear confrontation!
Ni nchi moja tu ikiwa na Nuclear inaweza kuitumia,Iran! Hiyo ni mada nyingine, Na ataitumia against Israel not US.
 
Mkuu kitendo cha putin kutumia nuke ni sawa na kutoboa meli ili hali yeye mwenyewe yupo katika meli iyo iyo
Sio binafsi namuunga mkono Russia si anajilinda kama kama Ukraine wanaona huo mzogo hawawezi simple wasalim amri ikiwa bado mapema
 
mkuu tambua nchi nyingi zinajiendesha kupitia propaganda na vitisho kwa maadui zake hakuna nchi itataka siri zake ziwe bayana hasa umiliki wa silaha mkuu vita ndio kipimo hasa.. hata hizo nuke naona ni kama zinatumika kwa vitisho zaidi...
Nukes zinatumika kwa vitisho zaidi! Na idadi kamili nani ana nukes kiasi gani no siri! Usiangalie Google kupata idadi kamili! Marekani hata Urusi ni wachache kabisa wajua sites za Nukes!
Ni watu kama kina kiduku kila leo wanapiga kelele tuna nukes! tuna nukes! Ila wamtambue! Nchi kama Israel huwa haisemi kabisa, lakini wengi wanaamini anayo!
Hivyo ni kwa kutishiana zaidi.
 
😄😄 Hio Ni kawaida Sana pale ambako kila source inaonyesha Russia Ina nuclear warheads nyingi kuliko US/NATO then tutakua vilaza,Ila ingekua US inazo nyingi source zingekua reliable.

We are living in most interesting times 😄😄
Google iko wapi? In real sense unaamini kila kitu unachosoma Google mkuu! Hasa kwenye sensitive information kama hizi? Kuna information huwa zinatolewa makusudi kabisa tu mislead people! Hasa za military!
Sitaki kukurudisha nyuma katika serikali ya US walitoa information za uongo kabisa wakati wa Vita vya kuvamia Kuwait! Kuwa majeshi yao yatatokea wapi! Walipeleka manowari zao za kivita karibu na Kuwait, weka kwenye News nk! Lakini wote tunajua Marekani haikuingilia hapo!
In short don't trust Google! Unapewa unachotaka ufahamu au uamini!
 
Google iko wapi? In real sense unaamini kila kitu unachosoma Google mkuu! Hasa kwenye sensitive information kama hizi? Kuna information huwa zinatolewa makusudi kabisa tu mislead people! Hasa za military!
Sitaki kukurudisha nyuma katika serikali ya US walitoa information za uongo kabisa wakati wa Vita vya kuvamia Kuwait! Kuwa majeshi yao yatatokea wapi! Walipeleka manowari zao za kivita karibu na Kuwait, weka kwenye News nk! Lakini wote tunajua Marekani haikuingilia hapo!
In short don't trust Google! Unapewa unachotaka ufahamu au uamini!
😄😄 We tangu nikuone una-quote business insider huku likisema sijui eti 'watu wa karibu na inner circle ya Putin)' na blah blah blah kibao nimeona napoteza Muda tu 😄😄
 
Mkuu sijakwambia u trust hizo information, kama wewe utakavyo leta zako! Nakupa views tu! Leta zako nitaamua mwenyewe! Wr all biased!
Mkuu we endelea na kuamini Propaganda za west mimi nitaamini za East, simple tu.
 
😄😄 We tangu nikuone una-quote business insider huku likisema sijui eti 'watu wa karibu na inner circle ya Putin)' na blah blah blah kibao nimeona napoteza Muda tu 😄😄
Ulisema mwenyewe, acha teaming hizo propaganda! Ndio tunachiofanya hapa!
 
Mkuu we endelea na kuamini Propaganda za west mimi nitaamini za East, simple tu.
Nilitaka toka mwanzo tukubaliane na hilo! Ila nashangaa mkuu unapoamini sensitive information za nuclear arsenals toka Google! Google inaweza kuwa biased kwa makusudi kabisa! Inafanya hivyo kwa mambo mengi,sio kwa hii vita! Inataka nani asikie au aelewe nini! CIA wanaitumia sana! Hilo ni angalizo tu!
 
Nilitaka toka mwanzo tukubaliane na hilo! Ila nashangaa mkuu unapoamini sensitive information za nuclear arsenals toka Google! Google inaweza kuwa biased kwa makusudi kabisa! Inafanya hivyo kwa mambo mengi,sio kwa hii vita! Inataka nani asikie au aelewe nini! CIA wanaitumia sana! Hilo ni angalizo tu!
Umeshawahi kupitia CIA au KGB mkuu?
 
Back
Top Bottom