Atakuwa Fala kama hizo zimekuwa sababu ya kujiua, mademu kibao kila mtaa, kuhusu madeni wengine tumeuza mpaka kausafiri tulikokategemea kuwekea matako, kila mtaa ni madeni tu na bado hatuwaziSo, alikuwa na Manzi au Madeni yame mchanganyaaa
Huwezi jua labda wauwaji walisogeza gari la Marehemu eneo la tukio ili kupoteza uchunguzi!!Sasa gari lake linahusiano gani na kifo chake police wetu nao wanacomplicate mambo sana.
Labda ni chafu wanataka wakalioshe tu.Sasa gari lake linahusiano gani na kifo chake police wetu nao wanacomplicate mambo sana.
Baada ya kusoma heading nikasena acha nikae kitako nisome kwa utulivu ipi hasa sababu ya mwamba kujirusha. Pumbav!Yan umereport kama unakimbizwa
Hiyo ni chronic depression...ukimuelezea mtu anaweza asiamini kama kweli unaumwa maana kwa nje unaonekana upo kawaida tu ila kichwani kuna machafuko ya hatari.Mimi toka rafiki yangu Deo aliyekuwa anawaona wanaojinyonga kama vile hawana akili na yeye akaja kula kitanzi tena mwenyewe baada ya kumfukuza mkewe chumbani haya mambo ya kujiuwa nimekuwa nikiyachukulia kwa kiasi sana.
Naamini hawa wanaojiuwa hadi kufikia hatua hiyo huwa wanapitia moment moja mbaya na ngumu sana isiyoelezeka!
Duuu! Hii hali isikie tu kwa mwenzako ni shidaDah π’ ninaamini pasi na shaka yoyote kuwa huu ni wakati sahihi kabisa wa kuzungungumza wanaume wenyewe kwa wenyewe kuwa ni sawa kutokuwa sawa, its really ok not to be ok! Tukae chini wenyewe kwa wenyewe men to men TUONGEE YETU YOTE dah π RIP brother Joel π
Posted @withregram β’ @millardayo Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limesema linachunguza tukio la kifo cha Mtu aitwae Joel Misesemo Chizi anayekadiriwa kuwa miaka kati ya 35 hadi 40, Mkazi wa Mwananyamala ambaye alijirusha kutoka ghorofani kwenye jengo la Derm Plaza lililopo Makumbusho Kijitonyama na kufariki.
Uchunguzi wa awali unaonesha kuwa Marehemu alionekana katika jengo hilo leo tarehe 23, Mei 2023 majira ya saa kumi na moja alifajiri na alimwambia Mlinzi wa zamu kuwa anaenda kufanya ibada kwenye Msikiti uliopo ghorofa ya 15 dani ya jengo hilo lakini muda mfupi baadaye alijirusha.
Taarifa ya Polisi imesema camera za jengo hilo zimemuonesha akijirusha kwa makusudi kutoka ghorofa ya saba kupitia dirishani na kufariki ambapo tayari mwili wake umepelekwa Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala kwa uchunguzi zaidi.
Jeshi la Polisi limepata gari la Marehemu aina ya Suzuki rangi ya silver lenye namba za usajili T142 DRM lililokuwa limeegeshwa kwenye maegesho ya magari katika eneo hilo na sasa limehifadhiwa Kituo cha Polisi Oysterbay.
CCTV camera zilimuonesha akijirusha mwenyewe bila kuwepo mtu. Aliongea sana kwa simu muda mrefu toka hiyo saa 11 alfajiri mpaka saa 12 kasoro alipoamua sasa kujirusha. Uzuri maongezi watayapata TCRA yote.Huwezi jua labda wauwaji walisogeza gari la Marehemu eneo la tukio ili kupoteza uchunguzi!!
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Wengi ni wale" HAKUNA AMBACHO SIJAWAI FANYIA".Mimi toka rafiki yangu Deo aliyekuwa anawaona wanaojinyonga kama vile hawana akili na yeye akaja kula kitanzi tena mwenyewe baada ya kumfukuza mkewe chumbani haya mambo ya kujiuwa nimekuwa nikiyachukulia kwa kiasi sana.
Naamini hawa wanaojiuwa hadi kufikia hatua hiyo huwa wanapitia moment moja mbaya na ngumu sana isiyoelezeka!wanaume kinachotuumiza siyo wasemaji sana wa yanayotukwaza na siwalaumu,personally siuoni uwezekano wa kusema kwa yeyote nikipata changamoto mbaya zihusuzo maisha hasa ya ndoa that's why kila siku namuomba Mungu aendelee kunipa utulivu ktk familia kuliko kitu chochote.
Bora kajiua bila kusema shida ila angethubu kusema angekula kashfa Hadi ashangae.Dah π’ ninaamini pasi na shaka yoyote kuwa huu ni wakati sahihi kabisa wa kuzungungumza wanaume wenyewe kwa wenyewe kuwa ni sawa kutokuwa sawa, its really ok not to be ok! Tukae chini wenyewe kwa wenyewe men to men TUONGEE YETU YOTE dah π RIP brother Joel π
Posted @withregram β’ @millardayo Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limesema linachunguza tukio la kifo cha Mtu aitwae Joel Misesemo Chizi anayekadiriwa kuwa miaka kati ya 35 hadi 40, Mkazi wa Mwananyamala ambaye alijirusha kutoka ghorofani kwenye jengo la Derm Plaza lililopo Makumbusho Kijitonyama na kufariki.
Uchunguzi wa awali unaonesha kuwa Marehemu alionekana katika jengo hilo leo tarehe 23, Mei 2023 majira ya saa kumi na moja alifajiri na alimwambia Mlinzi wa zamu kuwa anaenda kufanya ibada kwenye Msikiti uliopo ghorofa ya 15 dani ya jengo hilo lakini muda mfupi baadaye alijirusha.
Taarifa ya Polisi imesema camera za jengo hilo zimemuonesha akijirusha kwa makusudi kutoka ghorofa ya saba kupitia dirishani na kufariki ambapo tayari mwili wake umepelekwa Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala kwa uchunguzi zaidi.
Jeshi la Polisi limepata gari la Marehemu aina ya Suzuki rangi ya silver lenye namba za usajili T142 DRM lililokuwa limeegeshwa kwenye maegesho ya magari katika eneo hilo na sasa limehifadhiwa Kituo cha Polisi Oysterbay.
Kama ni wanakufam shida ya mapenzi acha yafe tuu ni mazuzuWengi ni wale" HAKUNA AMBACHO SIJAWAI FANYIA".
Wanaume ni wagumu sana kujifunza!.