TANZIA Joel Misesemo afariki dunia kwa kujirusha kutoka ghorofani jengo la Derm eneo la Makumbusho, Dar

TANZIA Joel Misesemo afariki dunia kwa kujirusha kutoka ghorofani jengo la Derm eneo la Makumbusho, Dar

Angesimama wima angeenda kukatikia ndani ya tank
Yaani hilo zoezi ukiliangalia mahesabu hayaji kabisa inashangaza watu waliruhusu vipi 😆
Mmmh mbona maji yalikua mengi kusema ile viscous ya maji inge ruhusu aweze kufika chini kabisa
 
Wanasema alishawahi kufanya hivyo kabla...
Hata yeye kipindi anafanya sizani kama hakutambua kuhusu kina cha maji.. ishu kubwa hapo ni kile kipenyo cha tank tuu
Alijaribu kwenye floor 4 sasa ile pale migo zipo kumi na zaidi kakaa hewani mpaka kachoka kaamua kutanua miguu matokeo ndio kama vile
 
Daaah so sad..
Hivi ni kuvunjika miguu tuu ndo kumefanya mpaka afe mazima au kuna athari zingine huku juu alipata

Mwili wa binadamu ni delicate sana ,kitendo cha kudondoka kimechekecha viungo vya ndani ,mapolisi wanatumia sana style ya kuchekecha , polisi wakiona unawasumbua wanakuchekecha tu hauchukui mwezi lazima ukate moto.
 
Back
Top Bottom