City Of Lies
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 4,925
- 6,137
Sasa gari lake linahusiano gani na kifo chake police wetu nao wanacomplicate mambo sana.
Afadhali wangesema simu yake wameishikilia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa gari lake linahusiano gani na kifo chake police wetu nao wanacomplicate mambo sana.
Hii nimeshuhudia kwa masikio yangu kabisa 🤓🤓🤓Nasikia siku hizi kwenye daladala watu wanakuna vichwa vya wenzao wakifikiri vyao kisa stress.
Mmh yaani unamaanisha nini mkuuKavu kavu haijawahi muacha mtu salama[emoji3061]
Mmmh mbona maji yalikua mengi kusema ile viscous ya maji inge ruhusu aweze kufika chini kabisaAngesimama wima angeenda kukatikia ndani ya tank
Yaani hilo zoezi ukiliangalia mahesabu hayaji kabisa inashangaza watu waliruhusu vipi 😆
Hatari sana ukisikiliza hawa motivesheni spikaa hawa.. unajitafutia stress za bure tu..
Kwa ule umbali lazima miguu ingegonga chiniMmmh mbona maji yalikua mengi kusema ile viscous ya maji inge ruhusu aweze kufika chini kabisa
[emoji81][emoji81]nka zani hata ana jifunga parachuti kumbe ni vitaa taa vya watoto Bongo sihamiAngesimama wima angeenda kukatikia ndani ya tank
Yaani hilo zoezi ukiliangalia mahesabu hayaji kabisa inashangaza watu waliruhusu vipi [emoji38]
Wanasema alishawahi kufanya hivyo kabla...Kwa ule umbali lazima miguu ingegonga chini
Vilikua vinawaka waka[emoji81][emoji81]nka zani hata ana jifunga parachuti kumbe ni vitaa taa vya watoto Bongo sihami
Mwamba sijui alijiamini nini 😄[emoji81][emoji81]nka zani hata ana jifunga parachuti kumbe ni vitaa taa vya watoto Bongo sihami
Hatari sana ukisikiliza hawa motivesheni spikaa hawa.. unajitafutia stress za bure tu..
Alijaribu kwenye floor 4 sasa ile pale migo zipo kumi na zaidi kakaa hewani mpaka kachoka kaamua kutanua miguu matokeo ndio kama vileWanasema alishawahi kufanya hivyo kabla...
Hata yeye kipindi anafanya sizani kama hakutambua kuhusu kina cha maji.. ishu kubwa hapo ni kile kipenyo cha tank tuu
Daaah so sad..Alijaribu kwenye floor 4 sasa ile pale migo zipo kumi na zaidi kakaa hewani mpaka kachoka kaamua kutanua miguu matokeo ndio kama vile
Hapo hadi mi nina wasi wasi aiseeNimeshangaa sana Marehemu Joel alienda kununua kitabu cha kujitibu saikolojia kwa Chris Mauki.
Kavu kavu haijawahi muacha mtu salama[emoji3061]
Hivi mkuu hapo mda anaruka kama angejikunja tuu je ile direction ingebadilika..Mwamba sijui alijiamini nini 😄
Halafu tank likawekwa karibu na ukuta wa juu wa kibaraza angecheza kidogo tu angepasukia kwenye ukuta
Duuuh yaani kwa sababu hiyo ndio ufanye maamuzi kama yale..Vipi tena? Na yeye imemtokea issue kama ya John Mjema aka Bomba la Mvua? Ni KAZEZE? Vipi Alijicheck kwa RAPID TEST akakuta IMOOOO?
Daaah so sad..
Hivi ni kuvunjika miguu tuu ndo kumefanya mpaka afe mazima au kuna athari zingine huku juu alipata